Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Vipi kuhusu hili unasemaje?
J. 10 x 9 = 90
E. 5 x 9 =45
S. 19 x 9 =171
U. 21 x 9 =189
S. 19 x 9 =171
Jumla ni...................
Nadhani ulikuwa haujagundua, pole sana.
Kijana hujui hata kuhesabu. Pole sana. U is number 20 and not 21. Msiba bado unao weye.



[TABLE="width: 80%, align: center"]
[TR]
[TD="width: 17"]
a​
[/TD]
[TD="width: 17"]
b​
[/TD]
[TD="width: 17"]
c​
[/TD]
[TD="width: 17"]
d​
[/TD]
[TD="width: 17"]
e​
[/TD]
[TD="width: 17"]
f​
[/TD]
[TD="width: 17"]
g​
[/TD]
[TD="width: 17"]
h​
[/TD]
[TD="width: 17"]
i​
[/TD]
[TD="width: 17"]
j​
[/TD]
[TD="width: 17"]
k​
[/TD]
[TD="width: 17"]
l​
[/TD]
[TD="width: 17"]
m​
[/TD]
[TD="width: 17"]
n​
[/TD]
[TD="width: 17"]
o​
[/TD]
[TD="width: 17"]
p​
[/TD]
[TD="width: 17"]
q​
[/TD]
[TD="width: 17"]
r​
[/TD]
[TD="width: 17"]
s​
[/TD]
[TD="width: 17"]
t​
[/TD]
[TD="width: 17"]
u​
[/TD]
[TD="width: 17"]
v​
[/TD]
[TD="width: 17"]
w​
[/TD]
[TD="width: 17"]
x​
[/TD]
[TD="width: 17"]
y​
[/TD]
[TD="width: 17"]
z​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 17"]
0​
[/TD]
[TD="width: 17"]
1​
[/TD]
[TD="width: 17"]
2​
[/TD]
[TD="width: 17"]
3​
[/TD]
[TD="width: 17"]
4​
[/TD]
[TD="width: 17"]
5​
[/TD]
[TD="width: 17"]
6​
[/TD]
[TD="width: 17"]
7​
[/TD]
[TD="width: 17"]
8​
[/TD]
[TD="width: 17"]
9​
[/TD]
[TD="width: 17"]
10​
[/TD]
[TD="width: 17"]
11​
[/TD]
[TD="width: 17"]
12​
[/TD]
[TD="width: 17"]
13​
[/TD]
[TD="width: 17"]
14​
[/TD]
[TD="width: 17"]
15​
[/TD]
[TD="width: 17"]
16​
[/TD]
[TD="width: 17"]
17​
[/TD]
[TD="width: 17"]
18​
[/TD]
[TD="width: 17"]
19​
[/TD]
[TD="width: 17"]
20​
[/TD]
[TD="width: 17"]
21​
[/TD]
[TD="width: 17"]
22​
[/TD]
[TD="width: 17"]
23​
[/TD]
[TD="width: 17"]
24​
[/TD]
[TD="width: 17"]
25​


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Muhammad is 666
Lets try it for muhammad :

M 13 * 9 = 117
U 21 * 9 = 189
H 8 * 9 = 72
A 1 * 9 = 9
M 13 * 9 = 117
M 13 * 9 = 117
A 1 * 9 = 9
D 4 * 9 = 36

---------- TOTAL = 666
 
Hao wenyewe wanadili na wa RC pamoja na wakristo wengine, wazee wa ndevu hawana shida nao, ndio maana unaona itikadi zinaendana, hata ile principle ya hata Adamu alikuwa ni... ndio maana hata ku reason wanaenda sawa... Sema wazee wa ndevu busara ni ndogo zaidi...

