Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Lawkeys nimekusoma pia inaonekana una Intelijensia kali kuhusiana na RC, lakini sina uhakika kama nilichokiandika kwenye sentensi iliyopita kwenye hii post kina ukweli au ni sahihi...

THEY ARE GOD Mkuu wa chuo...... Maana Intellijensia wa kawaida hana Ufunuo wa namna hii... wanajua kila kitu mpaka Mwisho wa Dunia na Yesu alipo.. unadhani ni Akili ya Binadamu wa kawaida hiyo
 
Last edited by a moderator:

Nimebaki nacheka sana....Duuuh

Wasabato bana...
 
Last edited by a moderator:
Uroma na uislam ni kitu kimoja ktk kumpiga Kristo

Wajukuu wa Mama mmewasili.....

Hahahaha...Wasabato mnanifurahisha kweli....Msabato ambaye hataki kujionesha kuwa na yeye ni Msabato juvee2012 anadai Hata General Confe ya kisabato Jesuits wapo...

Hahahahaha...Mgambo mbaruka na kukanyagana..
 
Last edited by a moderator:

Mkuu Mkuu wa chuo mimi leo nakufa mbavu aisee....Yani hawa Wasabato wanaruka na kukanyagana.....Wakiona wanaumizana wanasema RC ndo anawasababisha wanaumizana.....

Duhhhh.....Hawana tofauti na ndugu zetu Mfumo Kristo....Watoto wao wakifeli wanasema kanisa limewafelisha.....kwikwikwi..

Nasikia hata wale Wasabato Masalia na Matengenezo ni kazi ya RC na Jesuits....

Huko Marekani GC ya Wasabato inataka kupitisha Wanawake wa kisabato nao Wahubiri...Juvee2012 anadai ni kazi ya RC....

Ntuzu akigombana na Jirani zake eti Jesiuts ndo wamesanabisha......Hahahahaha

Mkuu wa chuo hebu nipe tofauti kati ya Wasabato na Waislamu....
 
Last edited by a moderator:

Makubwaa haya Mkuu wa chuo , Eiyer na RGforever kumbe nyie ni Jesuits...?

Wasabato jamaniiii....Ni usiku lakini nakufa mbavu...
 
Last edited by a moderator:
Jesuits Catechism

Q. What if the Holy Scripture command one thing, and the Pope another contrary to it?

A. The Holy Scripture must be thrown aside.

Q. What is the Pope?

A. He is the Vicar of Christ, King of Kings, and Lord of Lords, and there is but one judgement seat belonging to God and the Pope.

(Roy Livesey, 1998, Understanding the New Age: World Government and World Religion (Chichester. England: New Wine Press. P. 104.)

Yesu nafasi yake ni ipi? Papa aka antichrist amechukua nafasi yake.

Clever Devils at work.
 
Lengo la Uekumene ni nini?

Utasikia Umoja wa Makanisa Tanzania, World Council of Churches n.k.

Lengo lake ni:

The Final object of ecumenism, as Catholics conceive it, is unity in Faith, Worship, and the acknowledgment of supreme spiritual authority of the Bishop of Rome [the ANTI CHRIST]. Priest J. Cornell.

Freemasons

The truth is the Jesutis of Rome have perfected Freemasonry to be their most magnificent and effective tool of accomplishing their purposes among Protestants.


Source: The Grand Design Exposed, John Daniel (Middleton, Idaho: CHJ Publishing, 1999), p. 302.

 
Luther Said: "I know that the Pope is Antichirst, and that his seat is that of Satan himself."
"The papacy is a general chase, by command of the Roman Pontiff, for the purpose of running down and destroying souls"
John Calvin:
"We call the Roman pontiff Antichrist."
John Wesley said: "He is in an emphatic sense, the Man of Sin, as he increases all manner of sin above measure."
John Knox said that the pope should be recognized as "the very antichrist."
Rev 13:4 And they worshiped the dragon which gave power unto the beast: and they worshiped the beast, saying, Who is like unto the beast? Who is able to make war with him?
From Vatican
 

Kazi kweli kweli mkuu... Tofauti yao ni ndogo ila similarities ni hizi

Wakati hawa wanasema hata Adamu alikuwa ni Muislamu, hawa wengine wanasema hata Adamu alikuwa ni msabato hadi Mungu mwenyewe ni msabato...

Wakati hawa wanaamini matatizo yao mengi wamesababisha RC na Marekani, pia na hawa wanaamini hivyo hivyo kwasababu Marekani ndio nabii wa uongo kwa upande wa Wasabato...

Wakati hawa wanaamini Marekani imeunda Boko haram, Isis na Al qaeda na hawa wanaamini hivyo hivyo Bko haram, Al qaeda na Isis ni kazi ya RC ndio maana hata Lawkeys anakwambia hao wote ISIS ni watu wazuri ukilinganisha na RC...

ndio maana unaona wote matatizo yao wanatupia lawama Marekani na RC...

ndio maana saa nyingine wanaweza wakaungana kuwashambulia Wakristo wengine tofauti na wao...
 
Last edited by a moderator:

kuna jambo gani toka 1863 mpaka leo wasabato mlishalisema likawa kweli na likatokea?
 

Hahahahaaaaaaa ....!

Watu wana matatizo sana aisee

Kuna na wale wengine wanasema matatizo ya Dunia yameletwa na wale ambao wanaabudu au kukubali uwepo wa Mungu,ni kazi sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…