50thebe
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 4,088
- 4,059
Hizo shule zipo vizuri.Vp kuhusu usalama wa watoto wadogo??..
Tafiti utajionea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo shule zipo vizuri.Vp kuhusu usalama wa watoto wadogo??..
Like wanaosoma udsm wanaona wao ndo the best lkn pale Kuna college nyingi nyingiNi ile tu shule ipo Katikati ya ofisi za serikali pamoja na Mita kadhaa kutoka ukuta wa Ikulu, basi wazazi wanapagawa sana, plus kiingereza uchwara cha ada nafuu..
Vp kuhusu usalama wa watoto wadogo?? Yale mazingira gani ya shule watoto wanachangamana na wababa watu wazima wanaenda kupata lunch pale. Wakibakwa je (Sexual Harassment)??Tunaokaa posta watoto wetu wakasome wapi jamani 🙂
Vp kuhusu usalama wa watoto wadogo?? Yale mazingira gani ya shule watoto wanachangamana na wababa watu wazima wanaenda kupata lunch pale. Wakibakwa je (Sexual Harassment)??Like wanaosoma udsm wanaona wao ndo the best lkn pale Kuna college nyingi nyingi
Nilikutana na mwanafunzi wa business school.... Shahada ya uhasibu na mwingine shahada ya uhasibu IFM ni course moja Ila yule wa ud Kuna vitu yupo shallow sana! Lkn bado wanaonekana Bora kwakuwa ni university!!
Tuhitimishe hivyo
Ipo mtendeniMkuu, Kisutu kuna Primary School pale??
Akili huna wewe,njoo nikuoneshe kubakwa kulivyoKama kupapaswa sio kubakwa, njoo nikupapase..
Hahahaaa, mkuu unaogopa kupapaswa mkuu?? Hahahahaaa....Akili huna wewe,njoo nikuoneshe kubakwa kulivyo
Okay..Ipo mtendeni
Hao hao walioainisha na kuvisimimamia hivyo vigezo ndo wenye hiyo shule.Unajua kitaalamu shule inafaa iwe katika mazingira Gani kijiographia na mazingira ya kijamii (social sorounding)??..
Ni afadhali wangeondoa huu uchafu waiache Forodhani. Hii shule mm nilidhani labda imeishamishwa kumbe bado ipo? Inashangaza sana. Shule nyingine inayopaswa kuondoshwa ni ya Kisutu Primary Shool. Ule nao ni uchafu tu, sawa na Bunge.Eti wakuu, kwa Karne ya sasa kuna umuhimu gani wa kuendelea kuwa na Primary Schools kama Bunge pale kati kati kabisa ya Mji?? Lengo ni nini?? Tena shule ya serikali, shule zinazofahamika kwa kuwa na wanafunzi wachafu wasio na maadili hakuna mfano.
Eneo potential la kuweka investments za maana, wewe unaweka shule ya msingi? Hata kama ilijengwa zamani, Je, bado kuna uhalali wa kuendelea kuwepo pale?
Ni mtoto yupi anayesoma primary ya Bunge ni mkazi wa eneo lile lililojaa ofisi za serikali?
Uwepo wa shule kama Bunge huleta msuguano tu wa kimaslahi kwa maana ikifika December, kila mzazi anayefanya kazi Posta, mwenye IST anataka mwanae akasome Bunge. What for.
Hata kama ni shule, basi mpeni muwekezaji binafsi atakayeweza kumaintain mazingira pamoja na usafi wa wanafunzi kama zilivyo shule zingine za private za English Medium lakini sio kuweka shule uchafu katika eneo potential kama Posta Mpya (A few kilometers from the state house)
Vp kuhusu usalama wa watoto wadogo?? Yale mazingira gani ya shule watoto wanachangamana na wababa watu wazima wanaenda kupata lunch pale. Wakibakwa je (Sexual Harassment)??
Kwa zile movements za Magari binafsi kwanza ni hatari hata kwa usalama wa wanafunzi wa Darasa la kwanza..
SHULE YA BUNGE CITY CENTER NI UCHAFU MWINGINE UNAOFUMBIWA MACHO NA VIGOGO..
Kwani umemuelewa hoja yake au unakurupuka tu kuandika utopolo? Huwezi kuwa na uchungu na watoto wa wengine ila watoto wako tu mkuu? Roho mbaya hiyo.Mtoa mada hana mtoto anaesoma hapo
Wengi walio comment katika mada hii ni watu wa hovyo sana mkuu. Trust me..Kwani umemuelewa hoja yake au unakurupuka tu kuandika utopolo? Huwezi kuwa na uchungu na watoto wa wengine ila watoto wako tu mkuu? Roho mbaya hiyo.
Upo sahihi sana mkuu..Ni afadhali wangeondoa huu uchafu waiache Forodhani. Hii shule mm nilidhani labda imeishamishwa kumbe bado ipo? Inashangaza sana. Shule nyingine inayopaswa kuondoshwa ni ya Kisutu Primary Shool. Ule nao ni uchafu tu, sawa na Bunge.
Hata kama ni shule 10 zinatakiwa kuondolewa, acha ziondoke tu for so long as hazina vigezo vya kitaaluma na kimazingira.Hao hao walioainisha na kuvisimimamia hivyo vigezo ndo wenye hiyo shule.
Na ukitaka kusimamia hivyo vigezo, umewaza ni shule ngapi zitahitaji kuondolewa?
Yule niliyezaa na dada yako anasoma wapi??..Mtoa mada hana mtoto anaesoma hapo
Huna adabu. Jibu kwa hojaYule niliyezaa na dada yako anasoma wapi??..
Wewe ungekuwa na adabu, usingeandika comment ya hovyo kama ile..Huna adabu. Jibu kwa hoja
Jibu kwa hoja, dada anahusika nini hapo?Wewe ungekuwa na adabu, usingeandika comment ya hovyo kama ile..