MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
CCM wameamua kuuza kila kitu kabla hawajatoka madarakani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewaza kama mimi.Hivi Hawa wahuni wanajikuta kina Nani labda? Hivi JW nao wanapitia nyuzi Kama hizi?[emoji3525]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kama hizi sheria haziruhusu Bandari kupata mwekezaji Zina Msaada gani Sasa kama zinakumbatia ujinga?Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia.
Lengo la kuitisha maoni kwa ajili ya muswada huo ni kutaka kuzibadili sheria zetu za nchi ziendane na matakwa ya Mkataba wa Bandari na Waarabu wanavyotaka. Hivi tunaelekea wapi?
View attachment 2712000View attachment 2712001
Hapa wanabadili sdheria kuruhusu Mwarabu kumilikishwa bandari.Kama hizi sheria haziruhusu Bandari kupata mwekezaji Zina Msaada gani Sasa kama zinakumbatia ujinga?
Wakati wanazitunga hawakuyajua haya?
FAKE NEWS, ipo haja ya serikali kushughulika na wazushi wa mitandaoni wanachelewesha maendeleo na wanaleta taharuki isiyo na sababu.Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia.
Lengo la kuitisha maoni kwa ajili ya muswada huo ni kutaka kuzibadili sheria zetu za nchi ziendane na matakwa ya Mkataba wa Bandari na Waarabu wanavyotaka. Hivi tunaelekea wapi?
View attachment 2712000View attachment 2712001
Kama Sheria ni kikwazo Kwa Mwarabu kumimina mapesa Nchini zifutwe haraka sana.
Hapakua na sababu ya muendelezo ya huu mkakati wa kuipa dubai bandari zetu. Sisi tunajua sheria ilivunjwa kusaini waziri mbarawa ule mkataba kisha bunge kuridhia kinyume na sheria. Kutaka kubadili sheria ni kuonyesha jinsi nchi sasa ina fisafi wajasiri. Watu wako tayari kuuza nchi kwa fedha.Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia.
Lengo la kuitisha maoni kwa ajili ya muswada huo ni kutaka kuzibadili sheria zetu za nchi ziendane na matakwa ya Mkataba wa Bandari na Waarabu wanavyotaka. Hivi tunaelekea wapi?
View attachment 2712000View attachment 2712001
Una uhakika?Ndugai pamoja na ujinga wake lakini asingeruhusu huu upumbavu
[emoji23]Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia.
Lengo la kuitisha maoni kwa ajili ya muswada huo ni kutaka kuzibadili sheria zetu za nchi ziendane na matakwa ya Mkataba wa Bandari na Waarabu wanavyotaka. Hivi tunaelekea wapi?
View attachment 2712000View attachment 2712001
sheria mahususi ya kupindisha sheria ya utunzaji wa rasilimali za tanzania ili kuipa nafasi mkataba wa dpw kushitakiwa nje ya nchi hiyo, haya bandari imeenda na sheria ya kubariki kuondoka kwa bandari hiyooo,Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia.
Lengo la kuitisha maoni kwa ajili ya muswada huo ni kutaka kuzibadili sheria zetu za nchi ziendane na matakwa ya Mkataba wa Bandari na Waarabu wanavyotaka. Hivi tunaelekea wapi?
View attachment 2712000View attachment 2712001
Nashindwa kuwaelewa ambao huwa wanaamini CCM kuanguka kwa kupitia kura za box,Ni ukweli kwamba wananchi kwa asilimia kubwa washaichoka CCM Lakini kutokana na historia ya mfumo wa nchi yetu hakuna Rais atakayekuwa madarakani akakubali CCM idondoke na akiwa upande wa pili ni M/kiti wa CCM kisiasa na vyombo vyote vipo tayari kutii agizo la mwenye nchi yaani Rais, Tanzania wananchi hawachagui Rais wa nchi hili swala watu ni Kama hawalijui ndo Mana zitto aliamua kuchagua kuwa CCM aliyejificha upinzani.Chadema imeingiaje humo, na ishu ya kufukuza wabunge imetoka wapi?
Nyie badilisheni tuBunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia.
Lengo la kuitisha maoni kwa ajili ya muswada huo ni kutaka kuzibadili sheria zetu za nchi ziendane na matakwa ya Mkataba wa Bandari na Waarabu wanavyotaka. Hivi tunaelekea wapi?
View attachment 2712000View attachment 2712001
Jeshi lote unalolijua na vyombo vinginevyo vya usalama vinatii amri ya Mkuu wa majeshi na pia ni makada wa CCM wote kwa mfumo wa nchi ulivyoongozwa na CCM toka itawale,hivyo sahauni Tanzania kutokea mapinduzi ya kijeshi hata mbingu inapinduka.Mambo ya hovyo yanayofanyika kwenye awamu hii,Inafika muda unatamani yanayotokea niger yatokee na hapa kwetu ili kuwadhibiti hawa mchwa.
Kwani hujui Tanzania inavyotawaliwa na CCM.Rostam alikuwa sawa. Mahakama ilishapigiwa simu kusitisha uamuzi wa kesi iliyojiri huko.
Nashindwa kuwaelewa ambao huwa wanaamini CCM kuanguka kwa kupitia kura za box,Ni ukweli kwamba wananchi kwa asilimia kubwa washaichoka CCM Lakini kutokana na historia ya mfumo wa nchi yetu hakuna Rais atakayekuwa madarakani akakubali CCM idondoke na akiwa upande wa pili ni M/kiti wa CCM kisiasa na vyombo vyote vipo tayari kutii agizo la mwenye nchi yaani Rais, Tanzania wananchi hawachagui Rais wa nchi hili swala watu ni Kama hawalijui ndo Mana zitto aliamua kuchagua kuwa CCM aliyejificha upinzani.Hivi ukiwa CCM akili zinaondoka kabisa?
Nashindwa kuwaelewa ambao huwa wanaamini CCM kuanguka kwa kupitia kura za box,Ni ukweli kwamba wananchi kwa asilimia kubwa washaichoka CCM Lakini kutokana na historia ya mfumo wa nchi yetu hakuna Rais atakayekuwa madarakani akakubali CCM idondoke na akiwa upande wa pili ni M/kiti wa CCM kisiasa na vyombo vyote vipo tayari kutii agizo la mwenye nchi yaani Rais, Tanzania wananchi hawachagui Rais wa nchi hili swala watu ni Kama hawalijui ndo Mana zitto aliamua kuchagua kuwa CCM aliyejificha upinzani.Bi.Ushungi kadhamiria kugawa nchi kwa wajomba zake