Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Ukitaka kuanza kufukua watu wenye vyeti feki, utasababisha Boss wako Daudi Albert Bashite aka DAB aende kujificha Kijiji cha Koromije, pasipo kupenda.Misemo ya vyeti feki hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kuanza kufukua watu wenye vyeti feki, utasababisha Boss wako Daudi Albert Bashite aka DAB aende kujificha Kijiji cha Koromije, pasipo kupenda.Misemo ya vyeti feki hii.
Alikuwa wapi kuita jina lake alipoanzisha ujenzi?Hayati Julius alijikita zaidi kuwakomboa Wazimbabwe na Waafrika kusini akasahau kujenga nchi yake.
Hayati Mwinyi akaruhusu ufisadi na kila namna ya upigaji.
Mkapa akajitahidi kidogo kukusanya mapato ila kukawa na upigaji.
Kikwete awamu yake ikajaa upigaji tu na uswahili.
Hayati Magufuli akadhibiti ufisadi, uonevu na uzembe. Akapiga kazi na kila mtu akakubali. Inabidi aenziwe kwa heshima.View attachment 3019167
Ndugu, wewe jina lako halisi halija wahi kutumiwa na Marehemu kokote duniani? Jibu sote tunalijua ni kuwa hata wewe umerithi jina la Marehemu somebody, somewhere hapa duniani. Mbona unaishi salama tu na mambo ya naenda? Hizo dhana ni potofu na hazina msingi . Manchester United wanaojiita shetani wekundu, mbona mambo yanawanyokea tu. Sasa hivi wana miaka 100+ labda utasema walipata ajali ya ndege. Ahaa haaaah, lakini hawakufa wote. Acha imani potofu karne ya 21 hii.Unayajua madhara ya kurithi majina ya marehemu?
We kidampa wa Sugu punguza ujingaMkuu vitabu vyote vya Mungu vimekataza kutumia majina ya mizimu
HayaWe kidampa wa Sugu punguza ujinga
Ninayo haki, miradi yote hii imetekelezwa kwa fedha za walipakodi, mimi nikiwapo.Nenda kawashe umeme sasa, kapande SGR, au ndege za ATCL
Ni rahisi sn kulifuata liliko hilo shetani lenu la Chattle kuliko kudhani ipo siku litarudi duniani kuendela kututesaHayati Julius alijikita zaidi kuwakomboa Wazimbabwe na Waafrika kusini akasahau kujenga nchi yake.
Hayati Mwinyi akaruhusu ufisadi na kila namna ya upigaji.
Mkapa akajitahidi kidogo kukusanya mapato ila kukawa na upigaji.
Kikwete awamu yake ikajaa upigaji tu na uswahili.
Hayati Magufuli akadhibiti ufisadi, uonevu na uzembe. Akapiga kazi na kila mtu akakubali. Inabidi aenziwe kwa heshima.View attachment 3019167
🤣 🤣 🤣Unayajua madhara ya kurithi majina ya marehemu?
🙋♂️📝✍️👍👌👏👊🤝🙏Kuna project inaitwa RUBADA (Rufiji Basin Development Authority) ilianzishwa 1975 na Nyerere ililenga uanzishwaji wa;
●HEP (Hydro Electric Power)
●Kilimo
●Forestry
●Industrial developmemt
●Tourism
●Navigation
Kilichofanyika so far kikubwa ni HEP ujenzi wa bwawa la Rufiji angalau likaitwa kwa jina lake kumuenzi Mwalimu kwa maono yake
Wajinga wenye vyeti feki na mafisadi na wala Rushwa Rais mwenye akili lazima awatese tu.Ni rahisi sn kulifuata liliko hilo shetani lenu la Chattle kuliko kudhani ipo siku litarudi duniani kuendela kututesa
Kwa mabaya yake ambayo ni mengi na makubwa kuliko mazuri yakeMagufuli hata asipo andikwa ataendelea kuzungumza mioyoni mwenu.
Yaani litutese jitu lilojifia kizembe namna ile. Sema sie kwetu sherehe haziishi kila tukikumbuka jitu lilotutesa ss hv na lenyewe linakiona cha moto!Wajinga wenye vyeti feki na mafisadi na wala Rushwa Rais mwenye akili lazima awatese tu.
Uovu wake hauna kifaniKwa mabaya yake ambayo ni mengi na makubwa kuliko mazuri yake
Sasa huyo Rais yuko wapi!Wajinga wenye vyeti feki na mafisadi na wala Rushwa Rais mwenye akili lazima awatese tu.