Mkuu za siku mbili tatu?sasa nina mambo fulani hapa naomba unisaidie.La kwanza ni kuhusu Jesuits.Hili shirika linasakamwa sana na wachambuzi wengi duniani wanalihusisha na mipango mibaya ya kubadili kanisa katoliki na dini zote kuelekea kwenye imani ya babeli.Kwamba Jesuits ni satanic infiltration ndani ya kanisa na hata baadhi ya mapapa wamekuwa katika mivutano na hawa Jesuits baada ya kuwagundua si wazuri.Kuna stori kwamba hata yule papa aliyekufa ghafla baada ya kuongoza kwa muda mfupi sana aliuawa na hawa jamaa baada ya kuonyesha dhamira ya kushughulikia kashfa za masuala ya fedha ndani ya Vatican,kashfa ambazo zilikuwa zikiwagusa Jesuits moja kwa moja.Inasemekana hata mzee Ratzinger alijiuzulu kutokana na shinikizo la hawa jamaa,na aliamua kujiuzulu baada ya kugundua they are so powerful at the moment within the holy see.Inasemekana pia Adam Weishaupt aliyeanzisha Illuminati baada ya kuasi kanisa alikuwa ni Jesuit na ule uasi wake ilikuwa plan B ya Jesuits baada ya kuona kuna mambo hawawezi kuyaendesha huku wakioperate kutokea ndani ya kanisa.Kabla ya kuasi,Weishaupt alikuwa Professor wa Canon law katika chuo cha Ingolstadt huko Bavaria(Ujerumani).Inasemekana pia hawa Jesuits wako aina mbili,kuna wanaojulikana wakiwa kama mapadre wa kanisa na kuna wasiojulikana ambao kazi yao ni infiltration kwenye maeneo wanayotaka kuyacontrol kama governments,banks,other religious institutions(not catholic) etc.Kwa mfano kuna shirika moja ambalo linashutumiwa kuhusika kuvichochea na kuviuzia silaha vikundi vyenye itikadi kali kwenye maeneo yenye vita ya middle east.Linaitwa Blackwater,inasemekana hawa Blackwater ni mkono wa Jesuits,na sio moja kwa moja,bali kupitia knights of Malta.Inasemekana jamaa wako kila mahali nyeti,hata kwa ndugu yangu Ntuzu inasemekana ile executive comittee ya General Conference,chombo kikuu kinachoendesha kanisa la wasabato duniani imeshakuwa infiltrated na invisible Jesuits na ndio maana kuna migogoro ya kimafundisho sana ndani ya dini zetu zote hivi sasa,hata Ntuzu na wasabato wenzie inclusive na hata vitabu vya yule mama inasemekana vinachakachuliwa hivi sasa kupitia new translation,hasa kitabu cha The great controversy ambacho hakipendwi mno kule Vatican kutokana na kuexpose historia iliyojaa damu ya Roman empire na Catholic Church enzi zile,mafundisho ya zamani yaliyodumu miaka mingi yakiachwa na kuleta mafundisho mapya ambayo hayana support ya vitabu vitakatifu kama Biblia,Qur'an etc.Kuna siku watu watajikuta dini zao hazitofautiani sana huko mbele.Una maoni gani kuhusu hawa jamaa?Wanazungumzwa sana kiasi mtu yeyote makini hawezi kupuuzia.
