Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Jambo unalotakiwa kulijua, ni Kusoma mwelekeo mpya wa Siasa za Dunia.Waziri Mkuu wa nyumbani kwako labda. Hapo sawa
Dunia Sasa inaingia kwenye kipindi Cha NATIONALISM .
Hivo tetea Wezi, Mafisadi Kwa nguvu zako zote, ila NYAKATI ZAJA AMBAZO, MTALIA NA KUSAGA MENO.
Kama ambavyo hakuna aliyedhania JPM Atajua kua Rais, ndivo ambavyo Nyakati hizo hizo zitakuja.
Furahini Kwa kuwaumiza Wazalendo wa TAIFA hili.

