Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan ripoti ya CAG bunge huwa halizungumzii kabisa uwajibikaji ila kwa Mpina sawa😂.Heshima pekee anayoiona kwake Dada Tulilala pale mjengoni ni kumuadhibu mbunge eti anaheshimika duniani hukoaVp na wale kwenye ripoti ya mkaguzi
Chawa katika ubora wakobaada ya kubuni uongo na uzushi, kana kwamba ni kweli na kuufanya kama tuhuma dhidi ya waziri kijana wa kilimo, mchapakazi hodari na anaeaminika sana, Hussein Bashe, na kujaribu kuwahadaa wananchi na kutaka kulidanganya bunge..
Mbunge huyo mzushi, atawajibika kutokukanyaga kabisa eneo la bunge katika muda usiopungua vikao15, hiyo maana yake atakanyaga tu, tana kwa bahati sana vikao vya bunge la November 2024.
Je,
CCM itavumilia Kuishi na mtu muongo na mzushi kama huyu?
au ni suala la muda tu tutapata taarifa ya Tume Huru Ya Uchaguzi ikiliarifu bunge hatua za CCM dhidi ya mbunge wake huyo muongo 🐒
uzushi, uongo, kiburi na jeuri vyamtokea puani, aweka ubunge wake rehani na uko mashakani kumponyoka 🐒
Siyo kumpiga risasi; huo utakuwa ujambazi.Mtu kama mleta mada ni wa kupiga risasi tu, watu wa namna hii wanachangia sana kurudisha nchi nyuma...typical ccm traits.
Ila huu mwandiko huu, mmmmh.. unafanana na wa jamaa flani ivi hapa hapa jukwaani 😂. Machawa wako busy sana aisee..baada ya kubuni uongo na uzushi, kana kwamba ni kweli na kuufanya kama tuhuma dhidi ya waziri kijana wa kilimo, mchapakazi hodari na anaeaminika sana, Hussein Bashe, na kujaribu kuwahadaa wananchi na kutaka kulidanganya bunge..
Mbunge huyo mzushi, atawajibika kutokukanyaga kabisa eneo la bunge katika muda usiopungua vikao15, hiyo maana yake atakanyaga tu, tana kwa bahati sana vikao vya bunge la November 2024.
Je,
CCM itavumilia Kuishi na mtu muongo na mzushi kama huyu?
au ni suala la muda tu tutapata taarifa ya Tume Huru Ya Uchaguzi ikiliarifu bunge hatua za CCM dhidi ya mbunge wake huyo muongo 🐒
uzushi, uongo, kiburi na jeuri vyamtokea puani, aweka ubunge wake rehani na uko mashakani kumponyoka 🐒
Wapuuzi hao wamekutana kwenye vikao vyaoYaan ripoti ya CAG bunge huwa halizungumzii kabisa uwajibikaji ila kwa Mpina sawa😂.Heshima pekee anayoiona kwake Dada Tulilala pale mjengoni ni kumuadhibu mbunge eti anaheshimika duniani hukoa
Kamati Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge imewasilisha bungeni taarifa ya kamati hiyo kuhusu tuhuma za Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, jijini Dodoma leo Juni 24, 2024
Mbunge wa Mtera, Livingstone Joseph Lusinde amesema kutokana na tuhuma zinazomkabili Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuhusu kumtuhumu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuwa alilidanganya Bunge kuhusu sakata la Uagizaji wa Sukari, anatakiwa kufungiwa kuhudhuria vikao 15 vya Bunge
Ameyasema hayo Bungeni baada ya Mwenyekiti wa Kamati Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge, Ally Makoa kuwasilisha Bungeni Taarifa ya Kamati kuhusu tuhuma hizo, leo Juni 24, 2024
---