Pili,naomba kafanye research juu ya hii habari ya utawala wa Rumi kumtengeneza mtume Muhammad.Kwamba Muhammad alitengenezwa na Augustinian monks ili alete dini itakayodhibiti ueneaji wa kasi wa ukristu katika himaya ya Roma hasa middle east,pamoja na kuwaunganisha waarabu chini ya ustaarabu mpya ambao hautakuwa hostile kwa himaya ya Rumi kama ilivyokuwa kwa ukristu,lakini baada ya kifo cha Muhammad,makalifa walioongoza dini hiyo wakaasi mfumo na kuigeuza hostile kwa warumi,especially baada ya kuutwaa Yerusalem,wakagoma kuukabidhi mji huo kwa Rome,wakagoma kuwafisha wayahudi na badala yake wakawaruhusu kurudi Palestine na Judea,wakaishi nao kwa amani na kuwaruhusu kujenga masinagogi yao na kusali humo ilimradi hawaingilii masuala ya utawala wa kiislam ya eneo hilo.
Majeshi ya waislam yakasonga mbele hadi Africa kaskazini na kwingineko,hata khazars wa asia minor wakaanguka mikononi mwa majeshi ya kiislam.Rumi ikachukizwa na hili.Baada ya kuona uislam walioutengeneza wenyewe umekuwa tishio kubwa na unapiga hodi hadi ulaya,Papa akatumika kutengeneza jeshi kubwa kwa jina la dini,watu wakaambiwa hii ni vita ya kidini,kuukomboa mji mtakatifu,ikaanza crusade,wakapigana wee mpaka wakachoka.Yerusalem ikawekwa mikononi mwa crusaders,chini ya uangalizi wa knights maalum.Do a research on Alberto Rivera.Halafu pia tafuta kitabu cha Robert Spencer chenye title,"Did Muhammad exist?"Mojawapo ya very challenging arguments za huyu jamaa humo ni kuhusu tofauti ya muda wa miaka mingi kati ya mwanzo wa uislam na muda ambao profile ya Muhammad ilianza kuenezwa na kujulikana sana kama mtume wa waislam.Tena wakati jina la Muhammad lilipoanza kuwa maarufu kama mtume wa muslims ilicoincide na wakati ambao waarabu walihitaji sana kuungana ili kupambana na Byzantine empire ya kikristo na Persia iliyokuwa na dini ya Zoroastrian.Pia amegusia suala la kitabu cha Qur'an kutokujulikana na watu wa zamani.Neither arabs,nor jews and Christians mentioned it's existence until early eighth century.Pia pitia mahusiano ya some islamic doctrines with ancient traditional religion practices za eneo hilo kabla ya uislam,even the name Allah.Kuna blog moja inaitwa mysterybabylonwatch inazungumzia jinsi modern religion zilivyojaa mambo ya kipagani,uislam na ukristo inclusive.
La mwisho mkuu,kuna hili la Constantine.Kwamba the guy conspired when he joined Christianity.The actual plan was to establish a new kind of Christian religion which is neutral to Roman empire and it's pagan culture.Pitia what happened at the church councils,especially the ones at Laodicea and Nicea.Katika kupitia huko,kuwa mchunguzi na kitu kinaitwa canonicalization of the holy scripts.Pitia google,soma kuhusu Christian persecution under the popes and emperors.Pia do a research on Qumran excavation.Google na issues za Bilderberg,connection yake na Jesuits na knights of Malta(ambao wengi hujua haipo active siku hizi).
Baada ya kupitiapitia humo,ntaomba maoni yako in six months time,uje uifufue hii mada,unitag.Nikusome maoni yako mkuu.
Haya,mie nimemaliza,sasa ni zamu ya matusi.
 
