Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15


Kamati Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge imewasilisha bungeni taarifa ya kamati hiyo kuhusu tuhuma za Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, jijini Dodoma leo Juni 24, 2024

Mbunge wa Mtera, Livingstone Joseph Lusinde amesema kutokana na tuhuma zinazomkabili Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuhusu kumtuhumu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuwa alilidanganya Bunge kuhusu sakata la Uagizaji wa Sukari, anatakiwa kufungiwa kuhudhuria vikao 15 vya Bunge

Ameyasema hayo Bungeni baada ya Mwenyekiti wa Kamati Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge, Ally Makoa kuwasilisha Bungeni Taarifa ya Kamati kuhusu tuhuma hizo, leo Juni 24, 2024
---
"Mheshimiwa Luhaga Mpina (Mbunge wa Kisesa) alimtuhumu Mheshimiwa Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) kuwa amelidanganya Bunge kwa kusema wamebadili kanuni za Nation Food Reserve Agency (NFRA) kuruhusu NFRA kuwa na mandate ya kuingiza sukari wakati hakuna tangazo la serikali lililotangazwa kuipa NFRA mandate ya kuingiza sukari, Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) aliieleza kamati kuwa walitumia sheria ya usalama wa chakula sura ya 249 kukabiliana na uhaba wakati wa dharura kupitia NFRA ambapo alisema kuwa wameanza mchakato wa kubadilisha sheria ili NFRA waruhusiwe kuagiza, kuhifadhi na kusambaza sukari hata kwa kipindi kisicho cha dharura na mchakato huo ulianza kwa kutoa tangazo serikalini namba 225 (b) la tarehe 01 Aprili 2024" -Makoa

"Kamati ilipitia kifungu cha 14 cha sheria ya tasnia ya sukari kuhusu wanaoruhusiwa kuingiza sukari na kupitia kifungu cha 15 cha sheria ya usalama wa chakula ya mwaka 1991 na kubaini kuwa wakati wa dharura kama ilivyojitokeza sheria ya usalama wa chakula inakuwa na nguvu zaidi kuliko sheria ya tasnia ya sukari" -Makoa

"Kamati ilipata nafasi ya kujiridhisha kuhusu GN namba 25 (b) ya tarehe 01 Aprili 2024 na kupitia muswada wa sheria ya fedha iliona mapendekezo ya marekebisho yaliyoelezwa na Waziri kupitia kumbukumbu za Bunge na maelezo ya Waziri kamati ilikuwa na maoni kuwa hakuna uwongo uliozungumzwa na kwamba hakuna ukiukwaji wowote wa sheria uliofanywa" -Makoa

Ni sehemu ya maelezo ya Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, maadili na madaraka ya Bunge Ally Makoa akiwasilisha Bungeni kuhusu tuhuma zilizotolewa na Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina dhidi ya Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.

WABUNGE WAKUBALIANA KUMFUNGIA MPINA VIKAO 15 VYA BUNGE
Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa amefungiwa kuhudhuria vikao 15 vya Bunge kuanzia Juni 24, 2024 kwa kosa la kukiuka Kanuni za Bunge, kudharau Mamlaka ya Spika na mwenendo wa shughuli za Bunge, atarejea Bungeni katika kikao cha pili cha Novemba, 2024

Mpina ametiwa hatiani baada ya kuzungumza na Wanahabari kuhusu ushahidi aliouwasilisha kwa Spika kabla ushahidi huo haujawasilishwa mezani au kupewa idhini na Bunge kufanya hivyo

Awali, Mpina alidai Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe alilidanganya Bunge kuhusu Uagizaji wa sukari Nchini

Spika wa Bunge, Tulia Ackson amesema Mpina hatakiwi kufika eneo la Bunge wala kujihusisha na shughuli zozote za Bunge wakati wa adhabu yake

PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia

Kwanini hawakuamuwa apelekwe na Mirembe akapimwe afya ya akili?
 
Kipindi cha Magufuli Mpina alikua waziri mambo mengi ya hovyo yalitendeka alikaa kimya, je angekua waziri na sasa angeyasema haya anayoyasema?

INAFIKIRISHA SANA...
 
Kwa mujibu wa Kanuni ya Bunge #84 (3) (a) ya mwaka 2023 amekutwa na hatia na Kamati ya Hadhi na Madaraka ya Bunge.

