johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Kazi kweli kweli!Hukuona alipost picha za watalii wamarekani wawili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kweli kweli!Hukuona alipost picha za watalii wamarekani wawili?
Una uhakika hakuna lolote? Kwa taarifa yako Hamisi katika ile kampeni ya unforgettable tanzania iliyomleta yule msanii wa kinaijeria wiz kid alitumia zaidi ya 1 bilion Tsh.kuandaa ule upuuzi na vipeperushi.wakaguzi naona wameshtukia huo ubadhirifu.Hapa hakuna lolote, huu ni wivu tuu dhidi ya mafanikio ya Dr. Kigwa!.
P
Oneday nilisema humu kuwa sasa kuna wapiga dili wapya, hivyo madili yanaendelea kupigwa kama kawaida.Wabunge wameitaka serikali kutofumbia macho ubadhirifu wa fedha uliofanywa na wizara ya maliasili na utalii ukiwatumia baadhi ya wasanii wa hapa nchini.
Wakijadili ripoti ya CAG wabunge hao wakiongozwa na mbunge wa Nachingwea wamesema ifike wakati serikali iwathibitishie wananchi kuwa ni kweli inapambana na rushwa kwa kuwashughulikia mawaziri wezi waliotuibia mchana kweupe kila mtu akiona.
Source ITV habari!
Kama katumia fedha nyingi katika kuhamasisha utalii na matokeo ya uhamasishaji yakaleta tija kongole kwake.
Punguza unafiki mkuu mtu mzima ss.Hizi literal terms hazina maana kwa umma zaid ya ubinafsi wakp
Mafanikio makubwa ya uhamasishaji utalii!.
P
Wabunge wameitaka serikali kutofumbia macho ubadhirifu wa fedha uliofanywa na wizara ya maliasili na utalii ukiwatumia baadhi ya wasanii wa hapa nchini.
Wakijadili ripoti ya CAG wabunge hao wakiongozwa na mbunge wa Nachingwea wamesema ifike wakati serikali iwathibitishie wananchi kuwa ni kweli inapambana na rushwa kwa kuwashughulikia mawaziri wezi waliotuibia mchana kweupe kila mtu akiona.
Source ITV habari!
Kigogo ndio CAG?!Mbona hii ya kulipa wasanii kigogo2014 hana tarifa nayo ?
[emoji16][emoji16] Ila we jamaa , kweli bongo tambarare taifa la [emoji230][emoji230][emoji230] kila konaHapa hakuna lolote, huu ni wivu tuu dhidi ya mafanikio ya Dr. Kigwa!.
P
yaani bunge la ccm limuonee wivu waziri wa ccm ? ama kweli bahasha za khaki zina nguvu sana !Hapa hakuna lolote, huu ni wivu tuu dhidi ya mafanikio ya Dr. Kigwa!.
P
Conflict of interestMafanikio makubwa ya uhamasishaji utalii!.
P
Bro pole sana kwasababu unaenda upepo.Hapa hakuna lolote, huu ni wivu tuu dhidi ya mafanikio ya Dr. Kigwa!.
P
Naunga mkono hoja ila Kaka yngu nae Dr. Mh Kingwa asiwe anajibu kila kitu Marehemu Mzee aliniambia sio kila kitu cha kujibu...Hapa hakuna lolote, huu ni wivu tuu dhidi ya mafanikio ya Dr. Kigwa!.
P
Huna kingine unachowaza!
Mbona mfalme wa mataga alipo pora Tl.1.5 akuwajibishwa why mataga kingwangala