Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hawapo ajili ya maslahi mapana ya nchi wapo hapo kulinda maslahi yao binafsiHili dubwana ni la Rais, nguvu aliyonayo kichama na kimamlaka ndiyo inapelekea walio chini kumtetema mda wote.