Wanalipwa kama kawaida.Posho hawatalipwa leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanalipwa kama kawaida.Posho hawatalipwa leo?
[emoji38][emoji38]Hangover hiyo
Kwani hiyo kauli Ina shida gan? Acha ukoloniMwenyekiti wa baraza la mawaziri, kwenye kikao cha baraza hilo, aksikika akimu-address mmoja wa mawaziri
"mwanangu Bashungwa"
Bila uoga, hakuna nidhamu
Mbona hujatujuza yaliyojiri johnthebaptist !!???Wakati mbunge wa viti maalumu mh Magige akichangia bajeti ya Nishati ghafla mwenyekiti ameahirisha bunge kwa nusu saa na ametoka ukumbimi
Tutawajuza yaliyojiri
Source TBC
======
Mwenyekiti wa Bunge wakati akiongoza kikao cha Bunge ameahirisha shughuli za Bunge kwa nusu saa baada ya kukosekana Waziri na Naibu wa Nishati, Bunge lilitaka kujadili hotuba ya bajeti ya Nishati iliyotolewa jana na Waziri January Makamba.
View attachment 2247875
Wameonekana kwenye mnada wa mbuzi Mbande.Wakati mbunge wa viti maalumu mh Magige akichangia bajeti ya Nishati ghafla mwenyekiti ameahirisha bunge kwa nusu saa na ametoka ukumbimi
Tutawajuza yaliyojiri
Source TBC
======
Mwenyekiti wa Bunge wakati akiongoza kikao cha Bunge ameahirisha shughuli za Bunge kwa nusu saa baada ya kukosekana Waziri na Naibu wa Nishati, Bunge lilitaka kujadili hotuba ya bajeti ya Nishati iliyotolewa jana na Waziri January Makamba.
View attachment 2247875
Ukoloni😅Kwani hiyo kauli Ina shida gan? Acha ukoloni
JK anafurahia matunda yakeMawaziri ambao wanaingiza nchi kwenye shida ni Makamba na Mwigulu Nchema kwanza wana dharau halafu kichwani hawana mbinu yeyote ya kuwasaidia wananchi bali wapo kupiga dili.
Kwenye posho huwa hawana utani hata kidogoWanalipwa kama kawaida.
Walikuwa Chako ni Chako wanakula supu na mademu zaoHapo nahisi watakuwa wamepanda Helicopter kwenda Bwawa la Mwl. kujiridhisha na kazi inayoendelea ili wakiulizwa maswali wawe tayari kujibu kwa ufasaha.
Ni kiongozi shujaa sanaWakati mbunge wa viti maalumu mh Magige akichangia bajeti ya Nishati ghafla mwenyekiti ameahirisha bunge kwa nusu saa na ametoka ukumbimi
Tutawajuza yaliyojiri
Source TBC
======
Mwenyekiti wa Bunge wakati akiongoza kikao cha Bunge ameahirisha shughuli za Bunge kwa nusu saa baada ya kukosekana Waziri na Naibu wa Nishati, Bunge lilitaka kujadili hotuba ya bajeti ya Nishati iliyotolewa jana na Waziri January Makamba.
View attachment 2247875