Muhammad is 666
Lets try it for muhammad :

M 13 * 9 = 117
U 21 * 9 = 189
H 8 * 9 = 72
A 1 * 9 = 9
M 13 * 9 = 117
M 13 * 9 = 117
A 1 * 9 = 9
D 4 * 9 = 36

---------- TOTAL = 666

Kijana hujui hata kuhesabu. Pole sana. U is number 20 and not 21. Msiba bado unao weye.



[TABLE="width: 80%, align: center"]
[TR]
[TD="width: 17"]
a​
[/TD]
[TD="width: 17"]
b​
[/TD]
[TD="width: 17"]
c​
[/TD]
[TD="width: 17"]
d​
[/TD]
[TD="width: 17"]
e​
[/TD]
[TD="width: 17"]
f​
[/TD]
[TD="width: 17"]
g​
[/TD]
[TD="width: 17"]
h​
[/TD]
[TD="width: 17"]
i​
[/TD]
[TD="width: 17"]
j​
[/TD]
[TD="width: 17"]
k​
[/TD]
[TD="width: 17"]
l​
[/TD]
[TD="width: 17"]
m​
[/TD]
[TD="width: 17"]
n​
[/TD]
[TD="width: 17"]
o​
[/TD]
[TD="width: 17"]
p​
[/TD]
[TD="width: 17"]
q​
[/TD]
[TD="width: 17"]
r​
[/TD]
[TD="width: 17"]
s​
[/TD]
[TD="width: 17"]
t​
[/TD]
[TD="width: 17"]
u​
[/TD]
[TD="width: 17"]
v​
[/TD]
[TD="width: 17"]
w​
[/TD]
[TD="width: 17"]
x​
[/TD]
[TD="width: 17"]
y​
[/TD]
[TD="width: 17"]
z​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 17"]
0​
[/TD]
[TD="width: 17"]
1​
[/TD]
[TD="width: 17"]
2​
[/TD]
[TD="width: 17"]
3​
[/TD]
[TD="width: 17"]
4​
[/TD]
[TD="width: 17"]
5​
[/TD]
[TD="width: 17"]
6​
[/TD]
[TD="width: 17"]
7​
[/TD]
[TD="width: 17"]
8​
[/TD]
[TD="width: 17"]
9​
[/TD]
[TD="width: 17"]
10​
[/TD]
[TD="width: 17"]
11​
[/TD]
[TD="width: 17"]
12​
[/TD]
[TD="width: 17"]
13​
[/TD]
[TD="width: 17"]
14​
[/TD]
[TD="width: 17"]
15​
[/TD]
[TD="width: 17"]
16​
[/TD]
[TD="width: 17"]
17​
[/TD]
[TD="width: 17"]
18​
[/TD]
[TD="width: 17"]
19​
[/TD]
[TD="width: 17"]
20​
[/TD]
[TD="width: 17"]
21​
[/TD]
[TD="width: 17"]
22​
[/TD]
[TD="width: 17"]
23​
[/TD]
[TD="width: 17"]
24​
[/TD]
[TD="width: 17"]
25​


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Alaa kumbe kwa Jesus "a"inakuwa zero, ila kwa Muhammad(saw) "a"inakuwa 1. Ahsante sikuwa nikijuwa kwamba hiyo formula ina condition
 
Hii michakachuo ya MAKAFIRI tumeshaizoea.Beat this one miss paster.
Hiyo picha kivuli cha mtu aliyesimama upande wa kushoto kinatokana na mwanga ulipotokea. tazama hata vazi linaendana. hii haiondoi ukweli kuwa muhammad ni Anti-christ. Jitazameni nyinyi mko upande wa Yesu ama mnampinga Yesu..?Nyinyi mnachukia wanaomfuata Yesu kwa kufuata dini yenu na waarabu wa kureshi.
 
MUHAMMAD = 666

Any power (1,2,3,4…&#8230😉 of 666 has the same numerical root , 9 . For example : 666^2 = 443 556 >> 27 >> 9 , 666^3 = 295 408 296 >> 45 >> 9 , 6664 = 196 741 925 136 >> 54 >> 9 ……… 666^n >> 9
Now lets us construct a numerological table using the English Alphabets multiply by the numerical root of 666^n i.e., 9 :

A = 1 x 9 = 9

B = 2 x 9 = 18
C = 3 x 9 = 27
..........
Y = 25 x 9 = 225
Z = 26 x 9 = 234 .

Lets try it for muhammad :
m 13 * 9 = 117
u 21 * 9 = 189
h 8 * 9 = 72
a 1 * 9 = 9
m 13 * 9 = 117
m 13 * 9 = 117
a 5 * 9 = 9 ??????? = 45
d 4 * 9 = 36
---------- TOTAL = 666

Ewe punguani hujuwi hesabu?

1) A*1, juu huko umesema a = 1*9 = 9 sasa chini hapo umeweka a = 5*9 = 9 ??????

Kwa kukujuza tu, 5*9 = 45 na e=5 siyo a.

2) 117 + 189 + 72 + 9 + 117 +117 + 45 + 36 = 702

Hiyo a yako mara inakuwa 1 mara inakuwa 5?

Umechemsha!

Jee, unataka tukuoneshe "The Beast" ni nani?
 
Ewe punguani hujuwi hesabu?

1) A*1, juu huko umesema a = 1*9 = 9 sasa chini hapo umeweka a = 5*9 = 9 ??????

