Bunge liazimie Bwawa la JNHPP libadiilishwe jina liitwe Magufuli hydro project power. Marais wote walishindwa aliweza JPM pekee

Bunge liazimie Bwawa la JNHPP libadiilishwe jina liitwe Magufuli hydro project power. Marais wote walishindwa aliweza JPM pekee

Hayati Julius alijikita zaidi kuwakomboa Wazimbabwe na Waafrika kusini akasahau kujenga nchi yake.

Hayati Mwinyi akaruhusu ufisadi na kila namna ya upigaji.

Mkapa akajitahidi kidogo kukusanya mapato ila kukawa na upigaji.

Kikwete awamu yake ikajaa upigaji tu na uswahili.

Hayati Magufuli akadhibiti ufisadi, uonevu na uzembe. Akapiga kazi na kila mtu akakubali. Inabidi aenziwe kwa heshima.View attachment 3019167
Kwa hiyo yeye mwenyewe Magufuli aliyeamua paitwe Julius alikuwa hana akili sio? Watu wengine bana hii nchi ina mambo mengi sana ya kujadili ili tutatue ugumu wa maisha halafu anatokea mtu ana akili inawaza kubadili majina ya projects tu na anaona ndio ana mchango wake kwa taifa hili.
 
Yaani litutese jitu lilojifia kizembe namna ile. Sema sie kwetu sherehe haziishi kila tukikumbuka jitu lilotutesa ss hv na lenyewe linakiona cha moto!
Mateso wanayo wafuasi wa lile shetani lenu la Chattle kila wanapolikumbuka na kutamani kama lirudi duniani jambo ambalo halitokaa litokee kamwe
Ni mtu mjinga anayeweza kusema kusema alikufa kizembe hakuna kufa kizembe. Siku yako ikifika unaondoka chap tu.Sema uzuri aliondoka kwa sala.aliwatesa wenye vyefi feki,mafisadi na wanasiasa uchwara alitumwa kurekebisha nchi kutoka kwa watu wa ovyo na bado mwingine atakuja tena.
 
Hayati Julius alijikita zaidi kuwakomboa Wazimbabwe na Waafrika kusini akasahau kujenga nchi yake.

Hayati Mwinyi akaruhusu ufisadi na kila namna ya upigaji.

Mkapa akajitahidi kidogo kukusanya mapato ila kukawa na upigaji.

Kikwete awamu yake ikajaa upigaji tu na uswahili.

Hayati Magufuli akadhibiti ufisadi, uonevu na uzembe. Akapiga kazi na kila mtu akakubali. Inabidi aenziwe kwa heshima.View attachment 3019167
Kwanini wewe usibadilishe jina uitwe magufuli. Usipende kudandia majina ya wanaume wenzako
 
Election 2020? Bado una machungu?
Uzuri alilipwa sawasaw na matendo yake. Kaiba uchaguzi hakumaliza hata miezi mitatu akafa kwa aibu. Jitu Kinga Sana, linaharibu uchaguzi likitegemea kuonglza milele kumbe linakufa kesho yake. Very stupid
 
Naunga hoja
Hii Hata NYERERE MWENYEWE alinyoosha mikono
Acha upotoshaji, Nyerere ndio mwasisi wa RUBADA mradi uliopelekea kujengwa Hilo bwawa. Kumbuka ramani ya Hilo bwawa ilichorwa 1970s. Mwanzilishi ni Nyerere ndio maana kapewa jina la bwawa.
 
Usichangie jambo kama hujatafakari kwa kina au kama huna uwezo wa hoja maana unajiaibisha.

Hivi wewe ulisoma historia japo ya primary school kweli?

Wengi tunakubali kuwa Bwawa la Rufiji ni kazi ya Magufuli na bila yeye pengine lisingejengwa ka.mwe; lakini hiyo siyo sababu ya kufanya uone marais wengine hawajafanya kitu.

