Bunge Primary School, Uchafu mwingine city center unaofumbiwa macho na vigogo

Bunge Primary School, Uchafu mwingine city center unaofumbiwa macho na vigogo

S ndo hapo mkuu tumesoma shule Za kubeba mbolea unaenda nayo shuleni sijawah. Kupadharau
Nimesoma hii thread nikabaki kushangaa! Hawa vijana wa siku hizi mbona wana mawazo ya hovyo sana? Yaani mtu akipata ahueni ya maisha anaona wengine ni takataka na hawastahili kuwepo sehemu fulani. Hii nchi ina vijana wa hovyo sana.
 
Huna adabu na mdomo wako ni mchafu kuita shule inayosomesha watoto wetu eti takataka
Unajua kitaalamu shule inafaa iwe katika mazingira Gani kijiographia na mazingira ya kijamii (social sorounding)? Kama hujui basi na wewe ni takataka Pro
 
Nimeuliza Posta CBD na sio mikocheni..
Kwanini wasiwepo.

We Mkuu unaamini wanaokaa posta wote ni wahindi, bila shaka hata ukiona Mswahili anakaa huko utahisi ana hela sana.

Kuna wengine wanaishi kwenye nyumba zinazomilikiwa na maofisi yao huko, wana vipato vya kawaida tu.
 
Uwekezaji uwekezaji kwani maeneo ya uwekezaji yameisha mpaka muwatoe watoto wa shule zenye historia? Serikali ina majengo matupu mengi tu hapo mjini bado mnataka wapoteze hela nyingine? Nyie ndio kila sehemu mnataka kuweka majengo, viwanja vya kuchezea watoto vyote mmeweka majengo mnaona michezo haina maana ndio maana mna watoto mazezeta.
 
Kwanini wasiwepo.

We Mkuu unaamini wanaokaa posta wote ni wahindi, bila shaka hata ukiona Mswahili anakaa huko utahisi ana hela sana.

Kuna wengine wanaishi kwenye nyumba zinazomilikiwa na maofisi yao huko, wana vipato vya kawaida tu.
Unajua kitaalamu shule inafaa iwe katika mazingira Gani kijiographia na mazingira ya kijamii (social sorounding)??..
 
Uwekezaji uwekezaji kwani maeneo ya uwekezaji yameisha mpaka muwatoe watoto wa shule zenye historia? Serikali ina majengo matupu mengi tu hapo mjini bado mnataka wapoteze hela nyingine? Nyie ndio kila sehemu mnataka kuweka majengo, viwanja vya kuchezea watoto vyote mmeweka majengo mnaona michezo haina maana ndio maana mna watoto mazezeta.
Unajua kitaalamu shule inafaa iwe katika mazingira Gani kijiographia na mazingira ya kijamii (social sorounding)??..
 
Unajua kitaalamu shule inafaa iwe katika mazingira Gani kijiographia na mazingira ya kijamii (social sorounding)? Kama hujui basi na wewe ni takataka Pro
Watu wanakurupuka tu na comments zao za hovyo, mimi ninawachora tu..
 
Nimesoma hii thread nikabaki kushangaa! Hawa vijana wa siku hizi mbona wana mawazo ya hovyo sana? Yaani mtu akipata ahueni ya maisha anaona wengine ni takataka na hawastahili kuwepo sehemu fulani. Hii nchi ina vijana wa hovyo sana.
Kwa zile movements za Magari kwanza ni hatari hata kwa usalama wa wanafunzi wa Darasa la kwanza..
 
Eti wakuu, kwa Karne ya sasa kuna umuhimu gani wa kuendelea kuwa na Primary Schools kama Bunge pale kati kati kabisa ya Mji?? Lengo ni nini?? Tena shule ya serikali, shule zinazofahamika kwa kuwa na wanafunzi wachafu wasio na maadili hakuna mfano.

Eneo potential la kuweka investments za maana, wewe unaweka shule ya msingi? Hata kama ilijengwa zamani, Je, bado kuna uhalali wa kuendelea kuwepo pale?

Ni mtoto yupi anayesoma primary ya Bunge ni mkazi wa eneo lile lililojaa ofisi za serikali?

Uwepo wa shule kama Bunge huleta msuguano tu wa kimaslahi kwa maana ikifika December, kila mzazi anayefanya kazi Posta, mwenye IST anataka mwanae akasome Bunge. What for.

Hata kama ni shule, basi mpeni muwekezaji binafsi atakayeweza kumaintain mazingira pamoja na usafi wa wanafunzi kama zilivyo shule zingine za private za English Medium lakini sio kuweka shule uchafu katika eneo potential kama Posta Mpya (A few kilometers from the state house)

SHULE YA BUNGE CITY CENTER NI UCHAFU MWINGINE UNAOFUMBIWA MACHO NA VIGOGO..
we popoma baada ya kujua kuoga unaita shule uchafu? We pumbavu rudi kwenu
 
Umeandika ukiwa unaharaka sana, hata hivyo Bado watoto wetu wanahaki ya kusoma maeneo Yale, wazo zuri ingekuwa kuifanyia maboresho iwe kimjini zaidi ila kwa mtazamo wako utasema hata Benjamin ivunjwe.
 
Inahitaji ushawishi mkubwa mno kumshauri Diwani abadili matumizi ya hilo eneo toka kuwa shule kuwa Business Mall.

Ni vita maana wadau wanaohusika Ni wengi mno.
Vp kuhusu usalama wa watoto wadogo??..
 
we mshamba wa wapi? Shule ya private ndiyo nini. Huo ushamba wa kwenu karudi nao ulikotoka. Sijaona jitu pumbavu km wewe.
 
Back
Top Bottom