Bunge Primary School, Uchafu mwingine city center unaofumbiwa macho na vigogo

Bunge Primary School, Uchafu mwingine city center unaofumbiwa macho na vigogo

Ule wingi wao unawafanya wanafanya ujinga ila pia nidhamu wengi wao ni kitu ambacho hawana kabisa.
wanakwaza sana sana.,.,.

Utakuta wakiwa na waalimu wao yaani hakuna hata kuwakarapia

Siku moja mwalimu anajibizana na raia kuona dogo wanakaa chini kuwaona km wanachafuka

Eeh mwalimu yule alimvaa raia nikasema ktk kazi ambayo ethics hakuna siku hz ni ualimu......

Kipindi tupo primary tukienda sehem na mwalimu hata km sio shule respect inatawala sana

Kuna shule moja ya wahindi naona mabus yao hasa mchana wakitoka shule wanafunzi ni watulivu yaani smart Ila Hawa wa bunge kwenye gari utafkr watoto wa mtaa gani sjui...
 
Kwa sababu wote ni elimu, napendekeza eneo wapewe IFM, bunge waanze kusitisha usajiri
 
wanakwaza sana sana.,.,.

Utakuta wakiwa na waalimu wao yaani hakuna hata kuwakarapia

Siku moja mwalimu anajibizana na raia kuona dogo wanakaa chini kuwaona km wanachafuka

Eeh mwalimu yule alimvaa raia nikasema ktk kazi ambayo ethics hakuna siku hz ni ualimu......

Kipindi tupo primary tukienda sehem na mwalimu hata km sio shule respect inatawala sana

Kuna shule moja ya wahindi naona mabus yao hasa mchana wakitoka shule wanafunzi ni watulivu yaani smart Ila Hawa wa bunge kwenye gari utafkr watoto wa mtaa gani sjui...
Hawaogopi chochote hata wakifanya mambo ambayo yana utovu wa nidhamu. Miaka hiyo nasoma primary ni heri ukutane na mbwa mkali kuliko kukutana na mwalimu, walimu walikuwa na heshima yao na misimamo yao kwa wanafunzi iliyochangia kujenga nidhamu kwa wanafunzi ila siku hizi mambo ni tofauti kabisa.

Juzi nimekaa mahali na boss wangu kiumri n mkubwa, akapita mtoto wa kike na uniform miaka kama 11 akasalimia shikamooni, tukaitikia ila boss akaendeleza salam kwa kumuuliza mzima wewe? Yule binti mdogo akajibu "nimekufa"😂.
Ilibidi tuishie kucheka kicheko cha masikitiko.
 
Nimesoma hii thread nikabaki kushangaa! Hawa vijana wa siku hizi mbona wana mawazo ya hovyo sana? Yaani mtu akipata ahueni ya maisha anaona wengine ni takataka na hawastahili kuwepo sehemu fulani. Hii nchi ina vijana wa hovyo sana.
Halafu wengi ni kutoka mikoani gari kaiona siku ya kuja mjini huyo akipata sasa sheeda hata jirani asiguse fancy ya nyumba yake
 
Yale mazingira yanafaa hata kuwa shule seriously??..
Huamini kama watt wanasoma bunge ni viongozi kila nyanja serikalini na wengn wapo utilised nje ya nchi u ataka kusema nn concept ya elimu ni mwanafunzi tu namwalimu hyo ndio definition hujui kama watu wanasoma chini ya miti hujui kama wazungu husomi kama hauna library ndani computer vitabu vya kila aina je afrika ni wangap wana afford hv vitu mm nimemaliza master sikua na hata smat fone je siku gradu nataka niseme hle ni shule kamili uboreshàji ni kweli unahitajika lakin usipeceive concept ety shule iqe na viwanja vya mpr sijui hata sauti za ndeg zisikike sijui blah blah basi watt wangeishi upanga wakawa wanasoma mkata
 
Wat
Hawaogopi chochote hata wakifanya mambo ambayo yana utovu wa nidhamu. Miaka hiyo nasoma primary ni heri ukutane na mbwa mkali kuliko kukutana na mwalimu, walimu walikuwa na heshima yao na misimamo yao kwa wanafunzi iliyochangia kujenga nidhamu kwa wanafunzi ila siku hizi mambo ni tofauti kabisa.

Juzi nimekaa mahali na boss wangu kiumri n mkubwa, akapita mtoto wa kike na uniform miaka kama 11 akasalimia shikamooni, tukaitikia ila boss akaendeleza salam kwa kumuuliza mzima wewe? Yule binti mdogo akajibu "nimekufa"😂.
Ilibidi tuishie kucheka kicheko cha masikitiko.
oto nidhamu hawana kabisa......
 
Wat
Hawaogopi chochote hata wakifanya mambo ambayo yana utovu wa nidhamu. Miaka hiyo nasoma primary ni heri ukutane na mbwa mkali kuliko kukutana na mwalimu, walimu walikuwa na heshima yao na misimamo yao kwa wanafunzi iliyochangia kujenga nidhamu kwa wanafunzi ila siku hizi mambo ni tofauti kabisa.

Juzi nimekaa mahali na boss wangu kiumri n mkubwa, akapita mtoto wa kike na uniform miaka kama 11 akasalimia shikamooni, tukaitikia ila boss akaendeleza salam kwa kumuuliza mzima wewe? Yule binti mdogo akajibu "nimekufa"😂.
Ilibidi tuishie kucheka kicheko cha masikitiko.
oto nidhamu hawana kabisa......
Hao ndio watoto wa serikalini (Bunge primary) wapendwa wa ndugu LIKUD
Mr simao una watoto tyr ? 😂 Sorry for asking
 
Back
Top Bottom