Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kuvaa Mask maana yake ,kuzibwa Mdomo asiongee.
Kuvaa Miwani maana yake, Hupaswi kua kipofu .
Kuvaa Miwani maana yake, Hupaswi kua kipofu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda utazungumzaZitto Kabwe ameshatangaza kugombea uRais wa JMT kwa niaba ya Kambi ya upinzani
Unafiki gani, umethibitishwaje, je hoja zake zimejibiwa? Mtuhumiwa kajitetea? Iweje ahukumiwe?Kosa lake kubwa ni unafiki. Ahsante kwa kuuliza.
Baraza la wenye mizaha siyo?!Inasemaje...???
Kamati Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge imewasilisha bungeni taarifa ya kamati hiyo kuhusu tuhuma za Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, jijini Dodoma leo Juni 24, 2024
Kamati Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge imewasilisha bungeni taarifa ya kamati hiyo kuhusu tuhuma za Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, jijini Dodoma leo Juni 24, 2024
Waziri Mkuu wa nyumbani kwako labda. Hapo sawa
Wabunge wa Magufuli hao wanamuadhibu Sukuma Gang😆Hoja ya ufisadi wa Bashe imezimwa rasmi kwa Luhaga Mpina kuadhibiwa. Hiki bunge la huyu njiti ni ovyo kama kilabu cha mataputapu tu.
Yule dhalim alituweza kweli watanzania kutuachia vilaza ndani ya bungeWabunge wa Magufuli hao wanamuadhibu Sukuma Gang😆
Mtuhumiwa anaitwa na kamati inamsikiliza halafu yenyewe inaona haina adhabu ya kumpa inaliambia bunge lenyewe ndio litoe adhabu,bunge ambalo mtuhumiwa hajajitetea kwalo!😂Unafiki gani, umethibitishwaje, je hoja zake zimejibiwa? Mtuhumiwa kajitetea? Iweje ahukumiwe?
Wabunge week ijayo wanamtukana BasheHoja ya ufisadi wa Bashe imezimwa rasmi kwa Luhaga Mpina kuadhibiwa. Hiki bunge la huyu njiti ni ovyo kama kilabu cha mataputapu tu.
Bashe anaikusanyia CCM hela ya kampeni hawezi kuguswa.Na Bashe vipi hajakutwa na kosa lolote