Bunge Primary School, Uchafu mwingine city center unaofumbiwa macho na vigogo

Bunge Primary School, Uchafu mwingine city center unaofumbiwa macho na vigogo

Ingekuwa ni rahisi kusoma nje ya mji badala ya pale as they will be moving against traffic in the morning and afternoon
Kama kuna wakazi wa pale City centre kwanini wasiweke shule na wa huko nje ya mji waweke shule kama ile jirani.
Tusihamishe au kupunguza shule mahali popote Ila tuziongeze kila mahali.
 
Kwahiyo city centre ikitanuka mpaka kariakoo tuendelee kuhamisha shule mpaka zianzie shaurimoyo kwenda pembeni?
 
Watu mna wivu sana hamtaki watoto wenu wabadili mazingira. Unataka muda wote wakae huko buza tu.

Lakini hapo Posta hasa eneo la bunge primary kuna nini cha maana ambacho kitazuia watu wasifanye kazi zao.

Kwangu naona hapo watoto wanapata exposure na kuwapa motivation
 
Eti wakuu, kwa Karne ya sasa kuna umuhimu gani wa kuendelea kuwa na Primary Schools kama Bunge pale kati kati kabisa ya Mji?? Lengo ni nini?? Tena shule ya serikali, shule zinazofahamika kwa kuwa na wanafunzi wachafu wasio na maadili hakuna mfano.

Eneo potential la kuweka investments za maana, wewe unaweka shule ya msingi? Hata kama ilijengwa zamani, Je, bado kuna uhalali wa kuendelea kuwepo pale?

Ni mtoto yupi anayesoma primary ya Bunge ni mkazi wa eneo lile lililojaa ofisi za serikali?

Uwepo wa shule kama Bunge huleta msuguano tu wa kimaslahi kwa maana ikifika December, kila mzazi anayefanya kazi Posta, mwenye IST anataka mwanae akasome Bunge. What for.

Hata kama ni shule, basi mpeni muwekezaji binafsi atakayeweza kumaintain mazingira pamoja na usafi wa wanafunzi kama zilivyo shule zingine za private za English Medium lakini sio kuweka shule uchafu katika eneo potential kama Posta Mpya (A few kilometers from the state house)

SHULE YA BUNGE CITY CENTER NI UCHAFU MWINGINE UNAOFUMBIWA MACHO NA VIGOGO..
Lugha ya matusi ni ya nini?
 
Eti wakuu, kwa Karne ya sasa kuna umuhimu gani wa kuendelea kuwa na Primary Schools kama Bunge pale kati kati kabisa ya Mji?? Lengo ni nini?? Tena shule ya serikali, shule zinazofahamika kwa kuwa na wanafunzi wachafu wasio na maadili hakuna mfano.

Eneo potential la kuweka investments za maana, wewe unaweka shule ya msingi? Hata kama ilijengwa zamani, Je, bado kuna uhalali wa kuendelea kuwepo pale?

Ni mtoto yupi anayesoma primary ya Bunge ni mkazi wa eneo lile lililojaa ofisi za serikali?

Uwepo wa shule kama Bunge huleta msuguano tu wa kimaslahi kwa maana ikifika December, kila mzazi anayefanya kazi Posta, mwenye IST anataka mwanae akasome Bunge. What for.

Hata kama ni shule, basi mpeni muwekezaji binafsi atakayeweza kumaintain mazingira pamoja na usafi wa wanafunzi kama zilivyo shule zingine za private za English Medium lakini sio kuweka shule uchafu katika eneo potential kama Posta Mpya (A few kilometers from the state house)

SHULE YA BUNGE CITY CENTER NI UCHAFU MWINGINE UNAOFUMBIWA MACHO NA VIGOGO..
WEWE NI UCHAFU MWINGINE UNAOFUMBIWA MACHO HAPA JF... unastahili life ban. Huu upumbavu wa kuvunjavunja majengo ya zamani na kujenga frem za biashara ni ushenzi ninaoupinga mno. Kwanini tunaharibu utambulisho wa miji yetu kiholela? Huo uwekezaji si ukafanyike huko Mapinga na maeneo ya nje ya mji? Mabeberu pamoja na maendeleo yao bado watunza miji yao na hakuna bomoa bomoa za kijinga. Kwa hizi akili zetu za sasa nadhani UDSM ingejengwa Magomeni ila kwa maono ya Mwalimu Nyerere na wenzake wakajenga nje ya mji. Sisi tulitakiwa tuone mbali zaidi ya waasisi ila ndo tumerudi nyuma kifikra kwa sababu ya tamaa na ulafi.
 
Watu mna wivu sana hamtaki watoto wenu wabadili mazingira. Unataka muda wote wakae huko buza tu.

Lakini hapo Posta hasa eneo la bunge primary kuna nini cha maana ambacho kitazuia watu wasifanye kazi zao.

Kwangu naona hapo watoto wanapata exposure na kuwapa motivation
A few maters away from the state house, unakutana na shule chafu na chakavu katika kiwanja chenye thamani ya billions of shillings..
 
Back
Top Bottom