Bungeni Leo: Sera ya "elimu bure" kufutwa? CCM kama kawaida yao wanatanguliza mbunge Kasheku Msukuma kupima upepo. Wewe unasemaje?

Bungeni Leo: Sera ya "elimu bure" kufutwa? CCM kama kawaida yao wanatanguliza mbunge Kasheku Msukuma kupima upepo. Wewe unasemaje?

Wafute ili wazazi wawe wawajibikaji kwa maisha ya watoto wao
 
Mm nilisoma ada Mia 430 then ijapnda cjui. 1500 baadae nikajiunga na private school na a level pia nikasoma kwa 375000 kwa mwaka kweli mzee alikuwa anapambna San na mm nikampata mtot wangu wa Kwanza ada nikaaza 30000 kwa mwezi baadae 120000 kuanza std one ada 1200000 kwa mwaka .jmn kusomesha c mchezo jmn
 
Nafikiri serekali iache huu utaratibu wa bure ili watu wawe seriuos waache kuchangishana kwenye sherehe za kipaimara na cummunial
Waachangie kwa lzm ada Kam 20000 kwa mwaka. Na sec ikawe 100000 kwa mwaka watu wachape Kaz waachane na ulevi na ubure bure .na kufanya hvyo tutacontrol birth rate
 
Back
Top Bottom