Kwa kukujuza tu, 5*9 = 45 na e=5 siyo a.

2) 117 + 189 + 72 + 9 + 117 +117 + 45 + 36 = 702

Hiyo a yako mara inakuwa 1 mara inakuwa 5?

Umechemsha!

Jee, unataka tukuoneshe "The Beast" ni nani?
Muhammad is 666
 
Mkuu wa chuo ,sijui akina Ntuzu na Lawkeys watasemaje kuhusiana na hii .....!!

Mimi nitasema kwamba kazi ya Jesuits (Misukule ya Vatican) ni kuhakikisha kwamba wanapindisha ukweli au kuibua hisia ya mashaka ndani ya mioyo ya watu dhidi ya Mungu na kweli yake.

Nimewaita majesuits misukule kwasababu katika barua ya Papa Benedict kwa Hans Clovarbech (Black Pope na Jenerali wa Jesuits mstaafu) alisema kwamba wanatakiwa kumtii Papa kama maiti, kwa ushahidi soma hapa:

"To serve as a soldier of God beneath the banner of the Cross and to serve the Lord alone and the Church, his spouse, under the Roman Pontiff, the Vicar of Christ on earth" (Apostolic Letter Exposcit Debitum, 21 July 1550). This is a "particular" fidelity, sanctioned for many of you by a vow of immediate obedience to the Successor of Peter "perinde ac cadaver".

Source: Letter to Fr Peter-Hans Kolvenbach on the occasion of the 35th General Congregation of the Society of Jesus

Majesuits kama nilivyosema awali kazi yao kubwa ni kupindisha ukweli hata ikibidi kwa kumwaga damu. Lengo la tafsiri uchwa juu ya unabii kuhusu Mpinga Kristo (Upapa) zina lenga kuchanganya watu wasimtambue Papa kuwa yeye ndie. Mfano mwingine wa hoja za namna hii unabii wa Daniel na Ufunuo kuhusu mpinga Kristo Jesuits wameupindua kwa kutafsiri kwamba Mpinga Kristo alikwishatokea zamani (Prerestic) au atatokea siku za mwisho (futureristic). Lengo ni kuhakikisha kwamba Papa (Mungu wao) hahusishwi na tafsiri ya Mpinga Kristo.

Moja ya watu wanaofanya kazi kama Jesuits ni pamoja na Eiyer, Mkuu wa chuo na RGforever ambao kupitia uzi maalumu wanaendeleza kazi hiyohiyo.

Mbali na kudanganya, pia wanahusika kuchakachua Biblia (https://www.google.co.tz/webhp?sour...1&espv=2&ie=UTF-8#q=changing the word, walter). Wanahusika kuanzisha Evengelical Churches (Walter Veith - (25) Strange Fire / Total Onslaught - YouTube) na wanashirikiana na vikundi vya siri kama Freemasson kuuandaa ulimwengu kwaajili ya kumrejeshea Papa mamlaka yake aliyokuwa nayo wakati wa kipindi cha giza (253 - The Secret Behind Secret Societies / Total Onslaught Mini Series - Walter Veith - YouTube). Si hivyo wanapambana usiku na mchana kudhibiti kazi na matokeo ya Uprotestanti kwa lengo la kuurudisha ulimwengu wa Ukristo chini ya gereza la Upapa (Walter Veith - The Jesuits and the Counter Reformation #1 - YouTube)

Kiapo chao, ambacho sidhani kama Eiyer naye kala ni hiki hapa:

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
I furthermore promise and declare that I will, when opportunity present, make and wage relentless war, secretly or openly, against all heretics, Protestants and Liberals, as I am directed to do, to extirpate and exterminate them from the face of the whole earth; and that I will spare neither age, sex or condition; and that I will hang, waste, boil, flay, strangle and bury alive these infamous heretics, rip up the stomachs and wombs of their women and crush their infants' heads against the walls, in order to annihilate forever their execrable race. That when the same cannot be done openly, I will secretly use the poisoned cup, the strangulating cord, the steel of the poniard or the leaden bullet, regardless of the honor, rank, dignity, or authority of the person or persons, whatever may be their condition in life, either public or private, as I at any time may be directed so to do by any agent of the Pope or Superior of the Brotherhood of the Holy Faith, of the Society of Jesus.

