Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia

Bunge limeitisha maoni ya wananchi kwenye muswada wa mabadiliko ya sheria za rasilimali asilia

Kumekucha kweli kweli. Ati maoni ya wananchi kukubali kutawaliwa!

Rushwa bado ni adui mkubwa sana hapa Tanzania, manake inakuwa vigumu kuelewa umalaya malaya wa aina hii, yani nchi hii inahitaji mapinduzi ya kweli na ya haraka! Kuna mambo hayakubaliki kabisaaa.
Niulize tu kama wengi waliouliza awali yangu mimi.

Tulipata Uhuru ili Tufanye haya madudu?

Tuchague kwa Umakini sana 2025.


CCM must Go!
Nashindwa kuwaelewa ambao huwa wanaamini CCM kuanguka kwa kupitia kura za box,Ni ukweli kwamba wananchi kwa asilimia kubwa washaichoka CCM Lakini kutokana na historia ya mfumo wa nchi yetu hakuna Rais atakayekuwa madarakani akakubali CCM idondoke na akiwa upande wa pili ni M/kiti wa CCM kisiasa na vyombo vyote vipo tayari kutii agizo la mwenye nchi yaani Rais, Tanzania wananchi hawachagui Rais wa nchi hili swala watu ni Kama hawalijui ndo Mana zitto aliamua kuchagua kuwa CCM aliyejificha upinzani.
 
Yaani wameweka ghorofa ya 5 ili sisi watembea kwa miguu tushindwe kufika ..

CCM tutaftieni mtu mzalendo 2025
Nashindwa kuwaelewa ambao huwa wanaamini CCM kuanguka kwa kupitia kura za box,Ni ukweli kwamba wananchi kwa asilimia kubwa washaichoka CCM Lakini kutokana na historia ya mfumo wa nchi yetu hakuna Rais atakayekuwa madarakani akakubali CCM idondoke na akiwa upande wa pili ni M/kiti wa CCM kisiasa na vyombo vyote vipo tayari kutii agizo la mwenye nchi yaani Rais, Tanzania wananchi hawachagui Rais wa nchi hili swala watu ni Kama hawalijui ndo Mana zitto aliamua kuchagua kuwa CCM aliyejificha upinzani. Mgombea ni Samia na atachukua fomu pekee yakee ndo utaratibu wa CCM kutompinga M/kiti wa chama
 
Nashindwa kuwaelewa ambao huwa wanaamini CCM kuanguka kwa kupitia kura za box,Ni ukweli kwamba wananchi kwa asilimia kubwa washaichoka CCM Lakini kutokana na historia ya mfumo wa nchi yetu hakuna Rais atakayekuwa madarakani akakubali CCM idondoke na akiwa upande wa pili ni M/kiti wa CCM kisiasa na vyombo vyote vipo tayari kutii agizo la mwenye nchi yaani Rais, Tanzania wananchi hawachagui Rais wa nchi hili swala watu ni Kama hawalijui ndo Mana zitto aliamua kuchagua kuwa CCM aliyejificha upinzani.
Huu mfumo wa ma Oligarch CCM ndio unaopaswa kuvunjwa. Huko ndipo ninapoita mapinduzi yatokee.....Kikwete aliweza! Na kwa mlolongo huo naamini wapo wenye uwezo huo ila tatizo ni aina ya Nguvu ambayo wataweza kutumia kufanya mabadiliko/mapinduzi hayo. Bado naamini wanaweza kuanguka kwenye sanduku la Kura. Ndani ya CCM na Nje ya CCM. Ni kuwa na Dhamira tu.

Its a zero sum game, mpasuko wa kinguvu ndani ya CCM ndio uliowapeleka wale wachache wenye nguvu ya madaraka, kujisimika na nguvu ya Kifedha. Huko kwa Mjomba ndipo kwenye fedha laini.... ilikuwa hakuna jinsi, tatizo, walikurupuka na sasa wamekupushwa, isitoshe ahadi ni deni, na nadhani washakula tende hizo na hakuna jinsi bali kuendelea na haya madudu.

Hatahivyo, kilicho kuwa ni kigumu kumeza, ni mahali ambapo wapo tayari kuvuka kwa mgongo wa Wananchi na Rasilimali zake. Hapo ndipo Hatari.
 
Kwani hao DP World hawawezi kupewa uendeshaji wa hizo bandari zetu bila kurekebisha hiyo sheria yetu ya ulinzi wa rasilimali asilia zetu? Mbona bunge lilisha ridhia tangia tarehe 10 June 2023 kwamba mkataba na DP World uendelee? Tatizo linatoka wapi? Sheria ya ulinzi wa maliasili asilia inataka tu kwamba mikataba ya aina hiyo yasifanyike kimya kimya kwa usiri bali yapelekwe kuridhiwa na bunge kama ambavyo bilateral na international agreements zingine zinavyopaswa kuridhiwa na bunge.

Hiyo dhana ya Hamza kwamba bandari siyo maliasili asilia bali ni maji tu ya bahari au ziwa ndiyo maliasili ni potofu sana. Bandari, fukwe na samaki ndiyo mazao ya hayo maji ya bahari na maziwa. Kwanza maji menyewe ya bahari hayafai hata kunywewa wala kuogwa kwani yana chumvi kibao. Ila chumvi yake inaweza vunwa ikatumika kwa mboga, ni zao pia la hayo maji.
 
Hili genge la hawa wevi wa kura, ingekuwa ni nchi wanazojitambua, hata huko mitaani wangecharazwa fimbo.
 
Yaani wameweka ghorofa ya 5 ili sisi watembea kwa miguu tushindwe kufika ..

CCM tutaftieni mtu mzalendo 2025
Kwani CCM Haina mbadala Hadi uiombe ikutafutie MZALENDO?
 
Upuuzi mtupu huu!
Kwani walipopitisha walipisha nini?
Hivi mbona hawa ccm wanatuona wapuuzi hivi?
Wanasheria wangetusaidia kuweka ZUIO mahakamani ili Bunge la ccm wazuiwe kupitisha mkataba wowote na badala yake mikataba yote iende TLS
 
Hapa wanabadili sdheria kuruhusu Mwarabu kumilikishwa bandari.

View attachment 2712077
Kwamba SHERIA zinazolinda umiliki wa maliasili na kulinda Nchi dhidi ya mikataba mibovu ZISITUMIKE kwenye miradi ya kuendelea Bandari!!

Utabiri juu ya 2023 wa TumainiEl ulitaja wazee kuja kuingilia kati kunusuru mgawanyiko naona ukienda kutimia!!!
 
Back
Top Bottom