Bungeni liko Live, Online TVs Viewers hawazii 100 Kwa Kila TV , TUNDU LISSU Yuko Live, Online TVs Viewers ni zaidi ya 2k Kwa Kila TV

Hilo bunge lilishapoteza uhalali kwa sasa.
Si chombo cha kuwakilisha wananchi bali ni chombo cha watawala kuwanyonya watz.
Makala anasema kuwa wana mapesa mengi ya uchaguzi .

Rushwa nje nje .
Acheni watumie pesa halafu no Election.
 
Hili siyo Bunge ni bunge!!!!!!!!!! NI AIBU KUBWA KWA TAIFA.
 
Dahhh! Unafuatilia Bunge la Tz !? Hili la chama kimoja hahaha unapoteza mb
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…