Source:
http://www.reformation.org/jesuit-oath.html

Kwahiyo wakianza kuleta tafsiri ya 666 kama walivyofanya, tunao wajua tunawacheka tu kwani tunawafahamu kwamba hiyo ni kazi ya CLEVER DEVILS.

[/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT]
 
Last edited by a moderator:
Babel.jpg


Hiyo hapo juu ni picha ya inayosadikiwa kuwa ya mnara wa babel ambao Nimrod kwa kushirikiana na watu wengine waliujenga kwasababu ambazo ni za kishetani kwa mujibu wa maandiko na Mungu alivuruga lugha

Tazama picha inayofuata hapa chini .....

img_0560.jpg


Hii ni picha ya jengo la bunge la Ulaya huko Ubelgiji ...

Majengo haya yanafanana kwa kiwango kikubwa sana,je ni kwanini?

Haya mambo ni ya bahati mbaya au ni kwa lengo maalum tu?

Wajameni mmeshajiuliza kuhusu haya waungwana?

Hiyo tisa kumi ni hii picha hapa chini ;

EuropaStatueEuropeanCouncilBrussels.jpg


Hii ni sanamu ya mwanamke akiwa juu ya mnyama kama ilivyoelezwa kwenye Ufunuo 17 na sanamu hii iko nje ya jengo la bunge la Ulaya,kwanini mambo haya yako hivi?

Ni bahati mbaya tu au yapo kwa malengo maalum?

Jamani hebu tusaidiane kufikiri waungwana ......

CC: Mkuu wa chuo , Ishmael juve2012 , Ntuzu , RGforever , MTAZAMO Mentor , Kaunga EMT , Lisa Valentine Tanzania Law @Schiendler charminglady , Basluma Original Otorong'ong'o na wengineo .....!!

New World order Plan hiyo kumuandali mapito Papa (Mpinga Kristo).

Walter Veith - (21) A New World Order / Total Onslaught - YouTube
 
Unajua saa nyingine inachosha sana ..... mnakonsetreti sana kwenye vitu ambavyo huwezi kudhibitisha hata kwa nukta ya maandiko vinahusiana vipi na upinga kristo.Wakatoliki wanakwambia alama ya msalaba kwenye kiti cha Pope ni kumbukumbuku ya kifo cha Petro arifa wa kwanza wa Yesu....lakini unalazimisha imani yako kinyume na wahusika wanavyoamini.......sasa unazidi kutia aibu kwa kuuliza eti kwanini tumkumbuke Petro na si Yesu !!!!! basi Biblia yote ingeandikwa habari zinazomuhusu Yesu tu ili tuiamini!!!! Kwanza mlidanganya maana ya msalaba kugeuka specifically kwenye kiti cha Pope lakini mliposhindwa Kitheolojia sasa hoja ni kwanini akumbukwe Petro!!!!

Maswali ya watu waliokosa hoja hayo. Hakika fabrications za hoja tata juu ya kanisa Katoliki hazijaanza leo.

Mwenye kushangaa kumbukumbu ya Petro na anijibu kwa nini akifa Abdallah, mwili wake wkt umebebwa kupelekwa mazishini anaombewa Mohammad? Kwani kafa Mohammad?
 
