Grounds zipi kwani Iraki waliingia kwa grounds zipi hizo WMD zimeshaonekana hadi leo, wakitaka wanakupata tu hata kwa grounds za ku foji.Mnazungumzia Imaginary things, wawaingilie kinguvu kwa grounds zipi haswa!??Na waamue kwa kupitia Mkataba gani wa kimataifa unaowapa hayo mamlaka na hiyoo ruhusa!??
inawezekana 80% coz.. still neo-colonialism ina trend... na jamaa nae museveni anazngua tu atoleweWabunge wa Bunge la uingereza katika mijadala mkali wa kumuondoa Mseven,
Mwasiasa mwingine anayeitwa zhake amepelekwa India Leo baada ya kufanyiwa unyama n.a. sserikal ya Mseven,
Tukio lililopekelea dunia nzima kujua ni kuhusu Robert Kyagulanyi sentamu,
Video
Mnaforce baadhi ya vitu vitokee lakini sivyo hivyo mnavotaka, kila kitu kinataratibu zake,na unaleta scenario za Iraq ambazo ni Far away different kwa tunachokizungumzia hapa...Grounds zipi kwani Iraki waliingia kwa grounds zipi hizo WMD zimeshaonekana hadi leo, wakitaka wanakupata tu hata kwa grounds za ku foji.
tatizo kelele nyingi mko ughaibuni hata kura hampigi, halafu mnjumuika kulalamika mnaibiwa kura. come and join what you call a struggle.Kule kwenye kura wale wanaochalachua kura tukiondoka na mmoja itakuwa mfano
Ujinga unaanzishwa na watawala!Hawa wazungu kuna jambo wanalitafuta Africa ya Mashariki. " Destabilization of East Africa". Ndugu zangu tuwe makini sana tena sana.
Jiandaeni kumsaidia rafiki yenu anakwenda na maji, juzi kaja magogoni usiku usiku sijui alikuwa anaomba hifadhi. ameyataka mwenyewe.Mnaforce baadhi ya vitu vitokee lakini sivyo hivyo mnavotaka, kila kitu kinataratibu zake,na unaleta scenario za Iraq ambazo ni Far away different kwa tunachokizungumzia hapa...
Kuti la mazoea lilimuangusha mgema.my friend sakata la Lissu mlisema wazungu wakate misaada,misaada kila siku inakuja, uchaguzi wa Zanzibar mkasema jumuiya za kimataifa zitatutenga jumuiya za kimataifa kila siku tupo nazo na support ya kutosha wanatupa, ni nyie mlisema mnaenda ICJ na kwamba Lowassa atapewa urais wake mpaka leo kimya.... Mnategemea wazungu sanaaa kama mnataka something to change should start with you,sio kuwategemea wazungu wawafanyie.
Na swala unalosema eti wakiamua watakalo,hakuna hiko kitu cha kuamua kuingilia taifa jingine tena taifa lilipiga kura na kumchagua rais aliyepo hapo madarakani, mbaya zaidi hakuna maandamano au viashiria vyovyote inavyoonyesha dalili za serikali kuwa out of control hakuna. Kila ktu kina taratibu zake,kila kitu kina mipaka yake Uganda ni Nchi Huru tena ya Kidemokrasia, hata huyoo Bob Wine amepata nafasi Kidemokrasia ndomana yupo hapo alipo, kwa vigezo kama hivi hao EU hawana mamlaka hata punje ya haradali kumuondoa Museveni madarakani na hawawezi.
heheheheh kwani na nyie kesi yenu ya Uchaguzi mkuu 2015 kule ICJ imeishia wapi!??Jiandaeni kumsaidia rafiki yenu anakwenda na maji, juzi kaja magogoni usiku usiku sijui alikuwa anaomba hifadhi. ameyataka mwenyewe.
Usibadili mada topic ni kumwondoa dikteta m7.heheheheh kwani na nyie kesi yenu ya Uchaguzi mkuu 2015 kule ICJ imeishia wapi!??
