Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Ukisoma Mathayo 24 Yesu amesema siku za mwisho zitakuwaje,"Kama ilivyokuwa katika siku za Nuhu na gharika,ndivyo itakuwa wakati wa kuja kwake mwana wa Adamu" ,kwa maana hii kiashiria kikuu cha siku za mwisho ni kuangalia kipindi cha Nuhu kilikuwaje....
Nakubaliana na wewe. Kipindi cha Nuhu maovu yaliongezeka sana na watu walijali/abudu mambo yao na kumsahau Mungu. Pia walisema hakuna mwisho wa dunia. KINACHOTOKEA SASA NI KAMA KIPINDI HICHO
Pamoja na maelezo yako mengine ni kwamba,binafsi nina mtazamo tofauti juu ya Israel hii iliyopo leo.Siamini kama hii ni ile Israel ambayo Mungu anaizungumzia kwenye Biblia na vitabu vingine,i strongly believe that,this is the fake Israel,Shetani amejaribu kuvuruga sana unabii wa nyakati za mwisho....
Mungu naamini huwa anahakikisha analinda maagano yake na maandiko yake katika bible. HAPO SHETANI HAWEZI KUINGILIA. Sasa mfano alisema atakae walani basi na yeye atalaniwa. Chunguza ukweli huu katika level ya kitaifa. Taifa linaloshutumu au kuvunja uhusiano na Israel nini kinawajili. Unaweza peruzi mataifa kadhaa. Kuna article moja nimepitia imetoa ushahidi kuwa mataifa top ten kwa sasa kiuchumi ni yale yenye ushirikiano na Israel hii ya sasa. Yapo mengine yalipaa kiuchumi pale tu yalipoanzisha ushirikiano na hii nchi. Sijaweka kumbukumbu ya link (jaribu kuperuz).(pia Waweza angalia mwamko wa TZ kwa sasa baada ya kuanzisha mahusiano na huko nyumba hasa kwenye HIZI RASMALI ZETU TUNAZOJIDAHI NI UTAJIRI japo isiwe kigezo muhimu kwa sasa
Je kuna dalili zitaenda kutunufaisha zaidi ya hapo nyuma zilivyokuwa zinabebwa kama hazina mwenyewe!).
KUNA KIWANGO SHETANI ANAWEZA KUINGIZA MAMBO YAKE, LAKINI MUNGU HAJALALA kiasi cha kuachilia ahadi na utaratibu wake uvurugike. Nikisoma bible nikakutana na direct speech,"asema BWANA" basi hicho kilichomaanishwa HUWA NATILIA UMAKINI WA HALI YA JUU.
Hii ya siku za mwisho na kufumbua hayo mafumbo, kama huu ndio wakati basi mungu atatufungulia kwa speed anayoitaka yeye. SISI Tukiongeza speed ndio hapo tunapatia 3 kati ya 10. ila wakati ukifika tutagundua 3 tulipatia 7 tulikosea. Hii kutofautiana kwa fafanuzi hakunipi shida. Ninachoangalia wangapi wamepatia na wanaenda na muda. Wako waliosema Obama ni 666, je wameenda sawa na muda. Pia huyu anayetajwa sasa ni 666 naangalia saa inaendaje na matukio.
Pia nakubali kutofautiana kwa HOJA ZENYE MANTIK, kwani vipofu wengi wakipapasa nyumba hatimaye watajua mlango upo wapi. Mradi wasianze kushambuliana badala ya kuendelea kupapasa.
 
Niliwahi fuatilia asilia ya waisraeli walioko pale middle east,nikaangalia jinsi wanavokabiliana na nguvu ya wapinzani (palestina),nikiunganisha na neno la Mungu,nashawishika kuamini kuwa hawa sio orijini ya yakobo.
Kwahiyo kinachotokea hapo israeli inawezekana ikawa upotoshaji ili kufikia lengo flani. Naunga mkono wazo lako mkuu Eiyer

Sent using Jamii Forums mobile app
UKIGEUZA UPANDE WA PILI WA SHILINGI, Palestina na Taifa lao ni kina nani??!
Lets go............ (PIA TUTAANGALIA MIUJIZA kidogo YA KUlindwa kwa Eneo la Israel kuelekea 1948 MPAKA LINAKUWA TAIFA. MASTA PLAN YA GOD SHETANI HAGUSI) Masta plani ya shetani itaonekana ipo juu kwa wale wasio na macho na wanaozolewa na propaganda)

The Palestinians in Prophecy
Where do the Arabs fit into end time Bible prophecy(including Palestines)?

