Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Katafiti waulize wanaosoma na kufundishaKatikati ya eneo lililojaa ofisi za umma na binafsi unamuwekea nani shule??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katafiti waulize wanaosoma na kufundishaKatikati ya eneo lililojaa ofisi za umma na binafsi unamuwekea nani shule??
Kwa hiyo shule isiitwe uchafu kwa sababu ni ya serikali?? Ile Bunge ni shule safi ile??..Umetumwa kuchokoza mada ili uone reactions za wadau ama nini, kwanini unaita shule ya serikali uchafu, au umetumwa uje uchokonoe mada na wanaotamani eneo Hilo?
Tatizo lako unakaa umasaini ndani ndani sana hivyo mauyajui masuala ya Daslama mjini..Kwamba Tanzania nzima shule iliyo kwenye mzunguko wa watu ni bunge tu???
Nyingine zimetengwa na wababa watu wazima?? 😁😁😁
Shule nyingine ni porini hakuna magari
Sijakurupuka mkuu..Katafiti waulize wanaosoma na kufundisha
Tatizo lako unakaa umasaini ndani ndani sana hivyo mauyajui masuala ya Daslama mjini..
Naona umebadili gia angani baada ya kupigwa spana kali na wakereketwa 🤣🤣🤣Vp kuhusu usalama wa watoto wadogo?? Yale mazingira gani ya shule watoto wanachangamana na wababa watu wazima wanaenda kupata lunch pale. Wakibakwa je (Sexual Harassment)??
Kwa zile movements za Magari kwanza ni hatari hata kwa usalama wa wanafunzi wa Darasa la kwanza..
Kivipi mkuu??..Naona umebadilia gia angani baada ya kupigwa spana kali na wakereketwa 🤣🤣🤣
Inaweza kutokea sikatai lkn sio sababu ya kuhamisha shule mahala pale...Vp kuhusu rush hours asubuhi na jioni kwa usalama wa watoto na private cars??
For so long as kuna movement ya watu wazima na watoto katika compounds za shule kwa kisingizio cha lunch, kuna risks kubwa sana ya sexual harassment pale..
Kwahiyo unasubiri mpaka yatokee na sio kuchukua tahadhari mapema??..Inaweza kutokea sikatai lkn sio sababu ya kuhamisha shule mahala pale...
Maake kungekuwa na matukio hayo tungekuwa tushapata kujua!
Mr simao ishu ya ubakaji inaweza kutokea kutokana na mazingira ya pale lkn sio sababu ya kufunga shule kisa ubakaji au watu wachacheKwahiyo unasubiri mpaka yatokee na sio kuchukua tahadhari mapema??..
Traffic accidents during rush hours (asubuhi na jioni) na wakati wa mapumziko??..Mr simao ishu ya ubakaji inaweza kutokea kutokana na mazingira ya pale lkn sio sababu ya kufunga shule kisa ubakaji au watu wachache
Mazingira yaboreshwe na kuwe na uangalizi pale shuleni hasa mida ya mchana
Uzuri bungee vyoo vipo ndani ya madarasa yao..... Wakati wa lunch wengi wanakuwa madarasani labda jioni napo wanaobaki ni class seven ambalo linakuwa chini ya uangalizi
Umemaanisha nn MrTraffic accidents during rush hours (asubuhi na jioni) na wakati wa mapumziko??..
Unajizima data mkuu?? Au sio??..Umemaanisha nn Mr
Hpna umesema traffic accident unamaanish ajali au wakati wanaweza pata upenyo wa kuwabakaUnajizima data mkuu?? Au sio??..
Ni mmoja kati ya miaSema wengine Wana adabu, Kuna kamoja kali niamkia nika kaachia siti.
kaka sema Asante 😂🤣
Akili zao wanazijua wenyewe huwa vitendo vyao vinanishangaza sana.Wale watoto ni kiboko. Wakitaka kukatiza barabara hawangalii pembeni. Yaani hata kwenye njia ya mwendo kasi hawajali. Inabidi basi lisemame kuwapisha.
Kwenye mwendokasiWanaimba wapi?
Ujinga ujinga tu wa kitoto akilianzisha mmoja wengine wanafuata, wana vituko sana.Du! Wanaimba nyimbo gani mkuu?
sema phanton la kigamboni tamu, pisi zime jaa daily 😁🤣Ni mmoja kati ya mia
Wanakwaza sana km kwao hawachapwii au hakuna watu wazima hapo tuu km kwenye kuvuka usiombe uvuke muda ya kumi kumi na mojaUjinga ujinga tu wa kitoto akilianzisha mmoja wengine wanafuata, wana vituko sana.