Correct. Very correct. Wananchi walio wengi ni wajinga, na upinzani bado ni dhaifu sana. Nafikiri miaka 20 haitutoshi labda 50 hivi.that is the thing, na hatujafikia hizo extent hatuna upinzani wenye nguvu kusema wataanzisha hizo vuguvugu, hatuna wananchi ambao asilimia kubwa wanamind set ya kuingia barabarani,hatuna...tusubiri miaka 20 ijayo labda...
Nikimtafakari Saddam,. Mubarak , . Gaddari. Huwa naona Hawa jamaa lolote wanaliweza. Suala no kukuamlia tuu wakiamua. Hamna kitu wanashindwa.Ndugu yangu yaaani isalimike kujadiliwa DRC,Burundi,Zimbabwe,Sudan ambayo Rais wake bado anakesi na anahitajika ICC mpaka leo hajakamatwa ije kuingiliwa Uganda!?
utachoka tu mkuu kuwaelimisha hawa mashabiki wasioelewa mambo ya kimataifa, wanashangilia wakidhani ni simple kama kula sato na udagga.kila kitu kinamipaka, tumesaini mikataba kibao ya kidiplomasia na vitu kama hivoo, hakuna sehemu inayoruhusu hao wazungu kuwaingilia waafrika watakavyo wao, it has to start somewhere ndo wao waweze kuingilia, in case ya Uganda hakuna hizo mambo... Nchi zote hizo ulizozitaja kuna sehemu zilianzia na kuna extent ilifikia serikali zilikua out of control ikifika that point ndio tuzungumzie sasa ya kumtoa mtu madarakani lakini sio sakata hili linaloendelea Uganda,hapana.
Halafu Swala la hizo nchi za kiarabu ni Revolutionary Move ambayo ilitokea almost nchi zote za kaskazini,
Hamna aliye shitaki,. Na zaidi Sana bado tuna upepo wa Nyerere,. Huo upepo ukiisha tutashuhudia makubwa. Tuombe uzima tuwepo. Na Kuna makaburi yatachapwa vibokona wewe endelea kusubiri ndugu.....utafika 2020 hiyooo hapo Magu anarudi tena madarakani Museveni anazidi kudunda Uganda..Acheni kurubunika na vitu vya nje/vya wengine wekeni focus kutatua ya ndani kwenu kwa style yenu...
Hivi Bob Wine kupigwa vile hapa Tanzania hakuna aliyewahi kupigwa kama vile!??Mauaji kibao mf.Akwelina n.k yametokea tena zaidi ya Uganda hamfikirii kwanini huko nje hawayazungumzii!??
hatetei ila anakuelewesheni nyie wapiga tarumbeta mnaoshangilia bila kushirikisha uhalisia.Hahahahaa sikujua kuna watu wanatetea udikteta.
Na kweli kwa kura ni ndoto kwa Afrika maana hakuna chaguzi ila viini macho.Na mungu awaangazie hao wazungu watumie uwezo wao maana kwa kura inaonyesha haitawezekana kwenye nchi za Africa hawasomi alama za nyakati
[emoji23] [emoji23] [emoji23] duhhh safi sana.Mungu akulaani wewe
Hujui maana ya utumwa. Ingekuwa una maana hiyo then wazungu ndiyo watumwa zaidi kwa kuwa wao ndiyo wanatoa almost everything wanatoa kwenye. Lakini kwa kuwa ni mtumwa wa wazungu kiakili then hutatambua mkuu!!Cha ajabu hata hiyo simu unayotumia ku comment ujinga hapa imetengenezwa na haohao wazungu....katika list ya watumwa wa wazungu na wewe ni mmoja wao
Hajui kitu ameposti...!!Mkuu hilo ni Bunge la Uingereza? Au EU?
Mtakuja kuyakana maneno yenuyou should stay too, tuangalie hii movie vizuri