Bunge Primary School, Uchafu mwingine city center unaofumbiwa macho na vigogo

Bunge Primary School, Uchafu mwingine city center unaofumbiwa macho na vigogo

Ni ile tu shule ipo Katikati ya ofisi za serikali pamoja na Mita kadhaa kutoka ukuta wa Ikulu, basi wazazi wanapagawa sana, plus kiingereza uchwara cha ada nafuu..
Like wanaosoma udsm wanaona wao ndo the best lkn pale Kuna college nyingi nyingi

Nilikutana na mwanafunzi wa business school.... Shahada ya uhasibu na mwingine shahada ya uhasibu IFM ni course moja Ila yule wa ud Kuna vitu yupo shallow sana! Lkn bado wanaonekana Bora kwakuwa ni university!!

Tuhitimishe hivyo
 
Mimi naona watu wote dar mhamishwe kupisha uwekezaji maana dar ni eneo potensho kwa investments 🤔
 
Tunaokaa posta watoto wetu wakasome wapi jamani 🙂
Vp kuhusu usalama wa watoto wadogo?? Yale mazingira gani ya shule watoto wanachangamana na wababa watu wazima wanaenda kupata lunch pale. Wakibakwa je (Sexual Harassment)??

Kwa zile movements za Magari kwanza ni hatari hata kwa usalama wa wanafunzi wa Darasa la kwanza..
 
Like wanaosoma udsm wanaona wao ndo the best lkn pale Kuna college nyingi nyingi

Nilikutana na mwanafunzi wa business school.... Shahada ya uhasibu na mwingine shahada ya uhasibu IFM ni course moja Ila yule wa ud Kuna vitu yupo shallow sana! Lkn bado wanaonekana Bora kwakuwa ni university!!

Tuhitimishe hivyo
Vp kuhusu usalama wa watoto wadogo?? Yale mazingira gani ya shule watoto wanachangamana na wababa watu wazima wanaenda kupata lunch pale. Wakibakwa je (Sexual Harassment)??

Kwa zile movements za Magari kwanza ni hatari hata kwa usalama wa wanafunzi wa Darasa la kwanza..
 
Unajua kitaalamu shule inafaa iwe katika mazingira Gani kijiographia na mazingira ya kijamii (social sorounding)??..
Hao hao walioainisha na kuvisimimamia hivyo vigezo ndo wenye hiyo shule.

Na ukitaka kusimamia hivyo vigezo, umewaza ni shule ngapi zitahitaji kuondolewa?
 
Eti wakuu, kwa Karne ya sasa kuna umuhimu gani wa kuendelea kuwa na Primary Schools kama Bunge pale kati kati kabisa ya Mji?? Lengo ni nini?? Tena shule ya serikali, shule zinazofahamika kwa kuwa na wanafunzi wachafu wasio na maadili hakuna mfano.

Eneo potential la kuweka investments za maana, wewe unaweka shule ya msingi? Hata kama ilijengwa zamani, Je, bado kuna uhalali wa kuendelea kuwepo pale?

Ni mtoto yupi anayesoma primary ya Bunge ni mkazi wa eneo lile lililojaa ofisi za serikali?

Uwepo wa shule kama Bunge huleta msuguano tu wa kimaslahi kwa maana ikifika December, kila mzazi anayefanya kazi Posta, mwenye IST anataka mwanae akasome Bunge. What for.

Hata kama ni shule, basi mpeni muwekezaji binafsi atakayeweza kumaintain mazingira pamoja na usafi wa wanafunzi kama zilivyo shule zingine za private za English Medium lakini sio kuweka shule uchafu katika eneo potential kama Posta Mpya (A few kilometers from the state house)

Vp kuhusu usalama wa watoto wadogo?? Yale mazingira gani ya shule watoto wanachangamana na wababa watu wazima wanaenda kupata lunch pale. Wakibakwa je (Sexual Harassment)??

Kwa zile movements za Magari binafsi kwanza ni hatari hata kwa usalama wa wanafunzi wa Darasa la kwanza..

SHULE YA BUNGE CITY CENTER NI UCHAFU MWINGINE UNAOFUMBIWA MACHO NA VIGOGO..
Ni afadhali wangeondoa huu uchafu waiache Forodhani. Hii shule mm nilidhani labda imeishamishwa kumbe bado ipo? Inashangaza sana. Shule nyingine inayopaswa kuondoshwa ni ya Kisutu Primary Shool. Ule nao ni uchafu tu, sawa na Bunge.
 
Kwani umemuelewa hoja yake au unakurupuka tu kuandika utopolo? Huwezi kuwa na uchungu na watoto wa wengine ila watoto wako tu mkuu? Roho mbaya hiyo.
Wengi walio comment katika mada hii ni watu wa hovyo sana mkuu. Trust me..
 
Ni afadhali wangeondoa huu uchafu waiache Forodhani. Hii shule mm nilidhani labda imeishamishwa kumbe bado ipo? Inashangaza sana. Shule nyingine inayopaswa kuondoshwa ni ya Kisutu Primary Shool. Ule nao ni uchafu tu, sawa na Bunge.
Upo sahihi sana mkuu..
 
Hao hao walioainisha na kuvisimimamia hivyo vigezo ndo wenye hiyo shule.

Na ukitaka kusimamia hivyo vigezo, umewaza ni shule ngapi zitahitaji kuondolewa?
Hata kama ni shule 10 zinatakiwa kuondolewa, acha ziondoke tu for so long as hazina vigezo vya kitaaluma na kimazingira.

Kuhusu usalama wa watoto wadogo umegoma kabisa kunipa jibu..
 
Back
Top Bottom