Tuendelee kufuatilia bunge
≈=====================

"Mheshimiwa Luhaga Mpina (Mbunge wa Kisesa) alimtuhumu Mheshimiwa Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) kuwa amelidanganya Bunge kwa kusema wamebadili kanuni za Nation Food Reserve Agency (NFRA) kuruhusu NFRA kuwa na mandate ya kuingiza sukari wakati hakuna tangazo la serikali lililotangazwa kuipa NFRA mandate ya kuingiza sukari, Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) aliieleza kamati kuwa walitumia sheria ya usalama wa chakula sura ya 249 kukabiliana na uhaba wakati wa dharura kupitia NFRA ambapo alisema kuwa wameanza mchakato wa kubadilisha sheria ili NFRA waruhusiwe kuagiza, kuhifadhi na kusambaza sukari hata kwa kipindi kisicho cha dharura na mchakato huo ulianza kwa kutoa tangazo serikalini namba 225 (b) la tarehe 01 Aprili 2024" -Makoa

"Kamati ilipitia kifungu cha 14 cha sheria ya tasnia ya sukari kuhusu wanaoruhusiwa kuingiza sukari na kupitia kifungu cha 15 cha sheria ya usalama wa chakula ya mwaka 1991 na kubaini kuwa wakati wa dharura kama ilivyojitokeza sheria ya usalama wa chakula inakuwa na nguvu zaidi kuliko sheria ya tasnia ya sukari" -Makoa

"Kamati ilipata nafasi ya kujiridhisha kuhusu GN namba 25 (b) ya tarehe 01 Aprili 2024 na kupitia muswada wa sheria ya fedha iliona mapendekezo ya marekebisho yaliyoelezwa na Waziri kupitia kumbukumbu za Bunge na maelezo ya Waziri kamati ilikuwa na maoni kuwa hakuna uwongo uliozungumzwa na kwamba hakuna ukiukwaji wowote wa sheria uliofanywa" -Makoa

Ni sehemu ya maelezo ya Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, maadili na madaraka ya Bunge Ally Makoa akiwasilisha Bungeni kuhusu tuhuma zilizotolewa na Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina dhidi ya Waziri wa Kilimo Hussein Bashe


-----
Kamati Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge imewasilisha bungeni taarifa ya kamati hiyo kuhusu tuhuma za Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, jijini Dodoma leo Juni 24, 2024

Mbunge wa Mtera, Livingstone Joseph Lusinde amesema kutokana na tuhuma zinazomkabili Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuhusu kumtuhumu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuwa alilidanganya Bunge kuhusu sakata la Uagizaji wa Sukari, anatakiwa kufungiwa kuhudhuria vikao 15 vya Bunge

Ameyasema hayo Bungeni baada ya Mwenyekiti wa Kamati Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge, Ally Makoa kuwasilisha Bungeni Taarifa ya Kamati kuhusu tuhuma hizo, leo Juni 24, 2024
---
"Mheshimiwa Luhaga Mpina (Mbunge wa Kisesa) alimtuhumu Mheshimiwa Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) kuwa amelidanganya Bunge kwa kusema wamebadili kanuni za Nation Food Reserve Agency (NFRA) kuruhusu NFRA kuwa na mandate ya kuingiza sukari wakati hakuna tangazo la serikali lililotangazwa kuipa NFRA mandate ya kuingiza sukari, Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) aliieleza kamati kuwa walitumia sheria ya usalama wa chakula sura ya 249 kukabiliana na uhaba wakati wa dharura kupitia NFRA ambapo alisema kuwa wameanza mchakato wa kubadilisha sheria ili NFRA waruhusiwe kuagiza, kuhifadhi na kusambaza sukari hata kwa kipindi kisicho cha dharura na mchakato huo ulianza kwa kutoa tangazo serikalini namba 225 (b) la tarehe 01 Aprili 2024" -Makoa

"Kamati ilipitia kifungu cha 14 cha sheria ya tasnia ya sukari kuhusu wanaoruhusiwa kuingiza sukari na kupitia kifungu cha 15 cha sheria ya usalama wa chakula ya mwaka 1991 na kubaini kuwa wakati wa dharura kama ilivyojitokeza sheria ya usalama wa chakula inakuwa na nguvu zaidi kuliko sheria ya tasnia ya sukari" -Makoa

"Kamati ilipata nafasi ya kujiridhisha kuhusu GN namba 25 (b) ya tarehe 01 Aprili 2024 na kupitia muswada wa sheria ya fedha iliona mapendekezo ya marekebisho yaliyoelezwa na Waziri kupitia kumbukumbu za Bunge na maelezo ya Waziri kamati ilikuwa na maoni kuwa hakuna uwongo uliozungumzwa na kwamba hakuna ukiukwaji wowote wa sheria uliofanywa" -Makoa

Ni sehemu ya maelezo ya Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, maadili na madaraka ya Bunge Ally Makoa akiwasilisha Bungeni kuhusu tuhuma zilizotolewa na Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina dhidi ya Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.

