Elections 2010 BUNGENI: Upinzani upo ndani ya kambi ya upinzani?

Elections 2010 BUNGENI: Upinzani upo ndani ya kambi ya upinzani?

dUH HAPA NAONA LUGHA INawafanya wabunge wasadc washindwe kuulizwa maswali ya msingi yaan MOHD dewji anauliza sadc kuna Nchi ngani na atajiwe..Lugha utata..Huyu MNYAA ndo kajieleza ila hakupigwa swali ...huwa nafarijika kuona bunge la kenya jinsi wabunge wanavyomwaga maneno

Kiongozi haya mambo ni uwezo. Vihiyo wetu ambao hata wakiwa nje ya nchi wakiulizwa kwa nini nchi zao masikini wanasema hawajui unatarajia nini toka kwao???? Profile zao wengine michosho mitupu. NI KUBWATA BWATA TU NDO WANAJUA
 
Jamani naombeni ufafanuzi. Je, kama lugha rasmi ya bunge la sadc ni English na wabunge wanasema lazima mbunge anagombea ajue english. Je itakuwaje kwa nchi za DRC, Angola, Mozambique n.k. kama itatokea hakuna mbunge anayejua kiingereza ina maana hawata peleka mwakilishi wao????? Hii kweli inaingia akilini??? Je, bunge hilo halina wakalimani???? tafadhali nifahamisheni!
 
Wazee
Hii ya CUF na CCM wala si suala la uchangudoa wala ndoa. Huu ni "ushoga" wa mwanamme kunaniiwa na mwanamme mwenzake. Inatia kichefuchefu kabisa.
Hata katika kura za kumchagua naibu spika, mnaona CUF wamempigia wa CCM maana wa Chadema kapata kura 46. Trend ya upigaji kura imekuwa hiyo hiyo kila wakati, lakini hii inakula kwa CUF na CCM yao.
 
heri na bora kabisa chama cha kinafiki kimejulikana asubuhi na mapema 2015 lipumba na cuf upande wa bara watakuwa kama TPP MAENDELEO kama siyo TLP
 
Pengo la Chadema na CUF limeongezeka zaidi, kura za leo zaonyesha kuanzia unaibu spika ni kura 46 tu chadema zimempa mtu wa chadema huku zingine zote zikielekezwa kwa CCM
 
heri na bora kabisa chama cha kinafiki kimejulikana asubuhi na mapema 2015 lipumba na cuf upande wa bara watakuwa kama TPP MAENDELEO kama siyo TLP.kweli tokea ndoa ya ccm na cuf kweli wamekua mwili mmoja.na kwa muda mfupi wamefanana ila cuf hawajasoma nyakati wata2koma 2015
 
Safi sana.
Error margin (or p value) is less than 0.05 (5%). Hivyo CDM wame-prove (beyond no dought) kwamba vyama vinavyojipambanua kuwa vya upinzani, si vya kweli, ila ni washiriki/mapandikizi ya chama cha mafisadi!
 
Ndoa ya CCM na CUF inatia kinyaa = aisee! kwani ni kama ya wale nanihilii nini??
 
Pengo la Chadema na CUF limeongezeka zaidi, kura za leo zaonyesha kuanzia unaibu spika ni kura 46 tu chadema zimempa mtu wa chadema huku zingine zote zikielekezwa kwa CCM

CCM wana strategies nyingi tu ila hii ya support wanaiyoipata kutoka vyama visivyojielewa imekuja at no cost, mbende mbende!!
 
Malimbukeni utawajua tu wanakua wanajiona kama hakuna kamawao,ama kweli kipofu kaona mwezi,je tungewapa nchi hawa wabinafci nawalafi wamadaraka chadema ingekuaje?kwa hakika mtanzania mwenye akilitimamu hawezi kurudia kosa lakuipa kura chadema tena,kwahakika hawafai hata kuongoza tarafa wacha taifa,kwa ubinafci huu naudiniwao naukanda naukabila wao watapotezwa kama upepo wa kusi unavopita marikebu,hawafai kabisa,eeh mungu ulie juu tuepushe na lichadema kupata ushindi wowote ktk chaguzi zataifa hili wasije wakaliingiza taifa kta vita yaudini na ukabila kwa ubinafci wao Aaaaameen!

