Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Waziri Mkuu wa Ufaransa Michel Barnier ambae yupo njiani kurejea Ufaransa kutoka katika ziara nchini Saudi Arabia, anatarajiwa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye na Bunge la nchi hiyo na hivyo kuipundua serikali yake.
Vyama vya upinzani nchini Ufaransa vikiongozwa na Maria Le Pen muda huu wapo wakifanya kikao na kujadili masuala mbalimbali kabla ya kupiga kura hiyo jioni hii.
Hatua hiyo yatokana na mvutano katika kukubaliana masuala mbalimbali yahusuyou bajeti na uchumi wa nchi hiyo ambapo vyama vya upinzani vimeona suluhisho ni kumuondoa bwana Barnier.
Tuendeee kufuatilia taarifa hii jioni hii kutoka Paris na hali ya serikali ya raisi Emmanuel Macron ikiwa na wasiwasi wa kupoteza serikali na hivyo kutishia uwezo wa raisi Macron kuongoza kwa utulivu nchi hiyo ya pili kwa nguvu ya uchumi na kijeshi barani Ulaya.
PIA SOMA
- Ufaransa: Waziri Mkuu Barnier kupigiwa kura ya kutokuwa na imani baada ya kulazimisha kupitishwa kwa bajeti
Vyama vya upinzani nchini Ufaransa vikiongozwa na Maria Le Pen muda huu wapo wakifanya kikao na kujadili masuala mbalimbali kabla ya kupiga kura hiyo jioni hii.
Hatua hiyo yatokana na mvutano katika kukubaliana masuala mbalimbali yahusuyou bajeti na uchumi wa nchi hiyo ambapo vyama vya upinzani vimeona suluhisho ni kumuondoa bwana Barnier.
Tuendeee kufuatilia taarifa hii jioni hii kutoka Paris na hali ya serikali ya raisi Emmanuel Macron ikiwa na wasiwasi wa kupoteza serikali na hivyo kutishia uwezo wa raisi Macron kuongoza kwa utulivu nchi hiyo ya pili kwa nguvu ya uchumi na kijeshi barani Ulaya.
PIA SOMA
- Ufaransa: Waziri Mkuu Barnier kupigiwa kura ya kutokuwa na imani baada ya kulazimisha kupitishwa kwa bajeti