Bunge Primary School, Uchafu mwingine city center unaofumbiwa macho na vigogo

Bunge Primary School, Uchafu mwingine city center unaofumbiwa macho na vigogo

Wewe kama huna mtoto anaesoma hapo, wapo wazazi wengine wana watoto wanasoma hapo. Unadhani wataiona hiyo shule ni uchafu?
Siku watoto wao walifanyiwa sexual harassment na wale wanaoenda kupata lunch au wakigongwa na private cars zinazojazana during rush hours ndio watajua uchafu wa ile shule..
 
Siku watoto wao walifanyiwa sexual harassment na wale wanaoenda kupata lunch au wakigongwa na private cars zinazojazana during rush hours ndio watajua uchafu wa ile shule..
Badala ya kufunga shule, Ilo linafaa kushughulikiwa maana ni suala la kinidhamu.
Shule za mjini ni kibao, mambo meusi yapo sana. Inabid yashughulikiwe tuu
 
Hata kama ni shule 10 zinatakiwa kuondolewa, acha ziondoke tu for so long as hazina vigezo vya kitaaluma na kimazingira.

Kuhusu usalama wa watoto wadogo umegoma kabisa kunipa jibu..
Watoto wadogo inabidi walindwe popote walipo. Sasa sielewi shule kuwa Posta kunahusiana vp na usalama wa watoto Mkuu.

Kwa mtazamo wako unaona ni sawa kuzivunja kwakuwa huna uchungu na kodi. Yaani serikali iliyozijenga inapitwa maarifa na wewe Mkuu?
 
Watoto wadogo inabidi walindwe popote walipo. Sasa sielewi shule kuwa Posta kunahusiana vp na usalama wa watoto Mkuu.

Kwa mtazamo wako unaona ni sawa kuzivunja kwakuwa huna uchungu na kodi. Yaani serikali iliyozijenga inapitwa maarifa na wewe Mkuu?
Kwani serikali ni nini?? Hao waliopo huko wanaoingia kwa michongo ya rushwa??..
 
Hata kama ni shule 10 zinatakiwa kuondolewa, acha ziondoke tu for so long as hazina vigezo vya kitaaluma na kimazingira.

Kuhusu usalama wa watoto wadogo umegoma kabisa kunipa jibu..
Achana na huyo chawa atakusumbua sana mkuu. Hawezi kukupa jibu katu. Majitu ya CCM ndivyo yalivyo.
 
Kazibue hayo machemba yaliyoziba na kufagia,kufyeka nyasi na mengineyo ili uonyeshe kwa junsi gani umekuwa msaada kuliko kuja kulialia JF ambako hakuja msaada
 
Unajua kitaalamu shule inafaa iwe katika mazingira Gani kijiographia na mazingira ya kijamii (social sorounding)? Kama hujui basi na wewe ni takataka Pro
Takataka mwenyewe! Shwaini kabisa
 
Kuna siku wamemsukuma mmama wawatu akaja kuniangukia, wana fujo sana. Wakianza kuimba ndio balaa tupu.
Wale watoto ni kiboko. Wakitaka kukatiza barabara hawangalii pembeni. Yaani hata kwenye njia ya mwendo kasi hawajali. Inabidi basi lisemame kuwapisha.
 
Je, hii ni salama kwa watoto wadogo?? Walifanyiwa sexual harassment na lunch goers??..
Restaurant sio kwa ajili ya watoto ni watu wa nje wengi wakiwa ni wanafunz wa IFM...... wafanyakazi baadhi wa ofisi za posta!!

wanafunz pia canteen Kuna Sheria za kuingia pale ko siwezi ku judge directly najua maake nimekuwa mteja wa restaurant iliyopo ndani ya shule ya msingi bunge,
 
Back
Top Bottom