Na vizazi vyote vitaniita mbarikiwa.hili andiko linapatikana wapi?
Luka 1:48 Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa;Na vizazi vyote vitaniita mbarikiwa.hili andiko linapatikana wapi?
Ni Luka hiyo mkuu...Marko 1:46-49
46 Mariamu akasema, Moyo wangu wamwadhimisha Bwana,
47 Na roho yangu imemfurahia Mungu, Mwokozi wangu;
48 Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa;
49 Kwa kuwa Mwenye nguvu amenitendea makuu, Na jina lake ni takatifu.
Tazama kwenye Red kuna jibu lako ....!!
Hebu acha maneno mengi,nimekuuliza kuwa hao wafalme 10 watainuka wakati Rumi ipo au itakuwa imeshaanguka?
Eiyer huyo juve2012 nimekwisha msoma muda mrefu yupo biased sana, kama utarejea wakati aki quote andiko langu katika huu uzi mwishoni alimalizia sasa ni zamu ya matusi, eti huwa tunajadili kwa matusi au ni fact zaidi!? alikuja kule kwenye uzi wa Ellen G. White akatetea nilimtandika maswali akatoka nduki hakuonekana tena, huku nilimuomba tuendelee kujadili...
Hoja iliopo ni root ya mpinga Kristo na so km hayo ya wafalme kumi.
Hoja iliopo ni root ya mpinga Kristo na sio hayo ya wafalme kumi.
Hapana mkuu. Labda unifahamishe juu ya hilo.
umeleta utetezi dhaifu kabisa.unafanya kz ya kuusafisha uroma na kuutupia upinga kristo uislamu.
Umeandika mambo mengi lkn hakuna cha maana ata kimoja.
Nimekupa ushahidi wa amri ya 4 ktk kitabu cha kutoka 20:8-11 jinsi rc walivyoibadili km daniel 7:25 ilivyosema unaleta habari za sharia ya waislam. Unapingana na kweli iliopo.
Yani uprotestant ni kazi sn siku hizi. Mmeacha njia yenu ya waanzilishi wenu na kilichobaki mnaomba msamaha tena kwa rc,na ndicho mnachofanya hapa ishamael na mkuu wa chuo kuwabembeleza eiyer na rgforever
eti obama anaonekana kutimiza unabii. Jidanganyeni wenyewe na hizo hoja dhaifu
luka 1:46-49
46 mariamu akasema, moyo wangu wamwadhimisha bwana,
47 na roho yangu imemfurahia mungu, mwokozi wangu;
48 kwa kuwa ameutazama unyonge wa mjakazi wake. kwa maana, tazama, tokea sasa vizazi vyote wataniita mbarikiwa;
49 kwa kuwa mwenye nguvu amenitendea makuu, na jina lake ni takatifu.
tazama kwenye red kuna jibu lako ....!!
Namsubiri Ishmael aje tujadili kile tunajadili huna hoja weye
Wanasema ni Yesu fake anayeandaliwa kurudi ili kupotosha ulimwengu.
Ngoja nisubiri jibu lakeKuna hoja gani ya Ishmael uliyoikubali? unamuita mtu ambaye hujawahi hata kukubaliana naye hoja na kila saa mnapingana...
UMEULIZWA NA MIMI NILISHAWAULIZA TOKA 1844 MPAKA LEO JAMBO GANI LIMESHATOKEA KWELI NYIE MKITABIRI?.. Najua lingekuwepo ungeleta hapa haraka tu maana mnasifa za Uongo na Upotofu..
MPAKA LEO HUJAWAHI KULETA HATA SABABABU ZAKO 10 ZA KUMWITA ELLEN G WHITE NI NABII WA KWELI UMEBAKI KUKOMMENT TU KWAMBA WENGINE WANAKOSEA
Walid Shoebat anaelezea kiundani kwanini Uislam ndio utahusika na Kuping Kristo. Listen to him, then we will talk in detail.Umeleta utetezi dhaifu kabisa.unafanya kz ya kuusafisha uroma na kuutupia upinga kristo uislamu.
Umeandika mambo mengi lkn hakuna cha maana ata kimoja.
Nimekupa ushahidi wa amri ya 4 ktk kitabu cha kutoka 20:8-11 jinsi Rc walivyoibadili km Daniel 7:25 ilivyosema unaleta habari za Sharia ya waislam. Unapingana na kweli iliopo.
Yani uprotestant ni kazi sn siku hizi. Mmeacha njia yenu ya waanzilishi wenu na kilichobaki mnaomba msamaha tena kwa RC,na ndicho mnachofanya hapa ISHAMael na Mkuu wa chuo kuwabembeleza Eiyer na RGforever
Eti Obama anaonekana kutimiza unabii. Jidanganyeni wenyewe na hizo hoja dhaifu
Umeleta utetezi dhaifu kabisa.unafanya kz ya kuusafisha uroma na kuutupia upinga kristo uislamu.
Umeandika mambo mengi lkn hakuna cha maana ata kimoja.
Nimekupa ushahidi wa amri ya 4 ktk kitabu cha kutoka 20:8-11 jinsi Rc walivyoibadili km Daniel 7:25 ilivyosema unaleta habari za Sharia ya waislam. Unapingana na kweli iliopo.
Yani uprotestant ni kazi sn siku hizi. Mmeacha njia yenu ya waanzilishi wenu na kilichobaki mnaomba msamaha tena kwa RC,na ndicho mnachofanya hapa ISHAMael na Mkuu wa chuo kuwabembeleza Eiyer na RGforever
Eti Obama anaonekana kutimiza unabii. Jidanganyeni wenyewe na hizo hoja dhaifu