[TABLE="width: 672"]
[TR]
[TD="width: 50%"]What the Bible says about the Antichrist
[/TD]
[TD="width: 50%"]What Islam and the Koran say about Mahdi 12th Imam
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]The antichrist will be an unparalleled leader in ability to speak and lead
[/TD]
[TD="width: 50%"]The Imam Al Madhi will be an unparalleled leader in ability to speak and lead
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]The False Prophet will support the antichrist in deceiving the world into accepting and following the Antichrist.
[/TD]
[TD="width: 50%"]A "Muslim Jesus" will "return" and support the Imam Al Madhi in getting the world to accept the Imam Al Madhi and follow him.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]The Antichrist and the False Prophet will have a powerful army that will do great damage to the Earth in order to subdue it and follow them.
[/TD]
[TD="width: 50%"]The Imam Al Madhi and the Muslim "Jesus" will have a powerful army that will do great damage to the Earth in order to subdue it and cause everyone to follow them
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]The False Prophet is described as a Dragon in Lamb's clothing
[/TD]
[TD="width: 50%"]The Muslim "Jesus" will come bearing the name that the world knows as the Lamb of God and yet teach Islam.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]The Antichrist and the False Prophet establish a New World Order
[/TD]
[TD="width: 50%"]The Imam Al Madhi and the Muslim "Jesus" establish a New World Order
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]The Antichrist is said to "change the times".
[/TD]
[TD="width: 50%"]The Imam Al Madhi almost certainly will adopt use of the Islamic calendar for use worldwide, hence changing the times. It is a 12 month calendar of 30 days each with Muslims names.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]The Antichrist and False Prophet will adopt a universal and mandatory religion
[/TD]
[TD="width: 50%"]The Imam Al Madhi and the Muslim "Jesus" will institute Islam as the only acceptable religion.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]The Antichrist and False prophet will execute by beheading anyone who does not accept their religion
[/TD]
[TD="width: 50%"]The Imam Al Madhi and the Muslim "Jesus" will execute by beheading anyone who does not accept Islam. Beheading has been the official method of execution for Islam since the days of Mohammed and still is to this very day.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]The Antichrist will have a specific agenda to kill as many Jews as possible.
[/TD]
[TD="width: 50%"]The Imam Al Madhi and the Muslim "Jesus" will have an order from God to root out and kill all Jews.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]The Antichrist and False Prophet will attack and conquer Jerusalem. Interestingly enough all of the nations the Bible mentions as coming to attack Israel and Jerusalem (In Ezekiel) are currently Muslim nations
[/TD]
[TD="width: 50%"]The Imam Al Madhi and Muslim "Jesus" will attack and conquer Jerusalem in the name of Islam
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]The Antichrist will set himself up in the Jewish Temple in Jerusalem as his seat of authority.
[/TD]
[TD="width: 50%"]The Imam Al Madhi will establish the Islamic Caliphate from Jerusalem. The Caliphate is a religious and political leader of all Islam and all Muslims. With the whole world having to accept Islam he will in effect be a world ruler from Jerusalem
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"].The Antichrist will perform many miracles in order to deceive many into following him.
[/TD]
[TD="width: 50%"]The Imam Al Madhi will also be able to perform many miracles.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]The Antichrist will make a peace treaty with Israel for 7 years.
[/TD]
[TD="width: 50%"]The Imam Al Madhi will make a peace treaty with Israel for 7 years.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 50%"]Jesus at his second coming will defend Jerusalem and Israel from an attack by a coalition of nations led by the Antichrist and the False Prophet.
[/TD]
[TD="width: 50%"]Warns that the Dajjal, the Muslim Antichrist, will appear and fool Jews into thinking he is Jesus the Messiah and fight for them. The Koran warns Muslims to ignore everything he says and flee from him.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
The number 666 in the Bible

MUHAMMAD = 666

Any power (1,2,3,4……) of 666 has the same numerical root , 9 . For example : 666^2 = 443 556 >> 27 >> 9 , 666^3 = 295 408 296 >> 45 >> 9 , 6664 = 196 741 925 136 >> 54 >> 9 ……… 666^n >> 9
Now lets us construct a numerological table using the English Alphabets multiply by the numerical root of 666^n i.e., 9 :

A = 1 x 9 = 9
B = 2 x 9 = 18
C = 3 x 9 = 27
..........
Y = 25 x 9 = 225
Z = 26 x 9 = 234 .

Lets try it for muhammad :
m 13 * 9 = 117
u 21 * 9 = 189
h 8 * 9 = 72
a 1 * 9 = 9
m 13 * 9 = 117
m 13 * 9 = 117
a 5 * 9 = 9
d 4 * 9 = 36
---------- TOTAL = 666

Naona askari wa Jibril anataka kupindisha mada.

