Bunge liazimie Bwawa la JNHPP libadiilishwe jina liitwe Magufuli hydro project power. Marais wote walishindwa aliweza JPM pekee

Comments reserved
 
Huo ni uchochezi ndugu😅
 
Nonsense!.
 
Nonsense😎!
 
Usichangie jambo kama hujatafakari kwa kina au kama huna uwezo wa hoja maana unajiaibisha.

Hivi wewe ulisoma historia japo ya primary school kweli?

Wengi tunakubali kuwa Bwawa la Rufiji ni kazi ya Magufuli na bila yeye pengine lisingejengwa ka.mwe; lakini hiyo siyo sababu ya kufanya uone marais wengine hawajafanya kitu.

Huyo Nyerere unayemkashifu ndiye aliyeleta uhuru huu ambao babu yako aliogopa kushiriki harakati za kuudai. Nyerere alipokea nchi imiwa haina chuo kikuu, madaktari viwanda. Nyerere akajenga vyuo vikuu , taasisi za elimu ya juu viwanda mama kqdhaa reli ya tazara barabara na madaraja , akatoa elimu bure kuanzia msingi mpaka university na posho kwa wanafunzi wa vyuo na kuwalipia nauli za kwenda na kurudi shuleni na vyuoni, yote hayo aliyafanya bila kuchimba madini alitegemea kuuza mazao tu madini akasema ngoja kwanza watanganyika wasome waje wasimamie vizuri. Pia Nyerere ndiye alijenga mabwawa ga kufua umeme ya Kidatu, mtera
Hale, nyumba ya mungu. Pia Kihansi

Pia marais wengine waliofuatab kuna mambo mengi walifanya japo kosa lao kubwa ni kuruhusu na kusimika ufisadi Tanganyika.

Nb: marais hawawezi kuwa na vipaumbele vya aina moja.
 
Kwa taarifa CHATO AIRPORT imebadilishwa jina inaitwa GEITA AIRPORT.
 
Mawazo ya kipumbavu kutoka kwa mpumbavu. Zile ni kodi za Watanzania, kwa nini tuite jina la Marehemu Dikteta aliyeacha kumbukumbu za kumwaga damu na kukandamiza demokrasia?

Natamani hata pale wanapiita Mfugale flyover tupaite Tazara flyover na pale Kijazi tupaite Ubungo flyover. Hii mijina inahusika ba uhujumu uchumi wetu
 

Nenda kawashe umeme sasa, kapande SGR, au ndege za ATCL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…