Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Angekuwa mpinzani angepewa adhabu kali.Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Tulia Ackson amepiga marufuku Wabunge kufanya vituko kama kupiga magoti au sarakasi wakati wakichangia mijadala mbalimbali ndani ya Bunge.
View attachment 2237360
View attachment 2237364
Mbunge Flatei Massay akiwa amepiga sarakasi Bungeni