mbari sa menya
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,002
- 1,891
Hamna waziri hata mmoja?Wote hawamo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna waziri hata mmoja?Wote hawamo
Ni bajeti ya NishatiHamna waziri hata mmoja?
Yaani mpaka waziri ndiyo aende? Tuache kuendekeza ujinga.......hayo mambo madogo sana......Wanakagua vituo vya mafuta vilivyokaidi kushusha bei
Hata kama wangekuwepo lile bunge la namna ile lingefanya kitu gani cha ajabu?Bunge limeahirisha shughuli zake kwa muda wa dakika 30 kwa sababu Waziri wa Nishati, January Makamba na Naibu wake Stephen Byabato hawakuwepo wakati mjadala wa hotuba ya wizara hiyo ukijadiliwa.
.
Watoto Wa Wakubwa Wanalisubilisha Bunge
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yeye Wote ni Wanae.Mwenyekiti wa baraza la mawaziri, kwenye kikao cha baraza hilo, aksikika akimu-address mmoja wa mawaziri
"mwanangu Bashungwa"
Bila uoga, hakuna nidhamu
Halafu waziri anahusikaje na ukaguzi Wa Mafuta WAkati Regulator Yupo Ewura?Yaani mpaka waziri ndiyo aende? Tuache kuendekeza ujinga.......hayo mambo madogo sana......
Hakuna Cha udhuru na kama angekuwa na udhuru angetoa Taarifa. Dogo ana Dharau Maana anajua hakuna Wa kumuulizaTusubiri maybe wana udhuru wa msingi
Hapo wanapiga supu Royal village bila shidaBunge limeahirisha shughuli zake kwa muda wa dakika 30 kwa sababu Waziri wa Nishati, January Makamba na Naibu wake Stephen Byabato hawakuwepo wakati mjadala wa hotuba ya wizara hiyo ukijadiliwa.
.
Watoto Wa Wakubwa Wanalisubilisha Bunge
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kipara anafanya anachotaka hakuna wa kumuulizaHakuna Cha udhuru na kama angekuwa na udhuru angetoa Taarifa. Dogo ana Dharau Maana anajua hakuna Wa kumuuliza
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mchengerwa Kila siku analala Zanzibar na Kupanda ndege Kila siku Kuja Bara, Huyo HakaripiwiMakamba kijana wa Kikwete na kipenzi cha Mama, nafikiri kwenye baraza hili huenda ndio waziri anaongoza kwa dharau na kujiona so special kushinda hata Mchengerwa!!
Yana mda kama ilivyokuwa Kwa MusibaKipara anafanya anachotaka hakuna wa kumuuliza
Tuki Sema January Makamba ni chaguo la JK sasa mtaelewa. Huwa hajali kwa sababu aliitiwa uwaziri wa bureBunge limeahirisha shughuli zake kwa muda wa dakika 30 kwa sababu Waziri wa Nishati, January Makamba na Naibu wake Stephen Byabato hawakuwepo wakati mjadala wa hotuba ya wizara hiyo ukijadiliwa.
.
Watoto Wa Wakubwa Wanalisubilisha Bunge
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na atapewa nchi 2030, kwa hii katiba mbovu jamaa acha wachezee wanavyotaka
Apewe tu. Akimaliza Yeye Apewe. Riziwani Kikwete Mwisho wamalizie kwa kumpa Fred LowasaNa atapewa nchi 2030, kwa hii katiba mbovu jamaa acha wachezee wanavyotaka