Bunge lataka Serikali imchukulie hatua Dkt. Kigwangalla kwa matumizi mabaya ya fedha alizowagawia wasanii

Bunge lataka Serikali imchukulie hatua Dkt. Kigwangalla kwa matumizi mabaya ya fedha alizowagawia wasanii

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wabunge wameitaka Serikali kutofumbia macho ubadhirifu wa fedha uliofanywa na Wizara ya Maliasili na Utalii ukiwatumia baadhi ya wasanii wa hapa nchini.

Wakijadili ripoti ya CAG wabunge hao wakiongozwa na mbunge wa Nachingwea wamesema ifike wakati Serikali iwathibitishie wananchi kuwa ni kweli inapambana na rushwa kwa kuwashughulikia Mawaziri wezi waliotuibia mchana kweupe kila mtu akiona.

Chanzo: ITV habari!
 
Naona utendaji bora wa Kigwa na kuwa moja ya waziri wenye wafuasi wengi mitandaoni ndio kisa

Kuna vibunge hata havijulikani na viko bungeni tangu 2000
 
Wabunge wameitaka serikali kutofumbia macho ubadhirifu wa fedha uliofanywa na wizara ya maliasili na utalii ukiwatumia baadhi ya wasanii wa hapa nchini.

Wakijadili ripoti ya CAG wabunge hao wakiongozwa na mbunge wa Nachingwea wamesema ifike wakati serikali iwathibitishie wananchi kuwa ni kweli inapambana na rushwa kwa kuwashughulikia mawaziri wezi waliotuibia mchana kweupe kila mtu akiona.

Source ITV habari!
Namuona Kigwangala akizimia bungeni
 
Kigwangala lazima atemeshwe huo uwaziri hapo ndipo atajua kuwa radhi ya baba ni kubwa
Naona utendaji bora wa kigwa na kuwa moja ya waziri wenye wafuasi wengi mitandaoni ndio kisa

Kuna vibunge hata havijulikani na viko bungeni tangu 2000
 
Kama katumia fedha nyingi katika kuhamasisha utalii na matokeo ya uhamasishaji yakaleta tija kongole kwake.
 
Back
Top Bottom