Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Untouchable [emoji56]Bunge limeahirisha shughuli zake kwa muda wa dakika 30 kwa sababu Waziri wa Nishati, January Makamba na Naibu wake Stephen Byabato hawakuwepo wakati mjadala wa hotuba ya wizara hiyo ukijadiliwa.
.
Watoto Wa Wakubwa Wanalisubilisha Bunge
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mbona mi umenirukaApewe tu. Akimaliza Yeye Apewe. Riziwani Kikwete Mwisho wamalizie kwa kumpa Fred Lowasa
Ndio maana nikasema huenda Makamba sasa anataka kumpita Mchengerwa!!Mchengerwa Kila siku analala Zanzibar na Kupanda ndege Kila siku Kuja Bara, Huyo Hakaripiwi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Rubbish kabisa 🚮🚮Wanakula kwa urefu wa kamba
Bunge au kikao Cha CCM? Hayo ni madhara ya JPM. Bila yeye leo tungekuwa na bunge la wananchiWakati mbunge wa viti maalumu mh Magige akichangia bajeti ya Nishati ghafla mwenyekiti ameahirisha bunge kwa nusu saa na ametoka ukumbimi
Tutawajuza yaliyojiri
Source TBC
======
Mwenyekiti wa Bunge wakati akiongoza kikao cha Bunge ameahirisha shughuli za Bunge kwa nusu saa baada ya kukosekana Waziri na Naibu wa Nishati, Bunge lilitaka kujadili hotuba ya bajeti ya Nishati iliyotolewa jana na Waziri January Makamba.
View attachment 2247875
Mohamed MtoiKuna uchaguzi makamba haakupita bila kupingwa? Hata 2015 alipita bila kupingwa. Ni kawaida yake
Waziri na Naibu waziri wanatoka BukobaIsije kuwa wameng'ang'aniwa na akina Ashura maana wakati wa bunge malaya ni wengi zaidi ya 500 huingia Dom kuwinda madushe.
Kuna mambo mengine ni ya kijinga sana,labda kama kuna sababu nyingine ya msingi ila hiyo ya kwenda kukagua Bei za mafuta sheli,ni matumizi mabaya ya muda maana Ewura wapo na wanamamlakaHalafu waziri anahusikaje na ukaguzi Wa Mafuta WAkati Regulator Yupo Ewura?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mohamed Mtoi sio wa Bumbuli alikuwa Lushoto mjini kwa ShekilindiMohamed Mtoi
Tena haramuHilo lishakuwa genge
Ccm ni mafiiiiWakati mbunge wa viti maalumu mh Magige akichangia bajeti ya Nishati ghafla mwenyekiti ameahirisha bunge kwa nusu saa na ametoka ukumbimi
Tutawajuza yaliyojiri
Source TBC
======
Mwenyekiti wa Bunge wakati akiongoza kikao cha Bunge ameahirisha shughuli za Bunge kwa nusu saa baada ya kukosekana Waziri na Naibu wa Nishati, Bunge lilitaka kujadili hotuba ya bajeti ya Nishati iliyotolewa jana na Waziri January Makamba.
View attachment 2247875