Bungeni: Mbunge wa CHADEMA amtimua mpangaji wake ambaye ni Askari Polisi, adai haoni maana ya kushirikiana nae, Waziri Lugola amtisha

Alimchangia kujenga hiyo nyumba? AMPE YA KWAKE.
 

Kangi Lugola ni kilaza beyong repair!

Hajui kinga ya Kibunge ya Wabunge!

Stupid CCM people have nothing smart to say!
 
Na iwe hivyo ili sababu thabiti ipatikane ya mtifuano.
 
Mkataba wa kupangisha ndivyo unavyosema? huyo polisi atafute wakili amdai fidia ya mabilioni chap chap.After all ni mbunge Ana mipesa mingi aweza kulipa
Unafikiri ni kilaza kiasi hicho? Unajua mkataba wao ulikuwaje? Mdanganye aone cha moto na hutamsaidia ubao ukimgeukia.
 
Halafu mbowe hii ndoo hazina aliyonayo kwenye chama
 
Nenda ww
 
Wabunge wetu mnakula kodi zetu bure.
 
Si siku nyingi,? Mtachuma bangi deny nyie na huyo rabied dog wenu
 
Sasa huyo mpuuzi akipata shida atakimbilia wapi?nahisi hazijui tabia za polisi wetu..naamini watalipa kisasi kwa mwenzao kudhalilishwa.
 
Unaongea pumba Pohamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…