Just as God made a covenant with the Jews through Abraham’s son Isaac and his son Jacob, God also made a promise to the Arab people. Most people are not aware of this. God made a covenant with Abraham’s other son, Ishmael, known today as the Arab peoples, and you can find that covenant in Genesis 16 and 17.

What were the promises God made to the descendants of Ishmael?

Firstly, God promised Abraham, “I will multiply your descendants exceedingly.” Today there are 350 million Arabs living in the Middle East.

Secondly, God said He would make Ishmael’s descendants into a great nation.” And, they are!

Thirdly, God gave the Ishmaelites all the land east of Canaan. And, He has!

Fourthly, God would give the Arabs a personality like a wild donkey. Very interesting comparison!

Fifthly, Ishmael’s descendants would have a warlike spirit. Their hands will be against everyone.

So, those are the promises God made about the descendants of Ishmael.

Let’s looks at thee fulfillment of God’s promises to Ishmael. Today, the Arab world spans the Middle East and North Africa. God said He was going to provide them with a lot of land, and He certainly did give them a whole lot of land. Today there are more than 350 million Arabs inhabiting 22 Arab nations. The Arab’s control 5.3 million square miles of oil rich land.

The Arabs are indeed characterized by an inability to get along with anyone, even including themselves. If Israel were to disappear tomorrow, there would still be wars in the Middle East. In one war between Iran and Iraq over one million people were killed. Then Iraq invaded Kuwait and wanted to take over all the Middle East. The Arabs cannot even get along with each other, much less the rest of the world.

By comparison, there is only one Jewish state with a population of 6 million Jews who are squeezed into a living area of only 8,000 square miles. You would think with those such overwhelming numbers the Arabs would be satisfied with the land they have, but no, they want all of Israel’s territory as well. In truth, they yearn to destroy their half-brother Israel. That is a population ratio of 60 to 1, and a land ratio of 662 to 1!

Regarding the so-called Palestinians, it is very interesting that from 70 AD until 1948 AD, the year when Israel was re-established, Jerusalem had never been the capital of any Arab state. Jerusalem has never been the capital of any Arab state, only of the Jewish state.
Also, there has never been a Palestinian state. Antisemetics will tell people that all the problems in the Middle East are tied to the day that the Jews returned and “ran all the Palestinians out and took over their homes.” What a lie! There has never been a Palestinian state. The Arabs who lived in the Levant considered themselves to be Syrians.

Historically proven, there never has been any Palestinian identity. There has never been a Palestinian culture. There was never any Palestinian language. It just simply doesn’t exist! The idea of a Palestinian state, a people who were illegally displaced by the Jews, is pure propaganda developed by the Arabs after the Six Day War in 1967. [KWA NIONAVYO MIMI HII NDIO MASTA PLAN YA SHETANI]
It is very important to keep in mind that the Palestinians already have a state. They already have a state and it is called Jordan. Some 75% of all the people who live in Jordan consider themselves Palestinians. So, when the Palestinians cry out to the world that they need a state, the truth is, they already legally have a state, and it’s called Jordan.

THE FACTS NA NAMNA YA ENEO WANALOKALIA ISLAEL;
The Land Restored (Islael or Holy Land)
Let me tell you, very few Syrians lived in the Holy Land. Most of the people were absentee landlords because the area was a wasteland. When the Jews were forced by the Romans to leave the area, Israel became a wasteland. By the 20th Century, there were only 17,000 trees left in all of Israel. Only 17,000! There was not a single tree south of the Sea of Galilee. How do we know that? The Turks taxed trees and so kept records. What did these poor people living in this miserable land do? They cut down their trees so they wouldn’t have to pay taxes. That’s how we know there were only 17,000 trees left in the land.

Do you know what a treeless land becomes? Erosion takes its toll and the water becomes malaria-infested swamplands. For the last 1,900 years, Israel was an absolute wasteland.

Why? God had that happen on purpose because He didn’t want anybody moving into the Promised Land. He wanted to reserve it for the Jewish people.