"Mheshimiwa Luhaga Mpina (Mbunge wa Kisesa) alimtuhumu Mheshimiwa Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) kuwa amelidanganya Bunge kwa kusema wamebadili kanuni za Nation Food Reserve Agency (NFRA) kuruhusu NFRA kuwa na mandate ya kuingiza sukari wakati hakuna tangazo la serikali lililotangazwa kuipa NFRA mandate ya kuingiza sukari, Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) aliieleza kamati kuwa walitumia sheria ya usalama wa chakula sura ya 249 kukabiliana na uhaba wakati wa dharura kupitia NFRA ambapo alisema kuwa wameanza mchakato wa kubadilisha sheria ili NFRA waruhusiwe kuagiza, kuhifadhi na kusambaza sukari hata kwa kipindi kisicho cha dharura na mchakato huo ulianza kwa kutoa tangazo serikalini namba 225 (b) la tarehe 01 Aprili 2024" -Makoa
"Kamati ilipitia kifungu cha 14 cha sheria ya tasnia ya sukari kuhusu wanaoruhusiwa kuingiza sukari na kupitia kifungu cha 15 cha sheria ya usalama wa chakula ya mwaka 1991 na kubaini kuwa wakati wa dharura kama ilivyojitokeza sheria ya usalama wa chakula inakuwa na nguvu zaidi kuliko sheria ya tasnia ya sukari" -Makoa
"Kamati ilipata nafasi ya kujiridhisha kuhusu GN namba 25 (b) ya tarehe 01 Aprili 2024 na kupitia muswada wa sheria ya fedha iliona mapendekezo ya marekebisho yaliyoelezwa na Waziri kupitia kumbukumbu za Bunge na maelezo ya Waziri kamati ilikuwa na maoni kuwa hakuna uwongo uliozungumzwa na kwamba hakuna ukiukwaji wowote wa sheria uliofanywa" -Makoa
Ni sehemu ya maelezo ya Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, maadili na madaraka ya Bunge Ally Makoa akiwasilisha Bungeni kuhusu tuhuma zilizotolewa na Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina dhidi ya Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
WABUNGE WAKUBALIANA KUMFUNGIA MPINA VIKAO 15 VYA BUNGE
Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa amefungiwa kuhudhuria vikao 15 vya Bunge kuanzia Juni 24, 2024 kwa kosa la kukiuka Kanuni za Bunge, kudharau Mamlaka ya Spika na mwenendo wa shughuli za Bunge, atarejea Bungeni katika kikao cha pili cha Novemba, 2024
Mpina ametiwa hatiani baada ya kuzungumza na Wanahabari kuhusu ushahidi aliouwasilisha kwa Spika kabla ushahidi huo haujawasilishwa mezani au kupewa idhini na Bunge kufanya hivyo
Awali, Mpina alidai Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe alilidanganya Bunge kuhusu Uagizaji wa sukari Nchini
Spika wa Bunge, Tulia Ackson amesema Mpina hatakiwi kufika eneo la Bunge wala kujihusisha na shughuli zozote za Bunge wakati wa adhabu yake
PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhaga Mpina Kamati ya Maadili
- Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge
- Luhaga Mpina: Usambazaji wa sukari haukuwa ukifanywa na mfanyabiashara mmoja wa Mwanza pekee, Waziri Bashe alidanganya
- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Hili Bashe asitarajie kuwa limeisha. Litatumika tu trna dhidi yake.Wabunge week ijayo wanamtukana Bashe
Baseline hapa ni;.. Je sukari baada ya kuagizwa kwa vibali (kwa maana ya wafanyibiashara kusamehewa mabilioni ushuru) ilipatikana kwa bei nafuu kwa wananchi au la? tuache details zingine hizo hadi kumgeuza mtuhumu kua mtuhumiwa nakumuadhibu yeye.Kwa mujibu wa Kanuni ya Bunge #84 (3) (a) ya mwaka 2023 amekutwa na hatia na Kamati ya Hadhi na Madaraka ya Bunge.
