Bunge la Ulaya kuihoji TotalEnergies kuhusu athari za Bomba la Mafuta Hoima - Tanga (EACOP)

Bunge la Ulaya kuihoji TotalEnergies kuhusu athari za Bomba la Mafuta Hoima - Tanga (EACOP)

Hivi kwanini ikifikia swala la maendeleo ya nchi za kiafrika ulaya na marekani wanatafuta namna ya kukwamisha? Hivi mbona wao wamepitia hizo hatua wamefanya KWa raha zao hawajaingiliwa? Huu ni uchizi sana. Kama ningekuwa na nafasi huko juu ya maamuzi nazalisha wataalamu wa ndani, kisha nikitaka kufanya jambo lolote nawatumia wao, na sisikilizi mtu yeyote. Nahakikisha nakamilisha lengo.
Na wao viongozi pia wanabanwa akitokea ambaye yupo tofauti nao, vikwazo vinaanza. Afrika ndio godown la nchi za Ulaya na Marekani, na wao wazungu wanaamini hivyo
 
Mambo kama haya Lissu haongei sijajua kwanini au labda kwa sababu ni mpinzani.
 
Hivi kwanini ikifikia swala la maendeleo ya nchi za kiafrika ulaya na marekani wanatafuta namna ya kukwamisha? Hivi mbona wao wamepitia hizo hatua wamefanya KWa raha zao hawajaingiliwa? Huu ni uchizi sana. Kama ningekuwa na nafasi huko juu ya maamuzi nazalisha wataalamu wa ndani, kisha nikitaka kufanya jambo lolote nawatumia wao, na sisikilizi mtu yeyote. Nahakikisha nakamilisha lengo.
Its too late. Wanamiliki kila kitu mpaka akili yako.
 
UG waweke Tozo ya kupitisha bomba la mafuta TZ.
 
Upumbavu wa kutegemea HISANI.

Ni bora mikopo ya kibiashara kuliko haya ya kupangiwa!

Watupe assessment ya kimazingira kwenye bomba la gesi kutoka Russia kwenda Ujerumani na Ulaya ili tuitumie kama hadidu ya rejea!

Mwamba alishatuonesha njia, shauri yetu!
Mtanikumbuka
 
Kwa upande wetu kama nchi, sina uelewa sana mkuu- Pengine watunga sera/sheria na Senior gvt officials wanaweza kutusaidia vyema.

Mengine kama ulipaji wa stahiki kwa wakati nadhan ni ishu ndogo kama zikipata kiongozi mtendaji na makini.

Kwa taarifa ambazo nilizisikia ingawa sina uelewa nazo sana ni kwamba
● Total wako tayari kuendelea na ujenzi, ila hawako tayari kulipa fidia wananchi kwa kuwa kwenye vipengele vya mkataba ni jukumu la serikali zetu, hvyo tatizo kubwa linasemekana ni serikali zetu hazipo tayari kuingia mfukoni kama issue ya ujenzi barabara ya kimara.
Nimependa ujibuji wako wa maswali bila kupaniki Safi Sana jukwaani wote tungekua Kama wewe Basi sehemu hii ingekua sehemu nzuri ya kuchotea maarifa.
 
Hivi kwanini ikifikia swala la maendeleo ya nchi za kiafrika ulaya na marekani wanatafuta namna ya kukwamisha? Hivi mbona wao wamepitia hizo hatua wamefanya KWa raha zao hawajaingiliwa? Huu ni uchizi sana. Kama ningekuwa na nafasi huko juu ya maamuzi nazalisha wataalamu wa ndani, kisha nikitaka kufanya jambo lolote nawatumia wao, na sisikilizi mtu yeyote. Nahakikisha nakamilisha lengo.
Asilimia kubwa ya faida ya ujenzi wa Bomba hilo inaenda kwa hao hao watu wa ulaya kupitia kampuni ya Total.
Tanzania na Uganda zitafaidi kidogo kuliko wazungu na wachina katika mradi huo kwa ujumla na hivyo hakuna sababu ya kupiga kelele kijinga. Watu wa ulaya watamalizana wenyewe na kampuni yao.
 
Kama waliweza kuwaweka viongozi wetu kwenye basi na wakakubali .

Sioni ni kwa namna gani viongozi hao waliopandishwa basi wakipingana na matakwa ya hawa mabwana.
 
Na Sasa Nordstrom 2 inavuja
Linapokuja suala la kunufaika wao hawapg kelele. Kwanza wao ndo wachafuz maana wana maviwanda mengi wana urbanization kwa kiasi kikubwa sisi bado sana
 
Hivi kwanini ikifikia swala la maendeleo ya nchi za kiafrika Ulaya na Marekani wanatafuta namna ya kukwamisha? Hivi mbona wao wamepitia hizo hatua wamefanya kwa raha zao hawajaingiliwa? Huu ni uchizi sana. Kama ningekuwa na nafasi huko juu ya maamuzi nazalisha wataalamu wa ndani, kisha nikitaka kufanya jambo lolote nawatumia wao, na sisikilizi mtu yeyote. Nahakikisha nakamilisha lengo.
Mabeberu ni mabeberu watabaki kuwa mabeberu, kamwe hawatatutakia mema. Ukimaliza jambo la environment wataweka human rights yaani ushoga. Hatutashinda tukitaka kuwaridhisha, unajiuliza kwa nini CHADEMA wanangana nao kutupiga vita.
 
Asilimia kubwa ya faida ya ujenzi wa Bomba hilo inaenda kwa hao hao watu wa ulaya kupitia kampuni ya Total.
Tanzania na Uganda zitafaidi kidogo kuliko wazungu na wachina katika mradi huo kwa ujumla na hivyo hakuna sababu ya kupiga kelele kijinga. Watu wa ulaya watamalizana wenyewe na kampuni yao.
Dooh! Sawa msomi....
 
Upumbavu wa kutegemea HISANI.

Ni bora mikopo ya kibiashara kuliko haya ya kupangiwa!

Watupe assessment ya kimazingira kwenye bomba la gesi kutoka Russia kwenda Ujerumani na Ulaya ili tuitumie kama hadidu ya rejea!

Mwamba alishatuonesha njia, shauri yetu!
Very much true. Tuwakazie tu bila hivyo wanatuharibia miradi yetu
 
Back
Top Bottom