Check out the first book that Mark Twain ever wrote titled, Innocence Abroad. It records Twain’s trip to the Holy Land in 1866. He marveled over just how barren the land was. He reported that he rode a horse for three to almost four days from the Sea of Galilee to Jerusalem, and he never saw one human being the entire time. He never saw a tree. He never saw an animal. He reported that all he saw was rock after rock after rock.
It’s historically proven that there were hardly any people living in the land of Israel when the Jews began to come back. And, once they finally got there, what did the Jews do? They bought the land that God had already given them. They paid exorbitant prices to the Arabs who laughed all the way to the bank over these stupid Jews who were buying this worthless land.

What the Arabs didn’t realize was that God had prophesied that when the Jews came back, the land would become like the land of the Garden of Eden. Today you can go to Israel, and indeed, it looks just like the Garden of Eden must have. Drive down the Valley of Sharon and look out the bus. On one side there are strawberry fields, and there’s a cotton field, there’s a banana plantation. Just about everything you can imagine is growing, because God has made Israel once again like the Garden of Eden.

My hope is that this information will help the reader better understand that the return of the Jewish people to their homeland and the reestablishment of their state is firstly all in accordance with God’s will, and secondly, is a sure sign that we are living in the season of the Lord’s return.
Lets stop here.
My take; Sasa mtu akiniambia Israel ya sasa ni mpango wa SHETANI na Wapalestina kinyume chake itamaanisha mpango wa Mungu! inakuwa ngumu sana kumuamini. Itambidi afanye la ziada kutetea hoja yake.

cc; Eiyer
 
UKIGEUZA UPANDE WA PILI WA SHILINGI, Palestina na Taifa lao ni kina nani??!
Lets go............ (PIA TUTAANGALIA MIUJIZA kidogo YA KUlindwa kwa Eneo la Israel kuelekea 1948 MPAKA LINAKUWA TAIFA. MASTA PLAN YA GOD SHETANI HAGUSI) Masta plani ya shetani itaonekana ipo juu kwa wale wasio na macho na wanaozolewa na propaganda)

The Palestinians in Prophecy
Where do the Arabs fit into end time Bible prophecy(including Palestines)?

Just as God made a covenant with the Jews through Abraham’s son Isaac and his son Jacob, God also made a promise to the Arab people. Most people are not aware of this. God made a covenant with Abraham’s other son, Ishmael, known today as the Arab peoples, and you can find that covenant in Genesis 16 and 17.

What were the promises God made to the descendants of Ishmael?

Firstly, God promised Abraham, “I will multiply your descendants exceedingly.” Today there are 350 million Arabs living in the Middle East.

Secondly, God said He would make Ishmael’s descendants into a great nation.” And, they are!

Thirdly, God gave the Ishmaelites all the land east of Canaan. And, He has!

Fourthly, God would give the Arabs a personality like a wild donkey. Very interesting comparison!

Fifthly, Ishmael’s descendants would have a warlike spirit. Their hands will be against everyone.

So, those are the promises God made about the descendants of Ishmael.

Let’s looks at thee fulfillment of God’s promises to Ishmael. Today, the Arab world spans the Middle East and North Africa. God said He was going to provide them with a lot of land, and He certainly did give them a whole lot of land. Today there are more than 350 million Arabs inhabiting 22 Arab nations. The Arab’s control 5.3 million square miles of oil rich land.

The Arabs are indeed characterized by an inability to get along with anyone, even including themselves. If Israel were to disappear tomorrow, there would still be wars in the Middle East. In one war between Iran and Iraq over one million people were killed. Then Iraq invaded Kuwait and wanted to take over all the Middle East. The Arabs cannot even get along with each other, much less the rest of the world.

By comparison, there is only one Jewish state with a population of 6 million Jews who are squeezed into a living area of only 8,000 square miles. You would think with those such overwhelming numbers the Arabs would be satisfied with the land they have, but no, they want all of Israel’s territory as well. In truth, they yearn to destroy their half-brother Israel. That is a population ratio of 60 to 1, and a land ratio of 662 to 1!

Regarding the so-called Palestinians, it is very interesting that from 70 AD until 1948 AD, the year when Israel was re-established, Jerusalem had never been the capital of any Arab state. Jerusalem has never been the capital of any Arab state, only of the Jewish state.
Also, there has never been a Palestinian state. Antisemetics will tell people that all the problems in the Middle East are tied to the day that the Jews returned and “ran all the Palestinians out and took over their homes.” What a lie! There has never been a Palestinian state. The Arabs who lived in the Levant considered themselves to be Syrians.

