Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Lawkeys nimekusoma pia inaonekana una Intelijensia kali kuhusiana na RC, lakini sina uhakika kama nilichokiandika kwenye sentensi iliyopita kwenye hii post kina ukweli au ni sahihi...

THEY ARE GOD Mkuu wa chuo...... Maana Intellijensia wa kawaida hana Ufunuo wa namna hii... wanajua kila kitu mpaka Mwisho wa Dunia na Yesu alipo.. unadhani ni Akili ya Binadamu wa kawaida hiyo
 
Last edited by a moderator:
Mimi nitasema kwamba kazi ya Jesuits (Misukule ya Vatican) ni kuhakikisha kwamba wanapindisha ukweli au kuibua hisia ya mashaka ndani ya mioyo ya watu dhidi ya Mungu na kweli yake.

Nimewaita majesuits misukule kwasababu katika barua ya Papa Benedict kwa Hans Clovarbech (Black Pope na Jenerali wa Jesuits mstaafu) alisema kwamba wanatakiwa kumtii Papa kama maiti, kwa ushahidi soma hapa:

"To serve as a soldier of God beneath the banner of the Cross and to serve the Lord alone and the Church, his spouse, under the Roman Pontiff, the Vicar of Christ on earth" (Apostolic Letter Exposcit Debitum, 21 July 1550). This is a "particular" fidelity, sanctioned for many of you by a vow of immediate obedience to the Successor of Peter "perinde ac cadaver".

Source: Letter to Fr Peter-Hans Kolvenbach on the occasion of the 35th General Congregation of the Society of Jesus

Majesuits kama nilivyosema awali kazi yao kubwa ni kupindisha ukweli hata ikibidi kwa kumwaga damu. Lengo la tafsiri uchwa juu ya unabii kuhusu Mpinga Kristo (Upapa) zina lenga kuchanganya watu wasimtambue Papa kuwa yeye ndie. Mfano mwingine wa hoja za namna hii unabii wa Daniel na Ufunuo kuhusu mpinga Kristo Jesuits wameupindua kwa kutafsiri kwamba Mpinga Kristo alikwishatokea zamani (Prerestic) au atatokea siku za mwisho (futureristic). Lengo ni kuhakikisha kwamba Papa (Mungu wao) hahusishwi na tafsiri ya Mpinga Kristo.

Moja ya watu wanaofanya kazi kama Jesuits ni pamoja na Eiyer, Mkuu wa chuo na RGforever ambao kupitia uzi maalumu wanaendeleza kazi hiyohiyo.

Mbali na kudanganya, pia wanahusika kuchakachua Biblia (https://www.google.co.tz/webhp?sour...1&espv=2&ie=UTF-8#q=changing the word, walter). Wanahusika kuanzisha Evengelical Churches (Walter Veith - (25) Strange Fire / Total Onslaught - YouTube) na wanashirikiana na vikundi vya siri kama Freemasson kuuandaa ulimwengu kwaajili ya kumrejeshea Papa mamlaka yake aliyokuwa nayo wakati wa kipindi cha giza (253 - The Secret Behind Secret Societies / Total Onslaught Mini Series - Walter Veith - YouTube). Si hivyo wanapambana usiku na mchana kudhibiti kazi na matokeo ya Uprotestanti kwa lengo la kuurudisha ulimwengu wa Ukristo chini ya gereza la Upapa (Walter Veith - The Jesuits and the Counter Reformation #1 - YouTube)

Kiapo chao, ambacho sidhani kama Eiyer naye kala ni hiki hapa:

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
I furthermore promise and declare that I will, when opportunity present, make and wage relentless war, secretly or openly, against all heretics, Protestants and Liberals, as I am directed to do, to extirpate and exterminate them from the face of the whole earth; and that I will spare neither age, sex or condition; and that I will hang, waste, boil, flay, strangle and bury alive these infamous heretics, rip up the stomachs and wombs of their women and crush their infants' heads against the walls, in order to annihilate forever their execrable race. That when the same cannot be done openly, I will secretly use the poisoned cup, the strangulating cord, the steel of the poniard or the leaden bullet, regardless of the honor, rank, dignity, or authority of the person or persons, whatever may be their condition in life, either public or private, as I at any time may be directed so to do by any agent of the Pope or Superior of the Brotherhood of the Holy Faith, of the Society of Jesus.

Source:
http://www.reformation.org/jesuit-oath.html

Kwahiyo wakianza kuleta tafsiri ya 666 kama walivyofanya, tunao wajua tunawacheka tu kwani tunawafahamu kwamba hiyo ni kazi ya CLEVER DEVILS.

[/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
[/FONT]

Nimebaki nacheka sana....Duuuh

Wasabato bana...
 
Last edited by a moderator:
Uroma na uislam ni kitu kimoja ktk kumpiga Kristo

Wajukuu wa Mama mmewasili.....

