Bunge laahirishwa ghafla baada ya Waziri January Makamba na Naibu wake kukosekana Bungeni

Bunge laahirishwa ghafla baada ya Waziri January Makamba na Naibu wake kukosekana Bungeni

Bunge limeahirisha shughuli zake kwa muda wa dakika 30 kwa sababu Waziri wa Nishati, January Makamba na Naibu wake Stephen Byabato hawakuwepo wakati mjadala wa hotuba ya wizara hiyo ukijadiliwa.
.
Watoto Wa Wakubwa Wanalisubilisha Bunge

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Untouchable [emoji56]
 
Wanasema baada ya kutangaza kuahirisha, aliingia bungeni fasta, wengine wakataka bunge liendelee, wengine wakagoma. Source: Mwananchi
 
Bunge watatafuta namna nzuri ya kuweka hili ili kulinda taswira nzuri ya mwezi wa kwanza [emoji854]
 
Isije kuwa wameng'ang'aniwa na akina Ashura maana wakati wa bunge malaya ni wengi zaidi ya 500 huingia Dom kuwinda madushe.
 
Wakati mbunge wa viti maalumu mh Magige akichangia bajeti ya Nishati ghafla mwenyekiti ameahirisha bunge kwa nusu saa na ametoka ukumbimi

Tutawajuza yaliyojiri

Source TBC

======

Mwenyekiti wa Bunge wakati akiongoza kikao cha Bunge ameahirisha shughuli za Bunge kwa nusu saa baada ya kukosekana Waziri na Naibu wa Nishati, Bunge lilitaka kujadili hotuba ya bajeti ya Nishati iliyotolewa jana na Waziri January Makamba.

View attachment 2247875
Bunge au kikao Cha CCM? Hayo ni madhara ya JPM. Bila yeye leo tungekuwa na bunge la wananchi
 
Kwani Makamba asipokuwa Wazir mvua haitanyesha nchi hii? Mbona kuna vitu tunataka kuvihalalisha kuwa Serikali yetu ni kusanyiko la wahuni fulani?
 
Waziri kupatikana kutokana na Ubunge ni kuimarisha mifumo ya rushwa , Upendeleo na matumizi mabaya ya Mali na fedha za umma.

Mawaziri wengi wanaongoza Kwa Rushwa wakati wa uchaguzi.
Mawaziri wengi wanakua kama wafadhili wa maendeleo kwenye majimbo yao na kuwafanya wananchi muda wote kutegemea misaada ya m,aendeleo.

Katiba mpya ni mwarobaini . Mawaziri wasitokanr na Ubunge.
 
Wakati mbunge wa viti maalumu mh Magige akichangia bajeti ya Nishati ghafla mwenyekiti ameahirisha bunge kwa nusu saa na ametoka ukumbimi

Tutawajuza yaliyojiri

Source TBC

======

Mwenyekiti wa Bunge wakati akiongoza kikao cha Bunge ameahirisha shughuli za Bunge kwa nusu saa baada ya kukosekana Waziri na Naibu wa Nishati, Bunge lilitaka kujadili hotuba ya bajeti ya Nishati iliyotolewa jana na Waziri January Makamba.

View attachment 2247875
Ccm ni mafiiii
 
Mwenyekiti alikuwa amisha sema,Serikali IPO baada ya Tulia kumuekeza akageuza uelekeo.
 
Back
Top Bottom