Historically proven, there never has been any Palestinian identity. There has never been a Palestinian culture. There was never any Palestinian language. It just simply doesn’t exist! The idea of a Palestinian state, a people who were illegally displaced by the Jews, is pure propaganda developed by the Arabs after the Six Day War in 1967. [KWA NIONAVYO MIMI HII NDIO MASTA PLAN YA SHETANI]
It is very important to keep in mind that the Palestinians already have a state. They already have a state and it is called Jordan. Some 75% of all the people who live in Jordan consider themselves Palestinians. So, when the Palestinians cry out to the world that they need a state, the truth is, they already legally have a state, and it’s called Jordan.

THE FACTS NA NAMNA YA ENEO WANALOKALIA ISLAEL;
The Land Restored (Islael or Holy Land)
Let me tell you, very few Syrians lived in the Holy Land. Most of the people were absentee landlords because the area was a wasteland. When the Jews were forced by the Romans to leave the area, Israel became a wasteland. By the 20th Century, there were only 17,000 trees left in all of Israel. Only 17,000! There was not a single tree south of the Sea of Galilee. How do we know that? The Turks taxed trees and so kept records. What did these poor people living in this miserable land do? They cut down their trees so they wouldn’t have to pay taxes. That’s how we know there were only 17,000 trees left in the land.

Do you know what a treeless land becomes? Erosion takes its toll and the water becomes malaria-infested swamplands. For the last 1,900 years, Israel was an absolute wasteland.

Why? God had that happen on purpose because He didn’t want anybody moving into the Promised Land. He wanted to reserve it for the Jewish people.

Check out the first book that Mark Twain ever wrote titled, Innocence Abroad. It records Twain’s trip to the Holy Land in 1866. He marveled over just how barren the land was. He reported that he rode a horse for three to almost four days from the Sea of Galilee to Jerusalem, and he never saw one human being the entire time. He never saw a tree. He never saw an animal. He reported that all he saw was rock after rock after rock.
It’s historically proven that there were hardly any people living in the land of Israel when the Jews began to come back. And, once they finally got there, what did the Jews do? They bought the land that God had already given them. They paid exorbitant prices to the Arabs who laughed all the way to the bank over these stupid Jews who were buying this worthless land.

What the Arabs didn’t realize was that God had prophesied that when the Jews came back, the land would become like the land of the Garden of Eden. Today you can go to Israel, and indeed, it looks just like the Garden of Eden must have. Drive down the Valley of Sharon and look out the bus. On one side there are strawberry fields, and there’s a cotton field, there’s a banana plantation. Just about everything you can imagine is growing, because God has made Israel once again like the Garden of Eden.

My hope is that this information will help the reader better understand that the return of the Jewish people to their homeland and the reestablishment of their state is firstly all in accordance with God’s will, and secondly, is a sure sign that we are living in the season of the Lord’s return.
Lets stop here.
My take; Sasa mtu akiniambia Israel ya sasa ni mpango wa SHETANI na Wapalestina kinyume chake itamaanisha mpango wa Mungu! inakuwa ngumu sana kumuamini. Itambidi afanye la ziada kutetea hoja yake.

cc; Eiyer

Haya mambo ni magumu sana kuyaelewa,na sijui kwanini Mungu alifanya hivi lakini. Ngoja tujaribu kutafakari zaidi tuone kama tutapata wazo jipya juu ya hoja zako ndugu mcharo son.

Na tafadhali sana,kama kuna mengine mengi unayoyajua kuhusu hii mada,naomba utuwekee hapa tuendelee kujifunza zaidi. Shukani sana.
 
Haya mambo ni magumu sana kuyaelewa,na sijui kwanini Mungu alifanya hivi lakini. Ngoja tujaribu kutafakari zaidi tuone kama tutapata wazo jipya juu ya hoja zako ndugu mcharo son.

