rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Mbona bus la njano liko hadi Bunge mkuu sema njano yake haijakolea sana 😃Mpeleke shule ya bus la Njano mkuu. Unatia sana aibu. Yaani unakaa Posta alafu unasomesha mtoto government school??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona bus la njano liko hadi Bunge mkuu sema njano yake haijakolea sana 😃Mpeleke shule ya bus la Njano mkuu. Unatia sana aibu. Yaani unakaa Posta alafu unasomesha mtoto government school??
Babu yao wa mjini 🤣Au wakasome kwa babu yao huko mkoani😅
Ipo Mtendeni. nadhaniMkuu, Kisutu kuna Primary School pale??
Basi acha aende bungeBabu yao wa mjini 🤣
We jamaa, floor ya 30 Ili wamchungulie dullah au!?Wampe mtu ajenge jengo kwa mkataba, floor ya 2 hadi ya 5 iwe madarasa ya shule. Ground floor, Basement na floor ya 6 hadi 30 iwe ya mwekezaji
Ni ya serikali pia??..Ipo Mtendeni. nadhani
Sijui akili za watanzania ziko je? kutothamini elimu nakuona uwekezaji wa bar Hotel ni muhimu kuliko elimu, kuna watu wenye kipato duni wengi katikati ya mji, walinzi sekuritari mama tilie omba omba machinga wote wanahitaji shule kama hiyo, wewe unafikiri ulivo jenga Kimara au Mbezi kila mtu kaweza?Eti wakuu, kwa Karne ya sasa kuna umuhimu gani wa kuendelea kuwa na Primary Schools kama Bunge pale kati kati kabisa ya Mji?? Lengo ni nini?? Tena shule ya serikali, shule zinazofahamika kwa kuwa na wanafunzi wachafu wasio na maadili hakuna mfano.
Eneo potential la kuweka investments za maana, wewe unaweka shule ya msingi? Hata kama ilijengwa zamani, Je, bado kuna uhalali wa kuendelea kuwepo pale?
Ni mtoto yupi anayesoma primary ya Bunge ni mkazi wa eneo lile lililojaa ofisi za serikali?
Uwepo wa shule kama Bunge huleta msuguano tu wa kimaslahi kwa maana ikifika December, kila mzazi anayefanya kazi Posta, mwenye IST anataka mwanae akasome Bunge. What for.
Hata kama ni shule, basi mpenzi muwekezaji binafsi atakayeweza kumaintain mazingira pamoja na usafi wa wanafunzi kama zilivyo shule zingine za English Medium lakini sio kuweka shule uchafu katika eneo potential kama Posta Mpya (A few kilometers from the state house)
SHULE YA BUNGE CITY CENTER NI UCHAFU MWINGINE UNAOFUMBIWA MACHO NA VIGOGO..
I meant take him/her to a private school..Mbona bus la njano liko hadi Bunge mkuu sema njano yake haijakolea sana 😃
Mlinzi na mama Lishe gani anayekaa prime area kama city center mkuu??..Sijui akili za watanzania ziko kutothamini elimu nakuona uwezaji wa bar Hotel ni muhimu kjliko elimu, luna watu wenye kipato duni wengi katikati ya mji, walinzi sekuritari mama tolie omba omba wote wanahitaji shule kama hiyo, wewe unafikiri ulivo jenga Kimara au Mbezi kila mtu kaweza?
Tulia wewe mama watoto wangu..Huna adabu na mdomo wako ni mchafu kuita shule inayosomesha watoto wetu eti takataka
Mhh..We jamaa, floor ya 30 Ili wamchungulie dullah au!?
Sasa pale shule ya Bunge kuna uzuri gani?? Chemba za maji taka na majengo chakavu yale wewe unaona kuwa ni dili??..Unaita watoto uchafu!!? Unataka vitu vizuri wapate watoto wa matajiri tu?
Ziko mbili kisutu na mtendeniMkuu, Kisutu kuna Primary School pale??
IFM nao ni uchafu mwingine, inabidi itolewe.Eti wakuu, kwa Karne ya sasa kuna umuhimu gani wa kuendelea kuwa na Primary Schools kama Bunge pale kati kati kabisa ya Mji?? Lengo ni nini?? Tena shule ya serikali, shule zinazofahamika kwa kuwa na wanafunzi wachafu wasio na maadili hakuna mfano.
Eneo potential la kuweka investments za maana, wewe unaweka shule ya msingi? Hata kama ilijengwa zamani, Je, bado kuna uhalali wa kuendelea kuwepo pale?
Ni mtoto yupi anayesoma primary ya Bunge ni mkazi wa eneo lile lililojaa ofisi za serikali?
Uwepo wa shule kama Bunge huleta msuguano tu wa kimaslahi kwa maana ikifika December, kila mzazi anayefanya kazi Posta, mwenye IST anataka mwanae akasome Bunge. What for.
Hata kama ni shule, basi mpenzi muwekezaji binafsi atakayeweza kumaintain mazingira pamoja na usafi wa wanafunzi kama zilivyo shule zingine za English Medium lakini sio kuweka shule uchafu katika eneo potential kama Posta Mpya (A few kilometers from the state house)
SHULE YA BUNGE CITY CENTER NI UCHAFU MWINGINE UNAOFUMBIWA MACHO NA VIGOGO..
Uzuri wa Hiyo shule siyo majengo.Sasa pale shule ya Bunge kuna uzuri gani?? Chemba za maji taka na majengo chakavu yale wewe unaona kuwa ni dili??..