Imeandikwa ''Usimjaribu Bwana Mungu wako''Rashidi bwana. Sasa kama anaweza kufufua nini kitamtisha tena duniani, uchawi? Sumu? Mzee wa amfifiro ana imani haba
Ila yeye kuwazoea wengine sawa ee?!! OkAmekumbuka yaliyomkuta Mwakyembe.
Cheka na watanzania lkn usipende wakuzoee.
Atasema walimtegea sumu bungeni ili wamuue akaistukia na waumini watasema AAAAMEEEEN...!Gwaji boy!! [emoji91][emoji91][emoji91] Katika ubora wake! Watajuta kumfahamu. Jumapili ijayo, kama kawaida! Ni vijembe tu kwa kwenda mbele.
Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amekataa kukaa kwenye kiti pamoja na kutumia kipaza sauti alichoandaliwa alipofika mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge inayoongozwa na Mwenyekiti wake Emmanuel Adamson Mwakasaka, na kuomba vibadilishwe.
Huyu si mzima kiakili ila anafanya vizuri kuonyesha namna dhuluma waliyowafanyia wananchi wa Kawe inavyoanza kuwarudia kupitia huu msukule wa kisiasa. Ila asicheze na mama. Ataumia muda si mrefu.Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amekataa kukaa kwenye kiti pamoja na kutumia kipaza sauti alichoandaliwa alipofika mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge inayoongozwa na Mwenyekiti wake Emmanuel Adamson Mwakasaka, na kuomba vibadilishwe.
Yaani kamati ya maadili ya bunge ni wauaji? Khaaa 😲😲acha uzushi wa kitoto.....Kuna ubaya gani ukienda kwa wauaji Kama wale usichukue tahadhali?
Ungejua hawa ndio washirikina wakuuLakini Mungu zaidi,uchawi si lolote wala si chochote mbele ya Mungu.
Mmemchelewesha wenyewe sasa anawaumbueni na kuwashtukia katika Mitego katika Viti na Mic. Hapa System mmeumbuka!!
Askofu Gwajima kajuaje haya ni hadithi ile ile kuwa ndani yenu Watu wa System wapo Watendaji wabaya wanaovujisha Mipango yenu.
System ya sasa ninaamini ina matatizo.
Hapa umechapiaBasi kwa taarifa yako Gwajima ni mwoga sana. Tena sana.
Siyo mwoga tu bali ni mshirikina wa wazi waziHapa umechapia
Swala la imani linalindwa na katiba.....Matatizo yatamwandama taratibu.
Mwishoni na kanisa lake lita pigwa marufuku.
Gwajima kauruka mtego ulio muondoa Horrace Kolimba na Seith ChachageMmemchelewesha wenyewe sasa anawaumbueni na kuwashtukia katika Mitego katika Viti na Mic. Hapa System mmeumbuka!!
Askofu Gwajima kajuaje haya ni hadithi ile ile kuwa ndani yenu Watu wa System wapo Watendaji wabaya wanaovujisha Mipango yenu.
System ya sasa ninaamini ina matatizo.
Vikanisa vya mitaani kama vya Gwajima rahisi kuvifutilia mbali.Swala la imani linalindwa na katiba.....
kusema wafute kanisa sidhani....
Gwajiboy watadeal nae kivingine..
CCM huwa hawashindwagi jambo wakiamua
Kama watavifutilia mbali nitakuwa wa kwanza kufurahi na kunywa lau kwa ajili ya afya yanguVikanisa vya mitaani kama vya Gwajima rahisi kuvifutilia mbali.
Vikanisa hivi ni mitambo ya uchochezi tu na mipasho.
Mungu hahubiriwi pale.
Gwajima Msengxxxe. Hakuna usaliti bali ujinga na kutafuta sifa kipuuzi na kishamba kama anavyofanya Gwajiboy mjalaana na tapeli mkubwaMmemchelewesha wenyewe sasa anawaumbueni na kuwashtukia katika Mitego katika Viti na Mic. Hapa System mmeumbuka!!
Askofu Gwajima kajuaje haya ni hadithi ile ile kuwa ndani yenu Watu wa System wapo Watendaji wabaya wanaovujisha Mipango yenu.
System ya sasa ninaamini ina matatizo.
Inawezekana upo sahihi......Hiyo ni ya kale sana toka enzi za Kolimba, alichofanya leo ni kutaka kutengeneza attention tu.
Bunge haliwezi mfuta uanachamaAFUTWE UANACHAMA TU HANA LOLOTE