Na tafadhali sana,kama kuna mengine mengi unayoyajua kuhusu hii mada,naomba utuwekee hapa tuendelee kujifunza zaidi. Shukani sana.
Ugumu unakuja pale mtu anapozolewa na propaganda za Shetani. Mfano
  • kule U-tube ndo usiseme, ukiingia kichwa kichwa utakutana na clips za ajabu sijui kuna viumbe toka anga zingine wameonekana sijui wapi. Sasa wewe hujiulizi hawa viumbe wanaonekana U-tube tu mbona hata siku moja vyombo vyetu vya habari haviripoti!
  • Haya hawa Palestina wanadai taifa lao na makao yao yawe Jerusalem, sasa ukijiuliza hili Taifa historia yake huko nyuma ikoje, walifukuzwa labda eneo hilo kama taifa ambapo sasa wanarudi kulijenga upya( sijui kama utapata hiyo habari)
  • Kwa muonekano tu Myahudi anayeua kwa bunduki kujiami na eneo lake na huyu Mwarabu wa kujilipua kwa mabomu(Palestine) anayeingia kwenye eneo la Myahudi AKIDAI PALIKUA NA TAIFA LAO nani mkolofi HAPO na nani kamshikilia afanye ukorifi huo. HISTORIA INASEMAJE. HATA KAMA akiwa myahudi fake, lazima Myahudi original atarudu kujumuika pale.
 
Majengo haya yanafanana kwa kiwango kikubwa sana,je ni kwanini?

Haya mambo ni ya bahati mbaya au ni kwa lengo maalum tu?
mkuu kwa mawazo yangu kuhusu huo ufanano wa majengo unao uzungumzia, nadhani ni BAHATI MBAYA TU IMETOKEA YAKAFANANA.............

labda hao jamaa walipenda design ya jengo kama hilo la mnara wa babeli (ila sidhani kama lengo/dhamira yao ilikuwa inafanana na wajenzi wa huo mnara wa babeli)

na ninachokifahamu mimi kuhusu mnara wa babeli ni kwamba
MUNGU HAKUCHUKIZWA/HAKUKASIRISWHA NA JENGO KAMA JENGO (jengo lenyewe) wala design ya hilo jengo la mnara wa babeli

ila kilichomchikiza/kumkasirisha Mungu ni LENGO/DHAMIRA YA WAJENZI WA HUO MNARA

so binafsi kuhusu ufanano wa hayo majengo sioni kama kuna tatizo hapo
na nafikri kuna majengo marefu zaidi ya hilo jengo la bunge la ulaya
 
Mkuu,unafahamu historia ya namna hii Israeli ilivyopatikana?

Unafahamu Wayahudi/Waisraeli wa kwanza walikuwa ni race ipi?
Historia ya Israel hii ya sasa ilivyopatikana kama kuna sehemu imepotoshwa TUWEKANE SAWA.
Suala la race watu wanabadilika kutokana na maeneo wanayoishi jinsi vizazi na vizazi. Pia mchanganyiko wa watu unabadili muonekano wa watu. Mfano wachina hapa Tanzania sasa wanaoa binti zetu. Wakirudi huko kwao watato wao tutegemee wachina weusi vizazi v ya mbeleni. Sijui wayahudi wa kwanza walikuwa race gani kwa uhakika. Sasa kama hawa wayahudi ni weupe au weusi mimi hainipi shida sana. Pia kwa upande wangu sina shida na weupe na kuwashuku kuwa ni uzao wa viumbe wengine mpaka hapo nitakapopata ushahidi wa kunishawishi hivyo.
 
............. kilichomchikiza/kumkasirisha Mungu ni LENGO/DHAMIRA YA WAJENZI WA HUO MNARA ......................
Dhamira ya hao wajenzi ilikuwa nini? Mana hata kumfikia Mungu angewaacha jiografia inaonyesha wangeishia hewani, sana sana lingekuja dondoka na hata robo ya kufika mwezini wasingefika
 
