Bunge liazimie Bwawa la JNHPP libadiilishwe jina liitwe Magufuli hydro project power. Marais wote walishindwa aliweza JPM pekee

Bunge liazimie Bwawa la JNHPP libadiilishwe jina liitwe Magufuli hydro project power. Marais wote walishindwa aliweza JPM pekee

Subiri angalau miaka 10 ipite ukweli udhihiri kuhusu huo mradi na legacy kamili ya JPM. Majina ya monuments za nchi hayatolewi kirahisi rahisi tu.

Awamu iliyopita ilikuwa ya kushangaza. Majina ya watendaji wa serikali bila legacy yoyote kitaifa tena mmoja akiwa hai yalibandikwa tu kwa uamuzi chap chap wa Rais!??
 
Hayati Julius alijikita zaidi kuwakomboa Wazimbabwe na Waafrika kusini akasahau kujenga nchi yake.

Hayati Mwinyi akaruhusu ufisadi na kila namna ya upigaji.

Mkapa akajitahidi kidogo kukusanya mapato ila kukawa na upigaji.

Kikwete awamu yake ikajaa upigaji tu na uswahili.

Hayati Magufuli akadhibiti ufisadi, uonevu na uzembe. Akapiga kazi na kila mtu akakubali. Inabidi aenziwe kwa heshima.View attachment 3019167
Alikuwa wapi kuita jina lake alipoanzisha ujenzi?
 
Unayajua madhara ya kurithi majina ya marehemu?
Ndugu, wewe jina lako halisi halija wahi kutumiwa na Marehemu kokote duniani? Jibu sote tunalijua ni kuwa hata wewe umerithi jina la Marehemu somebody, somewhere hapa duniani. Mbona unaishi salama tu na mambo ya naenda? Hizo dhana ni potofu na hazina msingi . Manchester United wanaojiita shetani wekundu, mbona mambo yanawanyokea tu. Sasa hivi wana miaka 100+ labda utasema walipata ajali ya ndege. Ahaa haaaah, lakini hawakufa wote. Acha imani potofu karne ya 21 hii.
 
Hayati Julius alijikita zaidi kuwakomboa Wazimbabwe na Waafrika kusini akasahau kujenga nchi yake.

Hayati Mwinyi akaruhusu ufisadi na kila namna ya upigaji.

Mkapa akajitahidi kidogo kukusanya mapato ila kukawa na upigaji.

Kikwete awamu yake ikajaa upigaji tu na uswahili.

Hayati Magufuli akadhibiti ufisadi, uonevu na uzembe. Akapiga kazi na kila mtu akakubali. Inabidi aenziwe kwa heshima.View attachment 3019167
Ni rahisi sn kulifuata liliko hilo shetani lenu la Chattle kuliko kudhani ipo siku litarudi duniani kuendela kututesa
 
Kuna project inaitwa RUBADA (Rufiji Basin Development Authority) ilianzishwa 1975 na Nyerere ililenga uanzishwaji wa;
●HEP (Hydro Electric Power)
●Kilimo
●Forestry
●Industrial developmemt
●Tourism
●Navigation

Kilichofanyika so far kikubwa ni HEP ujenzi wa bwawa la Rufiji angalau likaitwa kwa jina lake kumuenzi Mwalimu kwa maono yake
🙋‍♂️📝✍️👍👌👏👊🤝🙏
 
Ni rahisi sn kulifuata liliko hilo shetani lenu la Chattle kuliko kudhani ipo siku litarudi duniani kuendela kututesa
Wajinga wenye vyeti feki na mafisadi na wala Rushwa Rais mwenye akili lazima awatese tu.
 
Wajinga wenye vyeti feki na mafisadi na wala Rushwa Rais mwenye akili lazima awatese tu.
Yaani litutese jitu lilojifia kizembe namna ile. Sema sie kwetu sherehe haziishi kila tukikumbuka jitu lilotutesa ss hv na lenyewe linakiona cha moto!
Mateso wanayo wafuasi wa lile shetani lenu la Chattle kila wanapolikumbuka na kutamani kama lirudi duniani jambo ambalo halitokaa litokee kamwe
 
Watu mnamkubali Nyerere kama Aliwaolea mabikra vile kumbe hamna kitu pale. Alitumia akili gani kuziunganisha Tanganyika na Zanzibar afu ikaitwa Tanzania ilihali kila sehemu kuna rais wake mwenye mamlaka yake na mipaka yake
 
Back
Top Bottom