Mm nilisoma ada Mia 430 then ijapnda cjui. 1500 baadae nikajiunga na private school na a level pia nikasoma kwa 375000 kwa mwaka kweli mzee alikuwa anapambna San na mm nikampata mtot wangu wa Kwanza ada nikaaza 30000 kwa mwezi baadae 120000 kuanza std one ada 1200000 kwa mwaka .jmn kusomesha c mchezo jmn