Dhamira ya hao wajenzi ilikuwa nini?
4Ndipo wakasema, “Njoni, tujijengee mji wenye mnara ambao utafika hadi mbinguni,

mkuu hapo nilipo color kwa rangi nyekundu ndio ilikuwa lengo la kujengwa kwa huo mnara
au kwa lugha nyigine unaweza kusema WALIITAKA KUMFIKIA NA KUMWONA MUNGU KWA NJIA YA MNARA WAO WALIOPANGA KUUJENGA
Mana hata kumfikia Mungu angewaacha jiografia inaonyesha wangeishia hewani, sana sana lingekuja dondoka na hata robo ya kufika mwezini wasingefika
ni kweli mkuu unachokidai upo sahihi kabisa, wasingeweza hata chembe na ingefika hatua wangekata tamaa (KWA MUJIBU WA SAYANSI NA TECHNOLOGIA KUHUSU MASUALA YA ANGA NA SAYARI AMBAYO YAMEKUWEPO NA KUJULIKANA KIPINDI KIREFU BAADA KUANDIKWA KITABU CHA MWANZO NA HAYO MAMBO YA MNARA WA BABELI) ..........

na mungu alijua hilo kuwa HAWATAWEZA KUNIFIKIA KWA NJIA YA MNARA
kumbe swali la msingi la kujiuliza linabaki palepale kwamba kama alijua hawatamfikia ni kwanini alivuruga lugha yao kwa lengo la kuwakwamisha ????????

ndugu hapa jibu ni rahisi tu kuwa KUNA FUNDISHO/MAFUNDISHO/MAONYO AMBAYO MUNGU ALITAKA KUTUPATIA WANADAMU KWA NJIA YA HUO MNARA WA BABELI...........

halafu ndugu yangu kuna shida mbili au tatu naziona kwenye baadhi ya post zako,

tatizo la kutokuzingatia nyakati/wakati kitabu husika cha biblia kinaandikwa

tatizo la kutokuzingatia mazingira halisi yaliokuwepo na kuonekana wakati kitabu husika cha biblia kinaandikwa

tatizo la kutokuzingatia ufahamu, ujuzi na uelewa wa watu wakati kitabu husika cha biblia kinaandikwa (mfano hapa waweza rejea post yako unayoelezea kuhusu jiografia hapa chini)
jiografia inaonyesha wangeishia hewani
so unaweza jiuliza swali kuwa hii jiografia tunayo ifahamu mimi na wewe kwa sasa, ufahamu wa sayari na anga tunaoufahamu mimi na wewe kwa sasa ENZI ZA MNARA WA BABELI WALIFAHAMU NA KUJUA IVO ???????
AU WALIFAHAMU NA KUELEWA NINI KUHUSU JIGRAFIA NA ANGA KIUJUMLA ??????

ndugu hayo ni mwaswali muhimu ya kujiuliza.......................
 
halafu ndugu yangu kuna shida mbili au tatu naziona kwenye baadhi ya post zako

Ungekuwa umenisaidia sana kunishtua kwenye hizo post ili nirekebishe au nitoe mtazamo wangu

tatizo la kutokuzingatia nyakati/wakati kitabu husika cha biblia kinaandikwa

tatizo la kutokuzingatia mazingira halisi yaliokuwepo na kuonekana wakati kitabu husika cha biblia kinaandikwa

tatizo la kutokuzingatia ufahamu, ujuzi na uelewa wa watu wakati kitabu husika cha biblia kinaandikwa (mfano hapa waweza rejea post yako unayoelezea kuhusu jiografia hapa chini)
so unaweza jiuliza swali kuwa hii jiografia tunayo ifahamu mimi na wewe kwa sasa, ufahamu wa sayari na anga tunaoufahamu mimi na wewe kwa sasa ENZI ZA MNARA WA BABELI WALIFAHAMU NA KUJUA IVO ???????
AU WALIFAHAMU NA KUELEWA NINI KUHUSU JIGRAFIA NA ANGA KIUJUMLA ??????

ndugu hayo ni mwaswali muhimu ya kujiuliza.......................
Yawezekana umeyaona hayo kwa kuwa MITAZAMO yetu Tofauti. Mimi natumia biblia kwa majira yote, yaliopita, haya na yajayo; sijui kwa hilo kama tuna mtazamo sawa. Kwangu mimi BIBLIA NI DIRA/MWONGOZO kwa vile jinsi Mungu atanijaria kufahamu. Nakubari kukosolewa na huwa napima ukosoaji kama sahihi au la.
Swali langu la msingi umejibu kuhusu lengo lao hasa (nashukuru). Zaidi nilitaka kupata mawazo zaidi na yangu, kwa nini Mungu alitumia njia ile kuwazuia na ujenzi (pia umenielewesha).
Maswali yako ya mwisho ni kweli jiografia yao ilikuwa ndogo ukilinganisha na leo. Kwa upande wangu naona Mungu aliamua kuwaokoa na janga la ajali ambalo ingeweza kutokea baada ya ghorofa kuwa juu.
Pia kuwawezesha waende kufanya mambo yao ya maisha kuliko kupoteza muda pale kwa kufuata mawazo ya wachache.
 
