Bunge letu linawezaje kuidhinisha pesa ya walipa kodi wote wa nchi hii waweze kuvikarabati viwanja vya CCM?

Bunge letu linawezaje kuidhinisha pesa ya walipa kodi wote wa nchi hii waweze kuvikarabati viwanja vya CCM?

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Tulimsikia Waziri wa Sanaa na Michezo wa nchi hii, Mohamed Mchengerwa, Katika kusoma bajeti yake ya mwaka huu, kuwa analiomba Bunge hilo liweze kuidhinisha zaidi ya shilingi bilioni 10, kwa ajili ya kuvikarabati viwanja hivyo vya CCM, ambavyo alidai kuwa vipo Katika Hali mbaya

Ikumbukwe kuwa nchi hii ipo kwenye mfumo wa vyama vingi, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara 3(1)

Sasa inashangaza kwa chama kimoja cha siasa, kuliomba Bunge, kuidhinisha pesa, eti kwa ajili ya kuvikarabati viwanja vyake!

Hiyo ni uvunjaji wa waziwazi wa Katiba ya nchi yetu, kwa hiyo tunamuimba Waziri wa Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa, aondoe mara moja hilo ombi lake, kwa kuwa utakuwa ni wizi wa waziwazi kabisa, kwa pesa za walipa kodi wa nchi hii, ambao ni wanachama wa vyama vingine.

Japo hilo ni jukumu la Bunge letu, kukemea vikali uvunjifu huo wa waziwazi wa Katiba yetu, lakini kwa namna ya Bunge letu namna lilivyowaingiza wabunge hao kwa njia "haramu" Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, sitegemei hilo litokee.

Hivyo basi kama Waziri huyo wa Sanaa na Michezo atakaidi na kuendelea na bajeti yake na wabunge wa Bunge la Jamhuri, wakaunga mkono ubadhirifu huo mkubwa wa pesa ya Umma, basi wategemee kuwa watanzania tutazipaza sauti zetu bila kuchoka, Ili watanzania waweze kuiondoa madarakani, Serikali hii ya CCM, ambao ni mabingwa wa kuivunja Katiba ya nchi yetu
 
You almost waste your energy . You could have already complained of matters lawlessness long before . If running of the country would be an illness,ours,is chronic long time ago .

What you are trying to oppose here will pass undoubtedly, the reason being " swimming in lawlessness syndrome".

We have leaders who no longer shy of anything, selfish and to greater extent, power drunker.

To some of us down here, have Learned to let things go, untill the drivers ,will have pity on us,God willingly.
 
Tulimsikia Waziri wa Sanaa na Michezo wa nchi hii, Mohamed Mchengerwa, Katika kusoma bajeti yake ya mwaka huu, kuwa analiomba Bunge hilo liweze kuidhinisha zaidi ya shilingi bilioni 10, kwa ajili ya kuvikarabati viwanja hivyo vya CCM, ambavyo alidai kuwa vipo Katika Hali mbaya

Ikumbukwe kuwa nchi hii ipo kwenye mfumo wa vyama vingi, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara 3(1)

Sasa inashangaza kwa chama kimoja cha siasa, kuliomba Bunge, kuidhinisha pesa, eti kwa ajili ya kuvikarabati viwanja vyake!

Hiyo ni uvunjaji wa waziwazi wa Katiba ya nchi yetu, kwa hiyo tunamuimba Waziri wa Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa, aondoe mara moja hilo ombi lake, kwa kuwa utakuwa ni wizi wa waziwazi kabisa, kwa pesa za walipa kodi wa nchi hii, ambao ni wanachama wa vyama vingine.

Japo hilo ni jukumu la Bunge letu, kukemea vikali uvunjifu huo wa waziwazi wa Katiba yetu, lakini kwa namna ya Bunge letu namna lilivyowaingiza wabunge hao kwa njia "haramu" Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, sitegemei hilo litokee.

Hivyo basi kama Waziri huyo wa Sanaa na Michezo atakaidi na kuendelea na bajeti yake na wabunge wa Bunge la Jamhuri, wakaunga mkono ubadhirifu huo mkubwa wa pesa ya Umma, basi wategemee kuwa watanzania tutazipaza sauti zetu bila kuchoka, Ili watanzania waweze kuiondoa madarakani, Serikali hii ya CCM, ambao ni mabingwa wa kuivunja Katiba ya nchi yetu
NI KAWAIDA CCM KUKOJOLEA KATIBA
 
Hivyo viwanja ni vya umma,vaache wavikarabati ipo siku vitarudi serikalini
 
Tulimsikia Waziri wa Sanaa na Michezo wa nchi hii, Mohamed Mchengerwa, Katika kusoma bajeti yake ya mwaka huu, kuwa analiomba Bunge hilo liweze kuidhinisha zaidi ya shilingi bilioni 10, kwa ajili ya kuvikarabati viwanja hivyo vya CCM, ambavyo alidai kuwa vipo Katika Hali mbaya

Ikumbukwe kuwa nchi hii ipo kwenye mfumo wa vyama vingi, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara 3(1)

Sasa inashangaza kwa chama kimoja cha siasa, kuliomba Bunge, kuidhinisha pesa, eti kwa ajili ya kuvikarabati viwanja vyake!

Hiyo ni uvunjaji wa waziwazi wa Katiba ya nchi yetu, kwa hiyo tunamuimba Waziri wa Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa, aondoe mara moja hilo ombi lake, kwa kuwa utakuwa ni wizi wa waziwazi kabisa, kwa pesa za walipa kodi wa nchi hii, ambao ni wanachama wa vyama vingine.

Japo hilo ni jukumu la Bunge letu, kukemea vikali uvunjifu huo wa waziwazi wa Katiba yetu, lakini kwa namna ya Bunge letu namna lilivyowaingiza wabunge hao kwa njia "haramu" Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, sitegemei hilo litokee.

Hivyo basi kama Waziri huyo wa Sanaa na Michezo atakaidi na kuendelea na bajeti yake na wabunge wa Bunge la Jamhuri, wakaunga mkono ubadhirifu huo mkubwa wa pesa ya Umma, basi wategemee kuwa watanzania tutazipaza sauti zetu bila kuchoka, Ili watanzania waweze kuiondoa madarakani, Serikali hii ya CCM, ambao ni mabingwa wa kuivunja Katiba ya nchi yetu
Kwani Tanzania kuna Bunge? Tuanzie hapo
 
Tulimsikia Waziri wa Sanaa na Michezo wa nchi hii, Mohamed Mchengerwa, Katika kusoma bajeti yake ya mwaka huu, kuwa analiomba Bunge hilo liweze kuidhinisha zaidi ya shilingi bilioni 10, kwa ajili ya kuvikarabati viwanja hivyo vya CCM, ambavyo alidai kuwa vipo Katika Hali mbaya

Ikumbukwe kuwa nchi hii ipo kwenye mfumo wa vyama vingi, kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara 3(1)

Sasa inashangaza kwa chama kimoja cha siasa, kuliomba Bunge, kuidhinisha pesa, eti kwa ajili ya kuvikarabati viwanja vyake!

Hiyo ni uvunjaji wa waziwazi wa Katiba ya nchi yetu, kwa hiyo tunamuimba Waziri wa Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa, aondoe mara moja hilo ombi lake, kwa kuwa utakuwa ni wizi wa waziwazi kabisa, kwa pesa za walipa kodi wa nchi hii, ambao ni wanachama wa vyama vingine.

Japo hilo ni jukumu la Bunge letu, kukemea vikali uvunjifu huo wa waziwazi wa Katiba yetu, lakini kwa namna ya Bunge letu namna lilivyowaingiza wabunge hao kwa njia "haramu" Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, sitegemei hilo litokee.

Hivyo basi kama Waziri huyo wa Sanaa na Michezo atakaidi na kuendelea na bajeti yake na wabunge wa Bunge la Jamhuri, wakaunga mkono ubadhirifu huo mkubwa wa pesa ya Umma, basi wategemee kuwa watanzania tutazipaza sauti zetu bila kuchoka, Ili watanzania waweze kuiondoa madarakani, Serikali hii ya CCM, ambao ni mabingwa wa kuivunja Katiba ya nchi yetu
NI AIBU KWA BUNGE NA SERIKALI KWANZA CCM HAINA VIWANJA WALA HAIJAWAHI KUJENGA VIWANJA VIWANJA NI VYA SERIKALI VILIJENGWA NA WANANCHI KWA USIMAMIZI WA SERIKALI KWA KUCHANGIA MIFUGO MAZAO NA PESA
LEO IWEJE SEIKALI IVIKARABATI VIWANJA VYA CHAMA KWA KODI ZA WANANCHI?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
NI AIBU KWA BUNGE NA SERIKALI KWANZA CCM HAINA VIWANJA WALA HAIJAWAHI KUJENGA VIWANJA VIWANJA NI VYA SERIKALI VILIJENGWA NA WANANCHI KWA USIMAMIZI WA SERIKALI KWA KUCHANGIA MIFUGO MAZAO NA PESA
LEO IWEJE SEIKALI IVIKARABATI VIWANJA VYA CHAMA KWA KODI ZA WANANCHI?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Wale wanapora tu hakuna namna
 
Back
Top Bottom