WABUNGE WAKUBALIANA KUMFUNGIA MPINA VIKAO 15 VYA BUNGE
Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa amefungiwa kuhudhuria vikao 15 vya Bunge kuanzia Juni 24, 2024 kwa kosa la kukiuka Kanuni za Bunge, kudharau Mamlaka ya Spika na mwenendo wa shughuli za Bunge, atarejea Bungeni katika kikao cha pili cha Novemba, 2024

Mpina ametiwa hatiani baada ya kuzungumza na Wanahabari kuhusu ushahidi aliouwasilisha kwa Spika kabla ushahidi huo haujawasilishwa mezani au kupewa idhini na Bunge kufanya hivyo

Awali, Mpina alidai Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe alilidanganya Bunge kuhusu Uagizaji wa sukari Nchini

Spika wa Bunge, Tulia Ackson amesema Mpina hatakiwi kufika eneo la Bunge wala kujihusisha na shughuli zozote za Bunge wakati wa adhabu yake

PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili

- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge

- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Ila tuseme tu tuna bunge la hovyo.
Kuna mmoja anaitwa Somebody Ditopile Mzuzuri, yeye alianza kabisa kumuita spika "kipenzi chetu" 🤣🤣🤣🤣
Kama Taifa kazi tunayo kwa kweli.
 
Hiki kilichofanyika ni cha kawaida, ni wachache sana wanaoweza kuona kwamba kuna inshu kuuuuubwa imefanywa na Bunge.
Yako mambo mengi sana ambayo tulitaraji bunge liyafanyie maamuzi magumu lkn hawakufanya.
Mpina ni wa nyumbani (ccm) ameadhibiwa na wana familia (ccm wenzake) so, hiyo siyo inshu hata kidogo.

So, wameacha kuchambua kwa umakini taarifa aliyoileta mpina, wakajikita kwenye makosa ya mpina kwa bunge, yaani ni mbaya sana kutuaminisha kwamba katika yote aliyoyasema mpina hakuna lililo sahihi.
Mh Mpina alijua hilo ndiyo maana akazungumza na Wapiga kura wake kupitia Waandishi wa Habari.

Godbless Lema aliwahi kuwaambia Bungeni kuwa "wakishatumaliza sisi wataanza kuwashughulikia nyie" .
 
Nilifanya tafiti zangu nikaconclude Africa will never modernize, Africa will never develop, itakuwa na viashiria tu vya maendeleo ila si maendeleo yenyewe ambayo ukifika Europe unayaona, moja ya sababu kubaki maskini daima ni ofisi kubwa na nyeti kuongozwa na wanawake, tena vilaza wanaofanya maamuzi mabovu ambayo siku wakitoka madarakani tunawazodoa, tukumbuke kuwa na madigirii ya mlimani sio kuwa na akili za kazini.

Yaani mbunge anasema ukweli badala ya kumsapoti tunamkalisha chini na kumtenga. Hii inaonesha tulivyo jaa ujinga na kubaki nyuma , hii ina maana pia wabunge dizaini ya Mpina wote watapigwa mawe pia!! Ujinga wetu aliosema Nyerere , sio wa kutokujua kusoma na kuandika, hata katika kuelewa na kuamua mambo muhimu ya maslahi ya nchi.
 
Hivyo vikao alivyofungiwa ndio sawa na sh. ngapi?
Yaani adhabu ya kumzuia kwenda kazini sio?
 
Mmeshaambiwa sheria iliyotumika ni ipi sasa kelele za nini? Mmeambiwa buffer stock na gap sugar ziliidhinishwa ila sio kibali kutolewa. Niliwaambia Mpina ni mpotoshaji tu mkanipinga leo mmeumbuka. Huko ccm yamejazana majizi tu nashangaa mnayatetea. Mpina sio mzalendo ni opportunist tu mwenye uchungu wa kukosa uwaziri. Na ndio kwisha hivyo 2025 harudi bungeni.
Wewe tangu wakati ule wa DPW ulivyoamua kukaa kimya nilikuondoa kwenye faili langu la wapinzani walio na uchungu wa kupigania rasilimali za hili taifa.

Una chembe chembe za udini, ufisadi, na mihemko ya kitoto, unashangilia Mpina kutorudi bungeni unadhani wakati anajilipua hakujua kama hilo linaweza kumpata?!

Unasema tumeumbuka?! Tumeumbuliwa na hiyo kamati ya Spika Tulia iliyookoteza majibu ili kujibu tuhuma za Mpina? Kumbe hauna akili kabisa.