halafu ndugu yangu kuna shida mbili au tatu naziona kwenye baadhi ya post zako

Ungekuwa umenisaidia sana kunishtua kwenye hizo post ili nirekebishe au nitoe mtazamo wangu

tatizo la kutokuzingatia nyakati/wakati kitabu husika cha biblia kinaandikwa

tatizo la kutokuzingatia mazingira halisi yaliokuwepo na kuonekana wakati kitabu husika cha biblia kinaandikwa

tatizo la kutokuzingatia ufahamu, ujuzi na uelewa wa watu wakati kitabu husika cha biblia kinaandikwa (mfano hapa waweza rejea post yako unayoelezea kuhusu jiografia hapa chini)
so unaweza jiuliza swali kuwa hii jiografia tunayo ifahamu mimi na wewe kwa sasa, ufahamu wa sayari na anga tunaoufahamu mimi na wewe kwa sasa ENZI ZA MNARA WA BABELI WALIFAHAMU NA KUJUA IVO ???????
AU WALIFAHAMU NA KUELEWA NINI KUHUSU JIGRAFIA NA ANGA KIUJUMLA ??????

ndugu hayo ni mwaswali muhimu ya kujiuliza.......................
Yawezekana umeyaona hayo kwa kuwa MITAZAMO yetu Tofauti. Mimi natumia biblia kwa majira yote, yaliopita, haya na yajayo; sijui kwa hilo kama tuna mtazamo sawa. Kwangu mimi BIBLIA NI DIRA/MWONGOZO kwa vile jinsi Mungu atanijaria kufahamu. Nakubari kukosolewa na huwa napima ukosoaji kama sahihi au la.
Swali langu la msingi umejibu kuhusu lengo lao hasa (nashukuru). Zaidi nilitaka kupata mawazo zaidi na yangu, kwa nini Mungu alitumia njia ile kuwazuia na ujenzi (pia umenielewesha).
Maswali yako ya mwisho ni kweli jiografia yao ilikuwa ndogo ukilinganisha na leo. Kwa upande wangu naona Mungu aliamua kuwaokoa na janga la ajali ambalo ingeweza kutokea baada ya ghorofa kuwa juu.
Pia kuwawezesha waende kufanya mambo yao ya maisha kuliko kupoteza muda pale kwa kufuata mawazo ya wachache.
 
mkuu kwa mawazo yangu kuhusu huo ufanano wa majengo unao uzungumzia, nadhani ni BAHATI MBAYA TU IMETOKEA YAKAFANANA.............

labda hao jamaa walipenda design ya jengo kama hilo la mnara wa babeli (ila sidhani kama lengo/dhamira yao ilikuwa inafanana na wajenzi wa huo mnara wa babeli)

na ninachokifahamu mimi kuhusu mnara wa babeli ni kwamba
MUNGU HAKUCHUKIZWA/HAKUKASIRISWHA NA JENGO KAMA JENGO (jengo lenyewe) wala design ya hilo jengo la mnara wa babeli

ila kilichomchikiza/kumkasirisha Mungu ni LENGO/DHAMIRA YA WAJENZI WA HUO MNARA

so binafsi kuhusu ufanano wa hayo majengo sioni kama kuna tatizo hapo
na nafikri kuna majengo marefu zaidi ya hilo jengo la bunge la ulaya
Kwa upande wangu sidhani kama ni bahati mbaya....

Shida siyo tu kuwa jengo ni ghorofa bali ni namna lilivyo.Jengo linalodhaniwa kuwa ni mnara wa Babeli linaonekana halijakamilika sawa sawa na jengo la bunge la Ulaya.Wakati wanajenga au kutafuta mchoro wa jengo hili walijua kabisa kuhusu habari ya Babeli....

Lakini zaidi wakaweka picha ya mnyama akiwa juu ya mnyama kama ufunuo 17 inavyosema.Ninafahamu kuwa inawezekana sanamu hiyo isihusiane na mnyama wa kwenye Ufunuo na ikahusiana na mwanamke EUROPA ambaye ni mungu mke aliyesababisha bara la Ulaya kUpewa jina EUROPE....

