Ndani ya miezi sita wabunge watatu wameshafariki lazima tuhoji kulikoni hata kama wengine tuliambiwa walipata ajali.
Kwani wabunge wakichukua tahadhari ya Corona watapungukiwa na nini?
Spika pale mbele anakaa peke yake (social distance) huku third class kwa akina Halima Mdee full kubanana na kupumuliana.
Uhai ni jambo binafsi mjue, shauri yenu.
Kazi Iendelee!
Kwani kuna mtu kawazuia kujikinga kama kuna tishio la kuhitaji kujikinga ndg! Mbona mnaongea saaaana😜! Hebu njoo huku kwenye usafiri wa mabasi na 55 uone tunavyosafiri kwa social proximity mpaka raha na maisha yanaendelea kwa aman kabisa!
Nyie waoga ndio mtakufa kwa uoga wenu! Sisi watz bado tunayaenzi maono ya JPM ya kumtanguliza aliye Mkuu kuliko covid-19 yenyewe.. Mungu Muumbaji anaeendelea kutulinda🙏 na kuilinda nchi yetu Tanzania!
Hivi huoni CCM sasa inaanza kupata sura ya Chama Cha siasa baada ya yule dhalim kuigeuza genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala? Uzuri umekiri kuwa CCM ilihitaji matengenezo.Ila huyo fundi mungu wako kashindwa kuitengeneza ccm, anakwama wapi?
Matengenezo yaliyokuwa yanahitajika kwa ccm tokea kabla hata Magufuli ni ilikuwa ni kuindoa madarakani maana ilishachokwa na kipindi chote mnasema ipo pale madarakani kwa sababu ya wizi wa kula na kutumia dola.Hivi huoni CCM sasa inaanza kupata sura ya Chama Cha siasa baada ya yule dhalim kuigeuza genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala? Uzuri umekiri kuwa CCM ilihitaji matengenezo.
Utazani we unavaaga.Ndani ya miezi sita wabunge watatu wameshafariki lazima tuhoji kulikoni hata kama wengine tuliambiwa walipata ajali.
Kwani wabunge wakichukua tahadhari ya Corona watapungukiwa na nini?
Spika pale mbele anakaa peke yake (social distance) huku third class kwa akina Halima Mdee full kubanana na kupumuliana.
Uhai ni jambo binafsi mjue, shauri yenu.
Kazi Iendelee!
kamati ilitoa summary tu pale, ukitaka kujua details kaombe ripoti yote usome.Ni uvivu wako tu wa kufikiri ndio ambao unakufanya usijusumbue kufikiri na kuishia kumuhusisha Jiwe kila jambo, kabla hata ya jiwe kuanza kuwa na mitazamo yake kuhusu corona mie nilishaonaga ni propaganda kitambo tu kwenye corona. Mmeunda kamati haijatuambia tumeathirika kiasi gani na propaganda za Jiwe ila imekimbilia kushauri chanjo.
Sijabisha nimehoji nimetaka tuambiwe tumeathirika kiasi gani kwa kipindi chote hicho cha propaganda za Magufuli ila badala ya kutuambia hilo wao wamekimbilia kupendekeza chanjo. Sasa yale waliyoyaeleza ndio ndio unasema ni utafiti?kamati ilitoa summary tu pale, ukitaka kujua details kaombe ripoti yote usome.
Magufuli alikuwa akipiga propaganda kuhusu Corona kwa sababu alisema eti maombi ya siku tatu ndio yameonoa Corona Tz na kupiga marufuku mtu yeyeote kutangazwa kafa kwa Corona. Hizi ndio propaganda, Samia kaanza vizuri kwa kuunda tume huru ifuatilie na iktoe mapendekezo. wewe unayeibishia tume umefanya utafiti gani?