Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ni nchi ni mali yao binafsiApewe tu. Akimaliza Yeye Apewe. Riziwani Kikwete Mwisho wamalizie kwa kumpa Fred Lowasa
Lakini posho wamelipwa zoteInasikitisha sana, itakua hawana majibu...
Kumejaa matapeli tupuGenge la CCM
Huku wakilipwa 340,000 kwa siku nje na mishahara yaoWabunge walalamika kunyonywa machuchu na waume zao
Angekaimu hata Babu Tale, au na yeye hayupo?Ni bajeti ya Nishati
Wewe january hashindwi kujibu swali lolote lileHoja za mafuta hazijibiki!kipara kala kona!!ameogopa hoja za WABUNGE!!
TUSUBIRI
Sarakasi kibao
Genge la weziHilo lishakuwa genge
Laiwahi kushindwa na akakimbilia kusema wanamuonea wivu kwa uwaziri wakeWewe january hashindwi kujibu swali lolote lile
Usimwonee Jamuari kwani aliyempa ubunge bila kupingwa ni Jk?Tuki Sema January Makamba ni chagrin la JK sasa mtaelewa. Huwa hajali kwa sababu aliitiwa uwaziri wa bure
Kuna uchaguzi makamba haakupita bila kupingwa? Hata 2015 alipita bila kupingwa. Ni kawaida yakeIs
usimwonee Jamuari kwani aliyempa ubunge bila kupingwa ni Jk?
Hapendi ukinzaniKuna uchaguzi makamba haakupita bila kupingwa? Hata 2015 alipita bila kupingwa. Ni kawaida yake
Wanakula kwa urefu wa kambaWamekwenda wapi?