Bunge laitaka Serikali kuhakikisha wanafunzi wenye sifa na wamekosa mikopo kupokelewa Vyuoni haraka

Bunge laitaka Serikali kuhakikisha wanafunzi wenye sifa na wamekosa mikopo kupokelewa Vyuoni haraka

Magufuli alipata 87%/23% za tundulissu
Umeandika vizuri of imperial bunge etc etc.

Take note that: True statements with regard to the winner can not be said of the 2020 General elections!
 
Wapokelewe mabegi kisha wakatafute ada
Hilo Agizo la Bunge wala halikutekelezwa. Mwanangu nimemlipia mwenyewe mwaka mzima licha ya kuwa na sifa ya kukopesheka. Na mwaka huu kakosa kaambiwa eti akate rufaa! Ahahahahaha!!!
 
Back
Top Bottom