Hahahaha...Wasabato mnanifurahisha kweli....Msabato ambaye hataki kujionesha kuwa na yeye ni Msabato juvee2012 anadai Hata General Confe ya kisabato Jesuits wapo...

Hahahahaha...Mgambo mbaruka na kukanyagana..
 
Last edited by a moderator:
Wewe huwa napenda uwepo kwenye mijadala kwa sababu moja yaani we ni mchekeshaji wa kijiwe, yaani kwa maana nyingine ni mshehereshaji tu...

Maana nikianza kuweka aya za quran nadhani hali inaweza ikabadilika... na nikikuuliza maswali nadhani unaweza ukachukia, busara yangu inaniambia nikuache uendelee kutubirudisha tu...

Wenzako wasabato wanadai nyie ni miongoni mwa Watakatifu mliouliwa na Papa ushahidi ni kutoka kwa msabato Lawkeys aliyotuwekea orodha ya watakatifu waliouliwa na Papa kwenye uzi ule mwingine...

ngojea niishie hapo...

nyie watu ni noma, nimesoma hapo yaani kila issue Papa anasingiziwa hadi kuchakachua maandishi ya Ellen G. White Jesuits wanaambiwa wao wanafanya hivyo wamejipenyeza hadi huko kwenu hadi kwa Wasabato hao jamaa ni noma, hawana tofauti na mfumo kristo, sasa imekuwa kama utamaduni kila kitu sehemu kikienda ndivyo sivyo wa RC wanasingiziwa wamekuwa kama punching bag...

Lakini katika ibada zao sijawahi kuona waki deal na imani za wengine, wala wakitoa shutuma...

CC: RGforever

Mkuu Mkuu wa chuo mimi leo nakufa mbavu aisee....Yani hawa Wasabato wanaruka na kukanyagana.....Wakiona wanaumizana wanasema RC ndo anawasababisha wanaumizana.....

Duhhhh.....Hawana tofauti na ndugu zetu Mfumo Kristo....Watoto wao wakifeli wanasema kanisa limewafelisha.....kwikwikwi..

Nasikia hata wale Wasabato Masalia na Matengenezo ni kazi ya RC na Jesuits....

Huko Marekani GC ya Wasabato inataka kupitisha Wanawake wa kisabato nao Wahubiri...Juvee2012 anadai ni kazi ya RC....

Ntuzu akigombana na Jirani zake eti Jesiuts ndo wamesanabisha......Hahahahaha

Mkuu wa chuo hebu nipe tofauti kati ya Wasabato na Waislamu....
 
Last edited by a moderator:
You have written this out of ignorance. Kuna sababu 2.

1. Wakatoliki wengi unaokutana na ni ignorant. Na hiyo ni strategy, hawawezi kujibu kwasababu hawana hoja. Wanakaririshwa sala.

2. Jesuits wanapambana na ukweli strategically, kwa kurewrite historia, kudevice interpretations za unabii ambazo zinamuondoa papa kama mpinga kristo, wanachakachua vitabu vya E G White na Biblia mfano NIV, RSV, Douay. Na Mkuu wa chuo unawasadia katika kazi hii, kumbuka habari za Makabayo, Kumbuka uzi kuhusu E White, n.k. na sasa kupitia uzi huu.

3. Jesuits are tricky, wanajifanya wanapingana hapa aafu baadae wanakutana parokia kupokea ujira.

Utwambie tusi tulilo watukana RC! Tunaandika isipokuwa kwa ushahidi wa Biblia, machapisho ya Kikatoliki na Historia. Sijanukuu Great Controversy kwasababu najua mtakavyo luka.

Tutaquote Vatican.va, Katekismu na viapo vyenu vya siri period

Makubwaa haya Mkuu wa chuo , Eiyer na RGforever kumbe nyie ni Jesuits...?

Wasabato jamaniiii....Ni usiku lakini nakufa mbavu...
 
Last edited by a moderator:
Jesuits Catechism

Q. What if the Holy Scripture command one thing, and the Pope another contrary to it?

A. The Holy Scripture must be thrown aside.

Q. What is the Pope?

A. He is the Vicar of Christ, King of Kings, and Lord of Lords, and there is but one judgement seat belonging to God and the Pope.

(Roy Livesey, 1998, Understanding the New Age: World Government and World Religion (Chichester. England: New Wine Press. P. 104.)

Yesu nafasi yake ni ipi? Papa aka antichrist amechukua nafasi yake.

Clever Devils at work.
 
Lengo la Uekumene ni nini?

Utasikia Umoja wa Makanisa Tanzania, World Council of Churches n.k.

Lengo lake ni:

The Final object of ecumenism, as Catholics conceive it, is unity in Faith, Worship, and the acknowledgment of supreme spiritual authority of the Bishop of Rome [the ANTI CHRIST]. Priest J. Cornell.