Hata kama ni hivyo,dhana hii inahusiana na imani ya kipagani na inawaingiza matatati pia....

Kuna mengi ya Ulaya mkuu na hili ni dogo tu....
 
Ugumu unakuja pale mtu anapozolewa na propaganda za Shetani. Mfano
  • kule U-tube ndo usiseme, ukiingia kichwa kichwa utakutana na clips za ajabu sijui kuna viumbe toka anga zingine wameonekana sijui wapi. Sasa wewe hujiulizi hawa viumbe wanaonekana U-tube tu mbona hata siku moja vyombo vyetu vya habari haviripoti!
Mkuu hii kauli yako imenifanya nicheke sana tena sana aisee....

Mkuu unaviamini sana vyombo vya habari eeeeh??
 
Mkuu hii kauli yako imenifanya nicheke sana tena sana aisee....

Mkuu unaviamini sana vyombo vya habari eeeeh??
Naviamini kuliko u tube. (kasoro TBC hii siiamini na usiniulize why) Ni vigumu kudanganya kwenye chombo kama BBC kuliko kudanganya u tube. Ila simaanishi u tube ni mbaya kiujumla la hasha, mana kuna habari nzuri kwenye vyombo vya habari visipewe nafasi ukavipata U-tube
 
Kumbe europe ina asilili ya mwanamke? sikuwai kujua hilo.
kumbe hata wao walikua na upagani kama kule misri maana kule kulikua na miungu wengi wanawake.
kwa vyovyote ukweli utabakia hilo jengo halipo kwa bahati mbaya! ni makusudio specific
 
Lakin mdau aliesema 666 ni mwana mfalme wa uingereza kwa kweli naona anatupeleka kule kule kwa papa, ellen,usa nk ambapo ni utabiri feki. nilimsikia padre amigu akisema akisema huyo 666 alishakuwepo kwenye utawala wa rumi! nae alitiingiza chaka.
 
Lakin mdau aliesema 666 ni mwana mfalme wa uingereza kwa kweli naona anatupeleka kule kule kwa papa, ellen,usa nk ambapo ni utabiri feki. nilimsikia padre amigu akisema akisema huyo 666 alishakuwepo kwenye utawala wa rumi! nae alitiingiza chaka.
Hapo kwenye blue, Mdau mwenyewe ni mimi;
sahihisho, nilisema vigezo vingi vinamuelekea yeye kuliko hao wengine. japo sio vyote. Atakuwa yeye akitimiza vigezo vyote muda ndio utaamua. Kama kuna mwingine leteni weka na vigezo. Huyu kama ni fake pia Tupinge kwa vigezo. Haitoshi kupinga kwa kauli moja bila vigezo vya kusapot upinzani wako
 
kwa sababu kuna watu wamekaa chini wakatafiti nakugundua hivyo mi sina shaka wala siwezi kubisha, hofu yangu isije kua yale yale ya wasabato na catolik, lakin uliposema kizaz hiki ndio kinaushuhudia mwisho na kimejaliwa kujua siri wacha tuone mkuu.
 
Naviamini kuliko u tube. (kasoro TBC hii siiamini na usiniulize why) Ni vigumu kudanganya kwenye chombo kama BBC kuliko kudanganya u tube. Ila simaanishi u tube ni mbaya kiujumla la hasha, mana kuna habari nzuri kwenye vyombo vya habari visipewe nafasi ukavipata U-tube
Hahahahahaaaaaa.....

Eti ni vigumu kudanganya BBC,haya mkuu endelea kuamini hivyo hivyo....
 
Kumbe europe ina asilili ya mwanamke? sikuwai kujua hilo.
kumbe hata wao walikua na upagani kama kule misri maana kule kulikua na miungu wengi wanawake.
kwa vyovyote ukweli utabakia hilo jengo halipo kwa bahati mbaya! ni makusudio specific
Upagani wote unaasili ya Babeli,siyo Babeli ya Nebuchadnezzar bali ya Nimrod......

Tutaendelea kupashana habari tratibu kadiri tutakavyokuwa tunaendelea na kwa majaaliwa ya uzima wa mwenyezi Mungu...
 
Back
Top Bottom