itede votata
Senior Member
- Jan 14, 2025
- 100
- 152
Ndugu hizo ni huduma za kijamii za msingi saaana. Pengine zinatakiwa kuwepo Kila kata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katikati ya eneo lililojaa ofisi za umma na binafsi unamuwekea nani shule??Hi elimu siyo investment?
Ni nani anayefanya kazi kwa mhindi mwenye uwezo wa kumudu gharama za maisha ya Posta?? Kwa mshahara wa 300,000/= kwa mwezi unaweza ukaishi Posta??..Kuna watu wanafanya kazi kwa hao wahindi wanaishi mitaa hiyo kama hujui
Okay sawa..Kama huu ndo mtazamo wako basi una mawazo duni Mkuu.
Ni ile tu shule ipo Katikati ya ofisi za serikali pamoja na Mita kadhaa kutoka ukuta wa Ikulu, basi wazazi wanapagawa sana, plus kiingereza uchwara cha ada nafuu..Kwa hapo sijui kinachowafanya wapelekwe bunge ni nn ?
Maybe unajua wazazi wetu wana tendency wakisikia kitu fulani juu ya mtoto wanaamini hivyo hivyo
So labda ule umaarufu tuu wa bunge primary basi sioni Cha ajabu Mr simao...
Mimi nimezaliwa na kukulia city centre Mkuu, wapo watu wa kipato cha kila aina.Okay sawa..
Kuna familia Posta (baba, mama, mtoto) ya budget ya chakula ya 10,000/= per day??..Mimi nimezaliwa na kukulia city centre Mkuu, wapo watu wa kipato cha kila aina.
Shule imepakana na Central Bank ila chamber za maji taka zinatema balaa. Kwani huko kwenu Goba na Mbezi Luis hakuna shule??..Wewe umejenga shule gani🤔ukute hapo unatumia wifi ya chooni! Kwa boss wako
Toa solution, weka proposal kwamba kifanyike ABCD
Ninatumia wifi ya dada, leo kaja kunisalimia..Wewe umejenga shule gani🤔ukute hapo unatumia wifi ya chooni!
Sijui kwa sasa. Ila enzi hizo Bunge, Upanga, Muhimbili na Olympio, zilikuwa shule nzuri (hasa kitaaluma) japokuwa ni za serikali.Ni ile tu shule ipo Katikati ya ofisi za serikali pamoja na Mita kadhaa kutoka ukuta wa Ikulu, basi wazazi wanapagawa sana, plus kiingereza uchwara cha ada nafuu..
Ile shule inatumiwa na wafanyakazi wa ofisi za pale posta. At least basi iwe private school, itakuwa na mazingira masafi, ila government school kama kawaida yao..Ndugu hizo ni huduma za kijamii za msingi saaana. Pengine zinatakiwa kuwepo Kila kata.
Upanga na Muhimbili, at least, kuna watu wanaishi huko, lakini sio Central Business District kama Posta..Sijui kwa sasa. Ila enzi hizo Bunge, Upanga, Muhimbili na Olympio, zilikuwa shule nzuri (hasa kitaaluma) japokuwa ni za serikali.
Ilipelekea mpaka watu kutoka mbali na katikati ya mji kupeleka watoto wao hapo.
Jibu ni rahisi sana. Wanafuata English Medium School ya bei nafuu..Hata Olympio (Diamond) na Upanga Primary ni hivyo hivyo.
Mtoa mada ilibidi ajiulize kwanza ni kwanini hao wazazi wanafanya hivyo.
Bila shaka wewe huwezi kuamini kuwa kuna familia Mbagala au Tandale wana budget kubwa ya matumizi kuliko familia inayoishi MikocheniKuna familia Posta (baba, mama, mtoto) ya budget ya chakula ya 10,000/= per day??..
Lile eneo ni potential mnoo wee jamaa wewe, na hizo nyumba za NHC wanaokaa humo ni wahindi na sio waswahili..Kuna majumba kibao ya National Housing na wanakaa waswahili. Sasa sijui wapeleke watoto wapi.
Nimeuliza Posta CBD na sio mikocheni..Bila shaka wewe huwezi kuamini kuwa kuna familia Mbagala au Tandale wana budget kubwa ya matumizi kuliko familia inayoishi Mikocheni
Nina ndugu na washkaji wamesoma Bunge, wanaishi opposite na ilipokuwa makao makuu ya Tanesco.Upanga na Muhimbili, at least, kuna watu wanaishi huko, lakini sio Central Business District kama Posta..
Nimesoma hii thread nikabaki kushangaa! Hawa vijana wa siku hizi mbona wana mawazo ya hovyo sana? Yaani mtu akipata ahueni ya maisha anaona wengine ni takataka na hawastahili kuwepo sehemu fulani. Hii nchi ina vijana wa hovyo sana.Sijui akili za watanzania ziko je? kutothamini elimu nakuona uwekezaji wa bar Hotel ni muhimu kuliko elimu, kuna watu wenye kipato duni wengi katikati ya mji, walinzi sekuritari mama tilie omba omba machinga wote wanahitaji shule kama hiyo, wewe unafikiri ulivo jenga Kimara au Mbezi kila mtu kaweza?
Ni nani anayeweza kumudu kukaa Posta na familia yake atakayeshindwa kupeleka mtoto private school??
Kesho na kesho kutwa wataanza kufungua magenge ya nyanya Posta kwa kigezo cha "wakazi wa posta wa low income"