Bunge laahirishwa ghafla baada ya Waziri January Makamba na Naibu wake kukosekana Bungeni

Bunge laahirishwa ghafla baada ya Waziri January Makamba na Naibu wake kukosekana Bungeni

Mwenyekiti wa baraza la mawaziri, kwenye kikao cha baraza hilo, aksikika akimu-address mmoja wa mawaziri

"mwanangu Bashungwa"

Bila uoga, hakuna nidhamu
Kwani hiyo kauli Ina shida gan? Acha ukoloni
 
Wakati mbunge wa viti maalumu mh Magige akichangia bajeti ya Nishati ghafla mwenyekiti ameahirisha bunge kwa nusu saa na ametoka ukumbimi

Tutawajuza yaliyojiri

Source TBC

======

Mwenyekiti wa Bunge wakati akiongoza kikao cha Bunge ameahirisha shughuli za Bunge kwa nusu saa baada ya kukosekana Waziri na Naibu wa Nishati, Bunge lilitaka kujadili hotuba ya bajeti ya Nishati iliyotolewa jana na Waziri January Makamba.

View attachment 2247875
Mbona hujatujuza yaliyojiri johnthebaptist !!???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mbunge wa viti maalumu mh Magige akichangia bajeti ya Nishati ghafla mwenyekiti ameahirisha bunge kwa nusu saa na ametoka ukumbimi

Tutawajuza yaliyojiri

Source TBC

======

Mwenyekiti wa Bunge wakati akiongoza kikao cha Bunge ameahirisha shughuli za Bunge kwa nusu saa baada ya kukosekana Waziri na Naibu wa Nishati, Bunge lilitaka kujadili hotuba ya bajeti ya Nishati iliyotolewa jana na Waziri January Makamba.

View attachment 2247875
Wameonekana kwenye mnada wa mbuzi Mbande.
 
Mawaziri ambao wanaingiza nchi kwenye shida ni Makamba na Mwigulu Nchema kwanza wana dharau halafu kichwani hawana mbinu yeyote ya kuwasaidia wananchi bali wapo kupiga dili.
 
Hapo nahisi watakuwa wamepanda Helicopter kwenda Bwawa la Mwl. kujiridhisha na kazi inayoendelea ili wakiulizwa maswali wawe tayari kujibu kwa ufasaha.
 
Wakati mbunge wa viti maalumu mh Magige akichangia bajeti ya Nishati ghafla mwenyekiti ameahirisha bunge kwa nusu saa na ametoka ukumbimi

Tutawajuza yaliyojiri

Source TBC

======

Mwenyekiti wa Bunge wakati akiongoza kikao cha Bunge ameahirisha shughuli za Bunge kwa nusu saa baada ya kukosekana Waziri na Naibu wa Nishati, Bunge lilitaka kujadili hotuba ya bajeti ya Nishati iliyotolewa jana na Waziri January Makamba.

View attachment 2247875
Ni kiongozi shujaa sana
 
Back
Top Bottom