Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia

Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia

Kwamba muswada huu kuletwa mjengoni,

Imethibitika kuwa Mkataba wa DP world ni MBOVU!!!

Asante 2023.
 
Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia.

Lengo la kuitisha maoni kwa ajili ya muswada huo ni kutaka kuzibadili sheria zetu za nchi ziendane na matakwa ya Mkataba wa Bandari na Waarabu wanavyotaka. Hivi tunaelekea wapi?

View attachment 2712000View attachment 2712001
Hiyo inamaanisha yale yote yaliyosambazwaa na maaskofu na mapadri ya bandari "kuuzwa" ni uongo mtupu.

Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.
 
Back
Top Bottom