Punguza unafiki mkuu mtu mzima ss.Hizi literal terms hazina maana kwa umma zaid ya ubinafsi wakpMafanikio makubwa ya uhamasishaji utalii!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza unafiki mkuu mtu mzima ss.Hizi literal terms hazina maana kwa umma zaid ya ubinafsi wakpMafanikio makubwa ya uhamasishaji utalii!.
P
Hapa hakuna lolote, huu ni wivu tuu dhidi ya mafanikio ya Dr. Kigwa!.
P
Duh!Hapa hakuna lolote, huu ni wivu tuu dhidi ya mafanikio ya Dr. Kigwa!.
P
Manara wa Simba?!Mi mwenyewe ile kitu ilikuwa inanipa ukakasi sana tena hao tunao ambiwa ni ambasadors eti ni kina manara sijui Steve nyerere hawa wana impact gani sasa na utalii bora diamond platnumz huyu ni brand na anatutangaza Pia nje vizuri sana sikuona sababu ya kuokoteza wasanii wa ndani
Wabunge wa Thithiem bwana leo nimeona wanamtolea Mimacho mwenzao eti kwanini alitumia Bil.1.5 bila idhini ya bunge na wakaenda mbali zaidi ya kutaka achukuliwe hatua. Kitu nilichojifunza leo ni kwamba hakuna "connection' kati ya Wabunge wengi wa Thithiem na Boss wao pengine kungekuwa na connection wasingelipoteza mda wao kumpigia kelele Mwenzao. Hivi Pamoja na kieleele walichonacho Mawaziri wa sasa cha kujipendekeza kwa Jiwe hivi kuna Waziri anaweza kuthubutu katumia pesa kipuuzi vile kwa akina steve nyerere bila mkono wa Bashite?wakati Mfuko anaumiliki Mjomba?. Ila Wabunge wa Lumumba acheni unafiki watu wamechukua Mabilioni bila ridhaa yenu wakanunua mandege na kujenga kiwanja cha ndege hukoo.... hakuna hata mmoja wenu '"aliyetokwa" na msuli wa shingo vipi leo hivi viela vya mboga ndio mvishupalie?Wabunge wameitaka serikali kutofumbia macho ubadhirifu wa fedha uliofanywa na wizara ya maliasili na utalii ukiwatumia baadhi ya wasanii wa hapa nchini.
Wakijadili ripoti ya CAG wabunge hao wakiongozwa na mbunge wa Nachingwea wamesema ifike wakati serikali iwathibitishie wananchi kuwa ni kweli inapambana na rushwa kwa kuwashughulikia mawaziri wezi waliotuibia mchana kweupe kila mtu akiona.
Source ITV habari!
Utasikia kesho katumbuliwaWabunge wameitaka serikali kutofumbia macho ubadhirifu wa fedha uliofanywa na wizara ya maliasili na utalii ukiwatumia baadhi ya wasanii wa hapa nchini.
Wakijadili ripoti ya CAG wabunge hao wakiongozwa na mbunge wa Nachingwea wamesema ifike wakati serikali iwathibitishie wananchi kuwa ni kweli inapambana na rushwa kwa kuwashughulikia mawaziri wezi waliotuibia mchana kweupe kila mtu akiona.
Source ITV habari!
Wabunge wameitaka serikali kutofumbia macho ubadhirifu wa fedha uliofanywa na wizara ya maliasili na utalii ukiwatumia baadhi ya wasanii wa hapa nchini.
Wakijadili ripoti ya CAG wabunge hao wakiongozwa na mbunge wa Nachingwea wamesema ifike wakati serikali iwathibitishie wananchi kuwa ni kweli inapambana na rushwa kwa kuwashughulikia mawaziri wezi waliotuibia mchana kweupe kila mtu akiona.
Source ITV habari!
Anko paskali usipopata ukuu wa wilaya 2020 nahama nchi wallahHapa hakuna lolote, huu ni wivu tuu dhidi ya mafanikio ya Dr. Kigwa!.
P
Huna kingine unachowaza!Namuona Kigwangala akizimia bungeni
Hapa hakuna lolote, huu ni wivu tuu dhidi ya mafanikio ya Dr. Kigwa!.
P
Hahahaaaa...... Waziri kivuli hajapewa mgao?
Duh!Hapa hakuna lolote, huu ni wivu tuu dhidi ya mafanikio ya Dr. Kigwa!.
P
Wewe babu unazeeka vibayaMafanikio makubwa ya uhamasishaji utalii!.
P
Hapa hakuna lolote, huu ni wivu tuu dhidi ya mafanikio ya Dr. Kigwa!.
P
Hukuona alipost picha za watalii wamarekani wawili?Mafanikio yapi?