Freemasons

The truth is the Jesutis of Rome have perfected Freemasonry to be their most magnificent and effective tool of accomplishing their purposes among Protestants.


Source: The Grand Design Exposed, John Daniel (Middleton, Idaho: CHJ Publishing, 1999), p. 302.

 
Luther Said: "I know that the Pope is Antichirst, and that his seat is that of Satan himself."
"The papacy is a general chase, by command of the Roman Pontiff, for the purpose of running down and destroying souls"
John Calvin:
"We call the Roman pontiff Antichrist."
John Wesley said: "He is in an emphatic sense, the Man of Sin, as he increases all manner of sin above measure."
John Knox said that the pope should be recognized as "the very antichrist."
Rev 13:4 And they worshiped the dragon which gave power unto the beast: and they worshiped the beast, saying, Who is like unto the beast? Who is able to make war with him?
From Vatican
 
Mkuu Mkuu wa chuo mimi leo nakufa mbavu aisee....Yani hawa Wasabato wanaruka na kukanyagana.....Wakiona wanaumizana wanasema RC ndo anawasababisha wanaumizana.....

Duhhhh.....Hawana tofauti na ndugu zetu Mfumo Kristo....Watoto wao wakifeli wanasema kanisa limewafelisha.....kwikwikwi..

Nasikia hata wale Wasabato Masalia na Matengenezo ni kazi ya RC na Jesuits....

Huko Marekani GC ya Wasabato inataka kupitisha Wanawake wa kisabato nao Wahubiri...Juvee2012 anadai ni kazi ya RC....

Ntuzu akigombana na Jirani zake eti Jesiuts ndo wamesanabisha......Hahahahaha

Mkuu wa chuo hebu nipe tofauti kati ya Wasabato na Waislamu....

Kazi kweli kweli mkuu... Tofauti yao ni ndogo ila similarities ni hizi

Wakati hawa wanasema hata Adamu alikuwa ni Muislamu, hawa wengine wanasema hata Adamu alikuwa ni msabato hadi Mungu mwenyewe ni msabato...

Wakati hawa wanaamini matatizo yao mengi wamesababisha RC na Marekani, pia na hawa wanaamini hivyo hivyo kwasababu Marekani ndio nabii wa uongo kwa upande wa Wasabato...

Wakati hawa wanaamini Marekani imeunda Boko haram, Isis na Al qaeda na hawa wanaamini hivyo hivyo Bko haram, Al qaeda na Isis ni kazi ya RC ndio maana hata Lawkeys anakwambia hao wote ISIS ni watu wazuri ukilinganisha na RC...

ndio maana unaona wote matatizo yao wanatupia lawama Marekani na RC...

ndio maana saa nyingine wanaweza wakaungana kuwashambulia Wakristo wengine tofauti na wao...
 
Last edited by a moderator:
lengo la uekumene ni nini?

Utasikia umoja wa makanisa tanzania, world council of churches n.k.

Lengo lake ni:

the final object of ecumenism, as catholics conceive it, is unity in faith, worship, and the acknowledgment of supreme spiritual authority of the bishop of rome [the anti christ]. Priest j. Cornell.

freemasons

the truth is the jesutis of rome have perfected freemasonry to be their most magnificent and effective tool of accomplishing their purposes among protestants.


source: The grand design exposed, john daniel (middleton, idaho: Chj publishing, 1999), p. 302.


kuna jambo gani toka 1863 mpaka leo wasabato mlishalisema likawa kweli na likatokea?
 
Kazi kweli kweli mkuu... Tofauti yao ni ndogo ila similarities ni hizi

Wakati hawa wanasema hata Adamu alikuwa ni Muislamu, hawa wengine wanasema hata Adamu alikuwa ni msabato hadi Mungu mwenyewe ni msabato...

Wakati hawa wanaamini matatizo yao mengi wamesababisha RC na Marekani, pia na hawa wanaamini hivyo hivyo kwasababu Marekani ndio nabii wa uongo kwa upande wa Wasabato...

Wakati hawa wanaamini Marekani imeunda Boko haram, Isis na Al qaeda na hawa wanaamini hivyo hivyo Bko haram, Al qaeda na Isis ni kazi ya RC ndio maana hata Lawkeys anakwambia hao wote ISIS ni watu wazuri ukilinganisha na RC...

ndio maana unaona wote matatizo yao wanatupia lawama Marekani na RC...

ndio maana saa nyingine wanaweza wakaungana kuwashambulia Wakristo wengine tofauti na wao...

Hahahahaaaaaaa ....!

Watu wana matatizo sana aisee

Kuna na wale wengine wanasema matatizo ya Dunia yameletwa na wale ambao wanaabudu au kukubali uwepo wa Mungu,ni kazi sana!!
 
Back
Top Bottom