Kama hujui kitu omba ueleweshwe ili akili ikae ki Jf Jf. Acha mawazo ya fesibuku!Na wenyewe wamechoka, wanampiga ban Makonda kwenda Marekani ataenda kufanya nini huko kwao. Ni sawa na mimi kunipiga ban kuwa rubani wa ndege wakati hata abc kuhusu hizo ndege sizijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Weweeeeeee, Sababu ni nini? Kuikosoa serikali? Mbona hatari sana?Watu wengi sana wameuawa awamu hii, kuna ukatili wa kutisha ulikua unafanyika pale tazara sijui kama bado unaendelea, watu wanapigwa risasi na kufukiwa kama mbwa.
Kwa ufupi ni kwamba wazungu wana taarifa zote za Makonda kuhusika kwenye mambo ya kihuni ya kupiga watu risasi na wengine kupotezwa.Watu wengi wasichojua ni kwamba US ina watumishi wa siri yaani CIA waliosambazwa duniani kote takribani mln kumi hvyo hakuna tukio wasilolijua.Siongei sana
View attachment 1342906
samurai anajulikana humu. Siyo wa upande ule, hapa anajaribu kureflect mawazo ya buku 7 kwenye sakata hili kwa sababu buku 7 akina wakudadavua, kipara kipya, elitwege, jingalao, msemajiukweli na wengineo wamegoma kutia pua kwenye huu uzi.KWA KWELI WE WE NI MPUMBAVU MKUBWA PLUS MPUUZI. TANZANIA INA WAJINGA NA WASHAMBA WENGI
UMEM SAHAU YULE MPUMBAVU MKUBWA ANAYE JIITA "MAGONJWA MTA UMBUKA" AISEE THIS GUY IS A LOSER SIJA PATA KUONA. VERY STUPID GUYsamurai anajulikana humu. Siyo wa uoande ule, hapa anajaribu kureflect mawazo ya buku 7 kwenye sakata hili kwa sababu buku 7 akina wakudadavua, kipara kipya, elitwege, jingalao, msemajiukweli na wengineo wamegoma kutia pua kwenye huu uzi.
Marekani wanayo intelligence kamili.Hawakurupuki. Bashite anahusika bila shaka.Makonda aka Bashite hajawahi kufanya jambo bila kuacha alama...Haya ni machache tu ila yapo mengi sana aliyofanya ambayo yanakandamiza haki za binadamu na uhuru wa kuishi....Bashite anafanya hayo akikingiwa kifua na Baba Yake Meko na Mjomba wao Hi Now.
1.Bashite anahusika 100% kwa kuawawa kwa Ben Saanane.
2.Bashite anahusika 100% kwa shambulio la Lissu.
Huu ni muendelezo wa mpango huuSiongei sana
View attachment 1342906
Daaah umenikumbusha kitu aisee! Huyo ameshindikana, hana mfano hapa Tanzania.UMEM SAHAU YULE MPUMBAVU MKUBWA ANAYE JIITA "MAGONJWA MTA UMBUKA" AISEE THIS GUY IS A LOSER SIJA PATA KUONA. VERY STUPID GUY
Muulize Kangi LugolaKatumiwa sana sasa atatupwa kama hawamjui. usimuamini mwana siasa ukitumika ukawa huna jipya basi ujuwe umeisha. wanasiasa hawana tufe pamoja ukiwa unahatarisha maslahi ya mtu unapigwa chini na mahakamani unaenda. Hii ni hatari kuliko tunavyodhania..
Sisi ndo tuna raw materials, tuwapige ban US kule Geita kuchimba madini, jino kwa jino, SASA KAMA MKUU WA MKOA KAZUILIWA KUINGIA US ,ITAKUWAJE RAISI ALIYEZUIA MIKUTANO HALALI YA KIDEMOCRACIA?
Huu ni muendelezo wa mpango huu
PUS/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, kama ni kweli US/EU walimtoa Saadam Hussein kwa uongo wa kusaka WMD, kisha wakamtoa Ghadafi madarakani kufuatia kuwaunganisha Waafrika, na Mugabe wakamtoa kwa ku over stay?, kufuatia JPM anavyotetea rasilimali za nchi yetu tusiendelee kunyonywa, kufisadiwa...www.jamiiforums.com
Hahahahah rudi shule kilaza, kama mimi ni mwajiri wako (slowslow) nakupiga chiniMabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
samurai anajulikana humu. Siyo wa upande ule, hapa anajaribu kureflect mawazo ya buku 7 kwenye sakata hili kwa sababu buku 7 akina wakudadavua, kipara kipya, elitwege, jingalao, msemajiukweli na wengineo wamegoma kutia pua kwenye huu uzi.
Hahahahah rudi shule kilaza, kama mimi ni mwajiri wako (slowslow) nakupiga chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan yeye anaenda marekaniJiwe akisikia hizi habari mavi yanagonga chupi, aiseee mabeberu wamejua kunifurahisha.