Bunge la Senate lapongeza zuio la Paul Makonda kuingia Marekani. Lasema huo ni mwanzo wa kuwawajibisha walioua demokrasia ya Tanzania

Ni kiongozi gani umewahi kusikia amepigwa ban kwa kuzuia ushoga? Au unataka kutuambia makonda ndo wa kwanza kupinga ushoga?

Sent using Jamii Forums mobile app

nani mwingine tanzania amewahi kuwapinga hao watu kwa hatua kama makonda ? ukinitajia jina tunamaliza mjadala,
bashite mi simkubali ila kwenye hili anachukuliwa hatua sababu hiyo,


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Endeleeni kumtia ujinga. Wenye teknolojia zao wameshakusanya ushahidi.

Wamevumilia sana wakidhani ni ugeni wake na uongozi ila wameona kumbe ni tatizo kweli na wameanza kulishughulikia
Hawajui kwamba teknolojia ilizaliwa Amerika ikakua Ulaya na Asia ikaja kuishi Afrika na itafia Amerika
 
The Hague panamsubiri kunamabo yanawekwa tu sawa
 
msije mkakafanyizia na ka betina wa watu wala hata hahusiki
 
Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Very true.
 
Marekani hajawahi kufanya siasa kwa maslahi ya wengine, hasa wavaa viraka kama sisi. Huu mchezo ni siasa zao ndani na huku ndio stage la show tu. Natulia Mzee Baba. Kama ukiweza pita www.foxnews.com
Utaona kinachojili kuhusu haya.
Kweli kabisa nashangaa wanao kimbilia huko kijilamalamba.
 
Mabeberu mnawajua vizuri jamani ? Mugabe hakua mjinga kufanya maamuzi aliofanya.
 
Serikali imepewa muda wa kurekebisha mambo kupitia Makonda ...... sasa wasipoitumia hii nafasi wakajifanya Vichwa ngume kama Zimbabwe, matokeo yake tunayajua. Huo ni mwazo tu.

Kumchagua Makonda katika kundi kubwa kama lile haikuwa kwa bahati mbaya ..................!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…