Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia

Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia

Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia.

Lengo la kuitisha maoni kwa ajili ya muswada huo ni kutaka kuzibadili sheria zetu za nchi ziendane na matakwa ya Mkataba wa Bandari na Waarabu wanavyotaka. Hivi tunaelekea wapi?

View attachment 2712000View attachment 2712001
Kama hizi sheria haziruhusu Bandari kupata mwekezaji Zina Msaada gani Sasa kama zinakumbatia ujinga?

Wakati wanazitunga hawakuyajua haya?
 
Kama hizi sheria haziruhusu Bandari kupata mwekezaji Zina Msaada gani Sasa kama zinakumbatia ujinga?

Wakati wanazitunga hawakuyajua haya?
Hapa wanabadili sdheria kuruhusu Mwarabu kumilikishwa bandari.

1691508724688.png
 
Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia.

Lengo la kuitisha maoni kwa ajili ya muswada huo ni kutaka kuzibadili sheria zetu za nchi ziendane na matakwa ya Mkataba wa Bandari na Waarabu wanavyotaka. Hivi tunaelekea wapi?

View attachment 2712000View attachment 2712001
FAKE NEWS, ipo haja ya serikali kushughulika na wazushi wa mitandaoni wanachelewesha maendeleo na wanaleta taharuki isiyo na sababu.
 
Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia.

Lengo la kuitisha maoni kwa ajili ya muswada huo ni kutaka kuzibadili sheria zetu za nchi ziendane na matakwa ya Mkataba wa Bandari na Waarabu wanavyotaka. Hivi tunaelekea wapi?

View attachment 2712000View attachment 2712001
Hapakua na sababu ya muendelezo ya huu mkakati wa kuipa dubai bandari zetu. Sisi tunajua sheria ilivunjwa kusaini waziri mbarawa ule mkataba kisha bunge kuridhia kinyume na sheria. Kutaka kubadili sheria ni kuonyesha jinsi nchi sasa ina fisafi wajasiri. Watu wako tayari kuuza nchi kwa fedha.
 
Maendeleo kwanza, hongereni bunge tukufu la jamhuri ya muungano wa Tanzania!!
 
Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia.

Lengo la kuitisha maoni kwa ajili ya muswada huo ni kutaka kuzibadili sheria zetu za nchi ziendane na matakwa ya Mkataba wa Bandari na Waarabu wanavyotaka. Hivi tunaelekea wapi?

View attachment 2712000View attachment 2712001
sheria mahususi ya kupindisha sheria ya utunzaji wa rasilimali za tanzania ili kuipa nafasi mkataba wa dpw kushitakiwa nje ya nchi hiyo, haya bandari imeenda na sheria ya kubariki kuondoka kwa bandari hiyooo,


mama anaupiga mwingi, twende tumechelewa mzanzibari,
 
Chadema imeingiaje humo, na ishu ya kufukuza wabunge imetoka wapi?
Nashindwa kuwaelewa ambao huwa wanaamini CCM kuanguka kwa kupitia kura za box,Ni ukweli kwamba wananchi kwa asilimia kubwa washaichoka CCM Lakini kutokana na historia ya mfumo wa nchi yetu hakuna Rais atakayekuwa madarakani akakubali CCM idondoke na akiwa upande wa pili ni M/kiti wa CCM kisiasa na vyombo vyote vipo tayari kutii agizo la mwenye nchi yaani Rais, Tanzania wananchi hawachagui Rais wa nchi hili swala watu ni Kama hawalijui ndo Mana zitto aliamua kuchagua kuwa CCM aliyejificha upinzani.
 
Mambo ya hovyo yanayofanyika kwenye awamu hii,Inafika muda unatamani yanayotokea niger yatokee na hapa kwetu ili kuwadhibiti hawa mchwa.
Jeshi lote unalolijua na vyombo vinginevyo vya usalama vinatii amri ya Mkuu wa majeshi na pia ni makada wa CCM wote kwa mfumo wa nchi ulivyoongozwa na CCM toka itawale,hivyo sahauni Tanzania kutokea mapinduzi ya kijeshi hata mbingu inapinduka.
 
Nashindwa kuwaelewa ambao huwa wanaamini CCM kuanguka kwa kupitia kura za box,Ni ukweli kwamba wananchi kwa asilimia kubwa washaichoka CCM Lakini kutokana na historia ya mfumo wa nchi yetu hakuna Rais atakayekuwa madarakani akakubali CCM idondoke na akiwa upande wa pili ni M/kiti wa CCM kisiasa na vyombo vyote vipo tayari kutii agizo la mwenye nchi yaani Rais, Tanzania wananchi hawachagui Rais wa nchi hili swala watu ni Kama hawalijui ndo Mana zitto aliamua kuchagua kuwa CCM aliyejificha upinzani.
 
Hivi ukiwa CCM akili zinaondoka kabisa?
Nashindwa kuwaelewa ambao huwa wanaamini CCM kuanguka kwa kupitia kura za box,Ni ukweli kwamba wananchi kwa asilimia kubwa washaichoka CCM Lakini kutokana na historia ya mfumo wa nchi yetu hakuna Rais atakayekuwa madarakani akakubali CCM idondoke na akiwa upande wa pili ni M/kiti wa CCM kisiasa na vyombo vyote vipo tayari kutii agizo la mwenye nchi yaani Rais, Tanzania wananchi hawachagui Rais wa nchi hili swala watu ni Kama hawalijui ndo Mana zitto aliamua kuchagua kuwa CCM aliyejificha upinzani.
 
Bi.Ushungi kadhamiria kugawa nchi kwa wajomba zake
Nashindwa kuwaelewa ambao huwa wanaamini CCM kuanguka kwa kupitia kura za box,Ni ukweli kwamba wananchi kwa asilimia kubwa washaichoka CCM Lakini kutokana na historia ya mfumo wa nchi yetu hakuna Rais atakayekuwa madarakani akakubali CCM idondoke na akiwa upande wa pili ni M/kiti wa CCM kisiasa na vyombo vyote vipo tayari kutii agizo la mwenye nchi yaani Rais, Tanzania wananchi hawachagui Rais wa nchi hili swala watu ni Kama hawalijui ndo Mana zitto aliamua kuchagua kuwa CCM aliyejificha upinzani.
 
Back
Top Bottom