Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Muda utazungumzaZitto Kabwe ameshatangaza kugombea uRais wa JMT kwa niaba ya Kambi ya upinzani
Unafiki gani, umethibitishwaje, je hoja zake zimejibiwa? Mtuhumiwa kajitetea? Iweje ahukumiwe?Kosa lake kubwa ni unafiki. Ahsante kwa kuuliza.
Baraza la wenye mizaha siyo?!Inasemaje...???
wabunge wanapata muda wa kujadili adhabu ya kumpa mbunge mwenzao!!ππππππKamati Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge imewasilisha bungeni taarifa ya kamati hiyo kuhusu tuhuma za Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, jijini Dodoma leo Juni 24, 2024
Ukifikiria sana na ukipaniki ni kuiombea mabaya ccm washindwe wabunge wote pamoja na raisi tuone watakwenda wapi al maruhumu maalimu seif alisema ashachoka uhanithi wa bara!Kamati Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge imewasilisha bungeni taarifa ya kamati hiyo kuhusu tuhuma za Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, jijini Dodoma leo Juni 24, 2024
Waziri Mkuu wa nyumbani kwako labda. Hapo sawa
Wabunge wa Magufuli hao wanamuadhibu Sukuma GangπHoja ya ufisadi wa Bashe imezimwa rasmi kwa Luhaga Mpina kuadhibiwa. Hiki bunge la huyu njiti ni ovyo kama kilabu cha mataputapu tu.
Yule dhalim alituweza kweli watanzania kutuachia vilaza ndani ya bungeWabunge wa Magufuli hao wanamuadhibu Sukuma Gangπ
Mtuhumiwa anaitwa na kamati inamsikiliza halafu yenyewe inaona haina adhabu ya kumpa inaliambia bunge lenyewe ndio litoe adhabu,bunge ambalo mtuhumiwa hajajitetea kwalo!πUnafiki gani, umethibitishwaje, je hoja zake zimejibiwa? Mtuhumiwa kajitetea? Iweje ahukumiwe?
Wabunge week ijayo wanamtukana BasheHoja ya ufisadi wa Bashe imezimwa rasmi kwa Luhaga Mpina kuadhibiwa. Hiki bunge la huyu njiti ni ovyo kama kilabu cha mataputapu tu.
Bashe anaikusanyia CCM hela ya kampeni hawezi kuguswa.Na Bashe vipi hajakutwa na kosa lolote