Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
Mkuu dunia inaenda kasi, nyakati zimebadilika mno. Tafsiri ya uzalendo kabla ya uhuru, baada ya uhuru na sasa hivi ina mukthadha tofauti kabisa!
Wengi wetu tuliopita huko na waliopo sasa kwenye ngazi za maamuzi, uzalendo wao upo wanting kwa kiwango kikubwa! Wamekuwa mfano mbaya!
Teknolojia zimebadili na kutanua wigo wa ajira kwa kiasi kikubwa. Vyombo hivyo vya kujenga uzalendo na ukakamavu vipo kwenye mindset ya kijamaa wakati dunia ilishaama huko!
Ushauri wangu taasisi hizo zibadilishwe kuwa military technical and research colleges!
Serikali iweke mazingira mazuri ya wawekezaji wa ndani na nje kuzalisha ajira za kutosha ndio iweke kigezo hicho kwenye ajira za serikali, sio kwa namna ilivyo kwa sasa.
Kwa sasa hali ilivyo, ikatokea cheche ya uasi ikashika moto kwa namna mambo yalivyo kombo na msoto mkubwa wa ajira kwa vijana walio na mafunzo ya kijeshi itakuwa balaa! Ni hatari sana!
Kipindi cha Magufuli vijana wa JKT waligoma, kitendo ambacho ni kinyume cha utaratibu wa taasisi hizo! Ile ilikuwa taa nyekundu!
Tulia kaona mbali sana!
Wengi wetu tuliopita huko na waliopo sasa kwenye ngazi za maamuzi, uzalendo wao upo wanting kwa kiwango kikubwa! Wamekuwa mfano mbaya!
Teknolojia zimebadili na kutanua wigo wa ajira kwa kiasi kikubwa. Vyombo hivyo vya kujenga uzalendo na ukakamavu vipo kwenye mindset ya kijamaa wakati dunia ilishaama huko!
Ushauri wangu taasisi hizo zibadilishwe kuwa military technical and research colleges!
Serikali iweke mazingira mazuri ya wawekezaji wa ndani na nje kuzalisha ajira za kutosha ndio iweke kigezo hicho kwenye ajira za serikali, sio kwa namna ilivyo kwa sasa.
Kwa sasa hali ilivyo, ikatokea cheche ya uasi ikashika moto kwa namna mambo yalivyo kombo na msoto mkubwa wa ajira kwa vijana walio na mafunzo ya kijeshi itakuwa balaa! Ni hatari sana!
Kipindi cha Magufuli vijana wa JKT waligoma, kitendo ambacho ni kinyume cha utaratibu wa taasisi hizo! Ile ilikuwa taa nyekundu!
Tulia kaona mbali sana!