- Sheria iliyotumika ndio ikawafanya watumie kampuni isiyo na ujuzi wa kuagiza sukari? hapo usalama wa mlaji ulizingatiwa? mtaji wa 1 million wa stationery unaweza kuagiza sukari ya bilion 6.6? hiyo kama sio rushwa ni kitu gani kingine kwa akili yako mbovu!

Unaimba sheria kufuatwa, huoni hapo walitumia sheria ili kutoa deals kwa kampuni za watu wao ili watupige?

Shame on you, na njaa zako za kuwaza ubunge, matokeo ya mindset ya kipuuzi inayowafanya baadae mkae kimya hata rasilimali za taifa zikiibwa.

■Mpina is above you in every aspect, he is mentally free not like you, hopeless uliyetawaliwa na njaa mpaka kwenye ubongo.
 
Baseline hapa ni;.. Je sukari baada ya kuagizwa kwa vibali (kwa maana ya wafanyibiashara kusamehewa mabilioni ushuru) ilipatikana kwa bei nafuu kwa wananchi au la? tuache details zingine hizo hadi kumgeuza mtuhumu kua mtuhumiwa nakumuadhibu yeye.
Kwa hakika sasa nchi imegeuka mwanasesere wa maslahi ya mabepari uchwara wa nchini au tuseme wafanyibiashara wakubwa.
Kwani wewe mtaani kwako sukari bei gani? Isijeikawa mwenzetu unaamka na kuzimua wanzuki huku unataka kujadili suala la sukari?
 
Mtu kama mleta mada ni wa kupiga risasi tu, watu wa namna hii wanachangia sana kurudisha nchi nyuma...typical ccm traits.
ERoni Ukifunguliwa ban, utanikuta nipo pale Kimara Baruti. Usije na risasi, njoo tupambane ana kwa ana
 
- Sheria iliyotumika ndio ikawafanya watumie kampuni isiyo na ujuzi wa kuagiza sukari? hapo usalama wa mlaji ulizingatiwa? mtaji wa 1 million wa stationery unaweza kuagiza sukari ya bilion 6.6? hiyo kama sio rushwa ni kitu gani kingine kwa akili yako mbovu!
Kwani Leseni ta stationery ikipewa kibali cha kuagiza sukari na ikaleta sukari, kuna ISSUE gani?

Luhaga Mpina hana point ni wakala wa matajiri wahodhi sukari tu. Sisi tunataka sukari iwepo kwa bei rahisi bila kujali imekujajaje. Hata wewe denoo JG mwenye leseni ya kusuka nywele ukileta sukari tunanunua. Bashe shikilia hapo hapo mpaka hawa sukuma gang wa mwendazake wanyooke
 
Acha afungiwe tu maana hakuna bunge hapo bali kusanyiko la majizi. Akafanye kazi nyingine kuliko kupoteza muda kwenye hilo bunge rubber stamp.
Dogo kama hauna hauna tu, hata ukiongea kwa hasira vipi haindoi ukweli!
 
Kwani Leseni ta stationery ikipewa kibali cha kuagiza sukari na ikaleta sukari, kuna ISSUE gani?

Luhaga Mpina hana point ni wakala wa matajiri wahodhi sukari tu. Sisi tunataka sukari iwepo kwa bei rahisi bila kujali imekujajaje. Hata wewe denoo JG mwenye leseni ya kusuka nywele ukileta sukari tunanunua. Bashe shikilia hapo hapo mpaka hawa sukuma gang wa mwendazake wanyooke
Chawa huna akili siku zote, kwanini hiyo leseni msiwape wenye experience ya uagizaji sukari unaenda kuwapa wa stationery?

Issue zipo nyingi tu; mtaji waliutoa wapi?

Unaziacha kampuni zenye mitaji kufanya hiyo kazi, unaenda kumpa mwenye mtaji wa 1million, mafisadi msio na akili.

Kwanini mkagoma kukutana na viongozi wa viwanda vya kuzalisha sukari waliokuwa tayari kuagiza sukari? mkawakwepa mpaka wakataka kuonana na Samia wasijue Samia mwenyewe nae ni mwizi vile vile!.
 
Shame on you as well. Kwa hivyo ushahidi wa Mpina kwa Bashe ni uongo?
MKuu njaa hakika ni mbaya sana. Hii platform imeanza kuwa na watu waajabu sana.

Tulikua tukisikia enzi hizo kuwa ni home of great thinkers sasa imekua home of fools with empty stomach.
 
Back
Top Bottom