Huyo Nyerere unayemkashifu ndiye aliyeleta uhuru huu ambao babu yako aliogopa kushiriki harakati za kuudai. Nyerere alipokea nchi imiwa haina chuo kikuu, madaktari viwanda. Nyerere akajenga vyuo vikuu , taasisi za elimu ya juu viwanda mama kqdhaa reli ya tazara barabara na madaraja , akatoa elimu bure kuanzia msingi mpaka university na posho kwa wanafunzi wa vyuo na kuwalipia nauli za kwenda na kurudi shuleni na vyuoni, yote hayo aliyafanya bila kuchimba madini alitegemea kuuza mazao tu madini akasema ngoja kwanza watanganyika wasome waje wasimamie vizuri. Pia Nyerere ndiye alijenga mabwawa ga kufua umeme ya Kidatu, mtera
Hale, nyumba ya mungu. Pia Kihansi

Pia marais wengine waliofuatab kuna mambo mengi walifanya japo kosa lao kubwa ni kuruhusu na kusimika ufisadi Tanganyika.

Nb: marais hawawezi kuwa na vipaumbele vya aina moja.
Kweli kabisa.
 
Wajinga wenye vyeti feki na mafisadi na wala Rushwa Rais mwenye akili lazima awatese tu.
Kubalini huyo Iddi Amin wenu alikuwa katili, msijifiche kwenye vyeti feli wakati yeye mwwnyewe alighushi PhD.
 
Bro wewe nakukumbuka ndie ulikua unapigania Kikokotoo kipya cha 33%
Una roho mbaya nadhani ukoo wako wote hakuna mtu alie wahi kuwa Daktari, Nurse, Muhasibu, Engineer zaidi ya Wachawi..
Tumwache Mama bado unaupiga mwingi!!!
Amejitahidi sana!!!
 
Watu mnamkubali Nyerere kama Aliwaolea mabikra vile kumbe hamna kitu pale. Alitumia akili gani kuziunganisha Tanganyika na Zanzibar afu ikaitwa Tanzania ilihali kila sehemu kuna rais wake mwenye mamlaka yake na mipaka yake
Wewe mwenye akili nyingi umefanya Nini zaidi ya kujificha JF na ID ya uongo. Unadhani kuanzisha muungano ni kazi ndogo?. Punguza dharau kwa vitu usivyovijua na kuviweza.
 
Watu mnamkubali Nyerere kama Aliwaolea mabikra vile kumbe hamna kitu pale. Alitumia akili gani kuziunganisha Tanganyika na Zanzibar afu ikaitwa Tanzania ilihali kila sehemu kuna rais wake mwenye mamlaka yake na mipaka yake
Wewe mwenye akili nyingi umefanya Nini zaidi ya kujificha JF na ID ya uongo. Unadhani kuanzisha muungano ni kazi ndogo?. Punguza dharau kwa vitu usivyovijua na kuvi
 
Samia ametoa Freedom of speech & Assembly
1. Watu wanaongea mpaka kuvuka mipaka
2. Wapinzani wamekua huru hata sasa hivi wapo huko vijijini
3. Report za Fedha za Mkaguzi Mkuu wa Serikali ( CAG) zipo wazi .. watu wanakosoa
4. Miradi ya kimkakati mfano Bwawa la Umeme, SGR imefikia 90%
5. Wafadhili wamerudisha imani yao.. uchumi katika sekta binafsi umechangsmshwa zikiwemo NGOs
6. Social services ikiwemo elimu, Afya, Maji zimeendelea kuimarishwa hasa maeneo ya Vijijini..
7. Angalia Ajila zilizotolewa kwa kipindi kifupi hasa sekta za Afya na Elimu
 
Ni mtu mjinga anayeweza kusema kusema alikufa kizembe hakuna kufa kizembe. Siku yako ikifika unaondoka chap tu.Sema uzuri aliondoka kwa sala.aliwatesa wenye vyefi feki,mafisadi na wanasiasa uchwara alitumwa kurekebisha nchi kutoka kwa watu wa ovyo na bado mwingine atakuja tena.
Lol kile ni kifo cha kizembe kabisa!
Kafa kifala mno..
 
Hayati Julius alijikita zaidi kuwakomboa Wazimbabwe na Waafrika kusini akasahau kujenga nchi yake.

Hayati Mwinyi akaruhusu ufisadi na kila namna ya upigaji.

Mkapa akajitahidi kidogo kukusanya mapato ila kukawa na upigaji.

Kikwete awamu yake ikajaa upigaji tu na uswahili.

Hayati Magufuli akadhibiti ufisadi, uonevu na uzembe. Akapiga kazi na kila mtu akakubali. Inabidi aenziwe kwa heshima.View attachment 3019167
Pumbavu!
 
Back
Top Bottom