Mtumishi Eiyer , niweka ushahidi hapo juu kuwa Muhammad = 666 na mwingine Allah = 666, jamaa sasa wameingia mitini.

CC: Mkuu wa chuo Lisa Valentine 2013


Mi nashangaa mnahangaika kutafuta vi sifa ili kuutoa Uroma ktk upinga Kristo.

Daniel 7:25

He shall speak pompous words against the Most High,
Shall persecute the saints of the Most High,
And shall intend to change times and LAW
The saints shall be given into his hand for a time and times and half time.


Sasa waislamu ni sheria gani ys Mungu waliyobadilisha? Au Uroma ndio ulibadisha sheria ya Mungu hasa ile ya 4 na kuandika SHIKA KITAKATIFU SIKU YA......

Waislam kwa sifa ya kumkataa Yesu kua ni Mungu wao wanaungana na mpinga Kristo mkuu Roma kua kitu kimoja.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa chuo ,sijui akina Ntuzu na Lawkeys watasemaje kuhusiana na hii .....!!

Hao wenyewe wanadili na wa RC pamoja na wakristo wengine, wazee wa ndevu hawana shida nao, ndio maana unaona itikadi zinaendana, hata ile principle ya hata Adamu alikuwa ni... ndio maana hata ku reason wanaenda sawa... Sema wazee wa ndevu busara ni ndogo zaidi...

Uroma na uislam ni kitu kimoja ktk kumpiga Kristo
 
Last edited by a moderator:
We toa matusi na kashfa zako lkn ukweli utaambiwa tu.

Hebu tumsome kidogo Shetani PAULO anavyomsifu huyo mnaemuabudu nyie RC!

WAGALATIA 3:13
Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti

Hapo PAULO anamuita YESU kuwa ni LAANA! yaani MALUUNI.

Nakuuliza hivi.
Mwenye LAANA anafaa kuwa KIONGOZI wa Kufuatwa?

Mwenye LAANA anaweza kuwa MUUNGWANA?

Mwenye LAANA anaweza kupendwa na Mungu?

NA kwa mujibu wa imani yako MWENYE KUFA NA LAANA Ataingia MOTONI au PEPONI?

Someni imani yenu vizuri na wacha kukashifu watu bila kuwa na tija!

Mimi nimekuwekea wazi Udogo wenu wa busara hapa.

Sasa na wewe nionyeshe Udogo wa busara zangu. Manake na mimi nina ndevu km hao unaowatusi hapo juu!

Ili nipate kujiregebisha na kuwa na Busara zaidi.
Wewe huwa napenda uwepo kwenye mijadala kwa sababu moja yaani we ni mchekeshaji wa kijiwe, yaani kwa maana nyingine ni mshehereshaji tu...

Maana nikianza kuweka aya za quran nadhani hali inaweza ikabadilika... na nikikuuliza maswali nadhani unaweza ukachukia, busara yangu inaniambia nikuache uendelee kutubirudisha tu...

Wenzako wasabato wanadai nyie ni miongoni mwa Watakatifu mliouliwa na Papa ushahidi ni kutoka kwa msabato Lawkeys aliyotuwekea orodha ya watakatifu waliouliwa na Papa kwenye uzi ule mwingine...

ngojea niishie hapo...

nyie watu ni noma, nimesoma hapo yaani kila issue Papa anasingiziwa hadi kuchakachua maandishi ya Ellen G. White Jesuits wanaambiwa wao wanafanya hivyo wamejipenyeza hadi huko kwenu hadi kwa Wasabato hao jamaa ni noma, hawana tofauti na mfumo kristo, sasa imekuwa kama utamaduni kila kitu sehemu kikienda ndivyo sivyo wa RC wanasingiziwa wamekuwa kama punching bag...

Lakini katika ibada zao sijawahi kuona waki deal na imani za wengine, wala wakitoa shutuma...

CC: RGforever
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom