Bunge liazimie Bwawa la JNHPP libadiilishwe jina liitwe Magufuli hydro project power. Marais wote walishindwa aliweza JPM pekee

Bunge liazimie Bwawa la JNHPP libadiilishwe jina liitwe Magufuli hydro project power. Marais wote walishindwa aliweza JPM pekee

Jambo jema naunga mkono hoja,ila
Hayati Julius alijikita zaidi kuwakomboa Wazimbabwe na Waafrika kusini akasahau kujenga nchi yake.

Hayati Mwinyi akaruhusu ufisadi na kila namna ya upigaji.

Mkapa akajitahidi kidogo kukusanya mapato ila kukawa na upigaji.

Kikwete awamu yake ikajaa upigaji tu na uswahili.

Hayati Magufuli akadhibiti ufisadi, uonevu na uzembe. Akapiga kazi na kila mtu akakubali. Inabidi aenziwe kwa heshima.View attachment 3019167
Watanganyika hatutaki majina ya viongozi kwenye miradi tunachohitaji ni tija na ufanisi wa miradi hiyo sawa sawa na malengo yake.
 
Magufuli- the axis of evil:
-Aliasisi 'wasiojulikana', maiti zikawa zinaokotwa kwenye fukwe, kukawa na utekaji/watu kupotea ovyo.
-Kwa mara ya kwanza baada ya uhuru baadhi ya watanzania wakawa wakimbizi wa kisiasa.
-Kwa mara ya kwanza mbunge (aliyekuwa mkosoaji mkubwa wa magufuli) akapigwa risasi ktk makazi rasmi ya viongozi wakuu wa serikali. Alizuia uchunguzi wa tulip hilo usifanywe.
-Aliharibu uhusiano na mataifa mengine - eg kuchoma vifaranga toka Kenya. (hapa pia alidhihirisha ukatili wake).
-Aliwalinda viongozi watenda maovu- ref: sabaya,makonda etc.
-Alidumaza demokrasia, uhuru wa habari na wa mtu binafsi.
-etc etc.
Weee ni nnyaa!
 
Hayati Julius alijikita zaidi kuwakomboa Wazimbabwe na Waafrika kusini akasahau kujenga nchi yake.

Hayati Mwinyi akaruhusu ufisadi na kila namna ya upigaji.

Mkapa akajitahidi kidogo kukusanya mapato ila kukawa na upigaji.

Kikwete awamu yake ikajaa upigaji tu na uswahili.

Hayati Magufuli akadhibiti ufisadi, uonevu na uzembe. Akapiga kazi na kila mtu akakubali. Inabidi aenziwe kwa heshima.View attachment 3019167
Haitaondoa hata nukta ya uovu wake.
 
Hayati Julius alijikita zaidi kuwakomboa Wazimbabwe na Waafrika kusini akasahau kujenga nchi yake.

Hayati Mwinyi akaruhusu ufisadi na kila namna ya upigaji.

Mkapa akajitahidi kidogo kukusanya mapato ila kukawa na upigaji.

Kikwete awamu yake ikajaa upigaji tu na uswahili.

Hayati Magufuli akadhibiti ufisadi, uonevu na uzembe. Akapiga kazi na kila mtu akakubali. Inabidi aenziwe kwa heshima.View attachment 3019167
Achana na unafiki.

Mbona hujaorodhesha na maovu yake ambayo yalivunja rekodi ya nchi?
 
Hayati Julius alijikita zaidi kuwakomboa Wazimbabwe na Waafrika kusini akasahau kujenga nchi yake.

Hayati Mwinyi akaruhusu ufisadi na kila namna ya upigaji.

Mkapa akajitahidi kidogo kukusanya mapato ila kukawa na upigaji.

Kikwete awamu yake ikajaa upigaji tu na uswahili.

Hayati Magufuli akadhibiti ufisadi, uonevu na uzembe. Akapiga kazi na kila mtu akakubali. Inabidi aenziwe kwa heshima.View attachment 3019167
Magufuli mwenyewe ndiye alipendekeza jina hilo wewe ni nani kupingana na marehemu?
 
Kwani hilo jina la sasa sio la marehemu?

Nadhani mchangiaji, hoja yake siyo kuitwa jina la marehemu, bali kiimani, ni yale mambo yanayoweza kuambatana na baraka au laana ya hilo jina. Hiyo ndiyo sababu za kiimani, kwa nini watu wanaobatizwa au kuslim hupewa majina mengine, na majina hayo huwa ya watu wema, huku kukiwa na imani kuwa unaweza kubarikiwa kwa fadhila zile ambazo mwenye jina hilo alikuwa nazo. Japo mara kadhaa tumeshuhudia watu wenye majina ya watu wema sana, wakiwa na matendo mabaya sana.

Imani hiyo ndiyo sababu mojawapo ya kutowasikia watu wenye majina ya watu ambao walikuwa waovu kupindukia. Umewahi kumsikia mtu akiitwa Hitler au Stallin?
 
Vijana hata hawajui historia ya nchi yao. Hajui kuna umeme wa Maji wa kidatu. Hajui kuna bwawa la Maji ya umeme kule Dodoma la Mtera. Yote hayo alijenga Nyerere.

Vijana hawajui kuna miradi mingine midogo midogo alijenga Nyerere miaka hiyo wakati hata teknolojia ipo chini.
 
Hayati Julius alijikita zaidi kuwakomboa Wazimbabwe na Waafrika kusini akasahau kujenga nchi yake.

Hayati Mwinyi akaruhusu ufisadi na kila namna ya upigaji.

Mkapa akajitahidi kidogo kukusanya mapato ila kukawa na upigaji.

Kikwete awamu yake ikajaa upigaji tu na uswahili.

Hayati Magufuli akadhibiti ufisadi, uonevu na uzembe. Akapiga kazi na kila mtu akakubali. Inabidi aenziwe kwa heshima.View attachment 3019167
Naunga hoja
Hii Hata NYERERE MWENYEWE alinyoosha mikono
 
Back
Top Bottom