Tuendelee kufuatilia bunge
≈=====================
"Mheshimiwa Luhaga Mpina (Mbunge wa Kisesa) alimtuhumu Mheshimiwa Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) kuwa amelidanganya Bunge kwa kusema wamebadili kanuni za Nation Food Reserve Agency (NFRA) kuruhusu NFRA kuwa na mandate ya kuingiza sukari wakati hakuna tangazo la serikali lililotangazwa kuipa NFRA mandate ya kuingiza sukari, Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) aliieleza kamati kuwa walitumia sheria ya usalama wa chakula sura ya 249 kukabiliana na uhaba wakati wa dharura kupitia NFRA ambapo alisema kuwa wameanza mchakato wa kubadilisha sheria ili NFRA waruhusiwe kuagiza, kuhifadhi na kusambaza sukari hata kwa kipindi kisicho cha dharura na mchakato huo ulianza kwa kutoa tangazo serikalini namba 225 (b) la tarehe 01 Aprili 2024" -Makoa
"Kamati ilipitia kifungu cha 14 cha sheria ya tasnia ya sukari kuhusu wanaoruhusiwa kuingiza sukari na kupitia kifungu cha 15 cha sheria ya usalama wa chakula ya mwaka 1991 na kubaini kuwa wakati wa dharura kama ilivyojitokeza sheria ya usalama wa chakula inakuwa na nguvu zaidi kuliko sheria ya tasnia ya sukari" -Makoa
"Kamati ilipata nafasi ya kujiridhisha kuhusu GN namba 25 (b) ya tarehe 01 Aprili 2024 na kupitia muswada wa sheria ya fedha iliona mapendekezo ya marekebisho yaliyoelezwa na Waziri kupitia kumbukumbu za Bunge na maelezo ya Waziri kamati ilikuwa na maoni kuwa hakuna uwongo uliozungumzwa na kwamba hakuna ukiukwaji wowote wa sheria uliofanywa" -Makoa
Ni sehemu ya maelezo ya Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, maadili na madaraka ya Bunge Ally Makoa akiwasilisha Bungeni kuhusu tuhuma zilizotolewa na Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina dhidi ya Waziri wa Kilimo Hussein Bashe
PIA SOMA
- LIVE - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina
View attachment 3024970
Hukum za bunge hazitoi mda wa mtuhumiwa kujitetea?Kwa mujibu wa Kanuni ya Bunge #84 (3) (a) ya mwaka 2023 amekutwa na hatia na Kamati ya Hadhi na Madaraka ya Bunge.
Tuendelee kufuatilia bunge
≈=====================
"Mheshimiwa Luhaga Mpina (Mbunge wa Kisesa) alimtuhumu Mheshimiwa Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) kuwa amelidanganya Bunge kwa kusema wamebadili kanuni za Nation Food Reserve Agency (NFRA) kuruhusu NFRA kuwa na mandate ya kuingiza sukari wakati hakuna tangazo la serikali lililotangazwa kuipa NFRA mandate ya kuingiza sukari, Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) aliieleza kamati kuwa walitumia sheria ya usalama wa chakula sura ya 249 kukabiliana na uhaba wakati wa dharura kupitia NFRA ambapo alisema kuwa wameanza mchakato wa kubadilisha sheria ili NFRA waruhusiwe kuagiza, kuhifadhi na kusambaza sukari hata kwa kipindi kisicho cha dharura na mchakato huo ulianza kwa kutoa tangazo serikalini namba 225 (b) la tarehe 01 Aprili 2024" -Makoa
"Kamati ilipitia kifungu cha 14 cha sheria ya tasnia ya sukari kuhusu wanaoruhusiwa kuingiza sukari na kupitia kifungu cha 15 cha sheria ya usalama wa chakula ya mwaka 1991 na kubaini kuwa wakati wa dharura kama ilivyojitokeza sheria ya usalama wa chakula inakuwa na nguvu zaidi kuliko sheria ya tasnia ya sukari" -Makoa
"Kamati ilipata nafasi ya kujiridhisha kuhusu GN namba 25 (b) ya tarehe 01 Aprili 2024 na kupitia muswada wa sheria ya fedha iliona mapendekezo ya marekebisho yaliyoelezwa na Waziri kupitia kumbukumbu za Bunge na maelezo ya Waziri kamati ilikuwa na maoni kuwa hakuna uwongo uliozungumzwa na kwamba hakuna ukiukwaji wowote wa sheria uliofanywa" -Makoa
Ni sehemu ya maelezo ya Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, maadili na madaraka ya Bunge Ally Makoa akiwasilisha Bungeni kuhusu tuhuma zilizotolewa na Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina dhidi ya Waziri wa Kilimo Hussein Bashe
PIA SOMA
- LIVE - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina
View attachment 3024970
Ripoti ya uchunguzi wa kamati umebainisha kwamba gentleman wa Kisesa ni mzushi na muongo amelidanganya bunge na kumdharau spika 🐒Vp na wale kwenye ripoti ya mkaguzi