Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe

Kwani chama si mnasema kimetoka mikononi mwa washamba?
Kuna mshamba aliyebisha? Chama kimetoka kwa mazwazwa kimerudi nyumbani. Kama imekuuma chomoa afu urudi zako usukumani ukalime
 
Waliomdanganya mh Rais Mama Samia kwamba washirika wa Mbowe wamefungwa jela kwa kesi ya ugaid wanapaswa kushughulikiwa maana wamemuaibisha sana rais mpaka kutamka maneno hayo mbele ya vyombo vya habar kimataifa ili hali watu hao walishaachiwa kitambo kutokana na DPP kutoonyesha nia ya kuendelea na kesi pamoja na kuwasotesha, kuwatesa sana watuhumiwa.
 
Kutumia externals kama sehemu ya majumuisho ya kupambana na dola binafsi sikubaliani nalo. Mara mabalozi kuwa mahakamani inakua topic ya chama mara kujadiliwa EU. Oppositions na wanaharakati lazima wajikite kama nationals binafsi nitaelewa harakati ila si hizi sarakasi
Lazima tuamke bila NGOs nk tunaweza kusonga
 
Labda mimi ndo sio mfatiliaji,

Mambo kama haya ya upinzani kuwekwa rupango yakitokea huko Rwanda mboma huwa ni kimya sana kana kwamba hakuna kinachotokea?

Wapinzani nchini urusi pia wanapitia wakati mgumu kama vile kukamatwa na kufunguliwa kesi. Mbona sisikii kelele za kuomba waachiwe.

Sasa kama kuna watu hawawezi kuwakemea basi ni bora wakae kimya tu.

Niko Tayari kuelimishwa
 
Bunge la mashoga. Kwani hawajui kwamba tanzania ni nchi huru? Wajadili haki za binadamu ulaya ndio eneo lao. Wana mengi ya kujadili sio kujiingiza mambo ya nchi zingine.
Nchi huru wakati kutwa kuombaomba kwa hawa mabwana zenu.
 
Bunge la mashoga. Kwani hawajui kwamba tanzania ni nchi huru? Wajadili haki za binadamu ulaya ndio eneo lao. Wana mengi ya kujadili sio kujiingiza mambo ya nchi zingine.
Kwahiyo hujui kwenye hilo bunge kuna kamati inashughulikia mambo ya nje ya Ulaya au kichwa maji?
 
Kwani Tanzania ni koloni la mataifa ya ulaya inaingiliwaje mambo yake ya ndani au sio nchi huru?
Nchi huru wakati mpaka matundu ya vyoo mnaomba msaada kwa hao mabwana zenu. Uhuru ni pamoja na kujitegemea sio kutwa kuomba omba. Ukitaka usipangiwe mambo basi acha umatonya.
 
Kwahiyo bado tu watumwa wa hawa mabwana wakubwa?
 
Namuona Sansiro akistaafu kwa aibu kubwa. Huku Mama akinawa na akiwazodoa " Si niliwaambia wacheni Mambo yenu ya dhambi na dhuluma, mkasema ushahidi upo ! Yako wapi"
 
Kuna mshamba aliyebisha? Chama kimetoka kwa mazwazwa kimerudi nyumbani. Kama imekuuma chomoa afu urudi zako usukumani ukalime
Tatizo lako unafikiri kila mtu anachomekwa kama wewe!


Sasa kama kimerudi kwa wenyewe inakuwaje hilo bunge la ulaya lianze chokochoko..
 
Sikubaliani na uonevu wowote kwa wapinzani, ila ni upumbavu mkubwa kwa Taifa moja kuingilia uhuru wa Taifa lingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…