Tunaomba ufafanuzi naona article imejaa jazba na hamaki ! tupe ubinafsi na udini wa Chadema ili tuwarekebishe tabia ikibidi tupe na FACTS kwani inatishia amani ya taifa letu
Ye mwenyewe unayemuuliza kichwani yu bure usitegemee lolote
 
CUF haijawahi kuwa chama cha upinzani huku Tanganyika hata siku moja, upinzani wao ni Zanzibar. Hili ni fundisho kwa Tanganyika, linapokuja suala la Uzanzibari hawa jamaa huungana, upinzani ni kule kwao.

Kwa mantiki hii, chadema ndio chama cha upinzani kwa Tanganyika, hao NCCR, UDP, TLP wanajidanganya sana kuungana na CUF kuikandamiza Tanganyika.

Huu ndio wakati muafaka kwa Watanganyika wenye uchungu na nchi hii kuungana na kukipa nguvu CHADEMA kwani hiki ndicho chama cha kweli cha upinzani kwetu.

Maalim Seif hajawahi hata siku moja kuwa na nia ya kweli ya mageuzi ya nchi hii, siku zote ameweka mbele maslahi yake. Muangalieni tangu pale muafaka uliomrudishia maslahi yake ya waziri kiongozi, hajawa na nguvu tena. Prof Lipumba ni boya tu pale CUF hana nguvu yoyote, anatekeleza anachokitaka Seif na sio vinginevyo na siku zote lazima kiwe kwa maslahi yake na Zanzibar na sio Tanganyika.

Naelewa nitaambiwa adui wa Muungano, au mbaguzi, lakini huo ndio ukweli, CUF ilipoteza muelekeo siku walipomkaribisha Maalim Seif, ukitaka ukweli muulize Msabaha, huyu ni miongoni mwa waanzilishi na ndio waliomkaribisha Seif pale CUF mara baada ya kukorofishana na jamaa zake wa CCM..
 
CUF haijawahi kuwa chama cha upinzani huku Tanganyika hata siku moja, upinzani wao ni Zanzibar. Hili ni fundisho kwa Tanganyika, linapokuja suala la Uzanzibari hawa jamaa huungana, upinzani ni kule kwao.

Kwa mantiki hii, chadema ndio chama cha upinzani kwa Tanganyika, hao NCCR, UDP, TLP wanajidanganya sana kuungana na CUF kuikandamiza Tanganyika.

Huu ndio wakati muafaka kwa Watanganyika wenye uchungu na nchi hii kuungana na kukipa nguvu CHADEMA kwani hiki ndicho chama cha kweli cha upinzani kwetu.

Maalim Seif hajawahi hata siku moja kuwa na nia ya kweli ya mageuzi ya nchi hii, siku zote ameweka mbele maslahi yake. Muangalieni tangu pale muafaka uliomrudishia maslahi yake ya waziri kiongozi, hajawa na nguvu tena. Prof Lipumba ni boya tu pale CUF hana nguvu yoyote, anatekeleza anachokitaka Seif na sio vinginevyo na siku zote lazima kiwe kwa maslahi yake na Zanzibar na sio Tanganyika.

Naelewa nitaambiwa adui wa Muungano, au mbaguzi, lakini huo ndio ukweli, CUF ilipoteza muelekeo siku walipomkaribisha Maalim Seif, ukitaka ukweli muulize Msabaha, huyu ni miongoni mwa waanzilishi na ndio waliomkaribisha Seif pale CUF mara baada ya kukorofishana na jamaa zake wa CCM..

KWA kweli leo nimeamini nilichokuwa sikiamini, na pia nimegundua watu wengine wameumbwa na roho za chuma, Hivi walichokifanya CUF wanachama wao wanajisikiaje? kwani hawawezi kuona kuwa hapo kuna usaliti mkubwa? binafsi nimekidharau mno, sina mfano wa kuelezea
 
CUF lazima wakubali kuwa lazima wawe chini ya CHADEMA

Mkuu sio tu wawe chini ya Chadema wanapaswa kuwa wapinzani na waonyeshe kuwa wapinzani wa kweli. Haya wanayoyafanya sasa hivi yatawagharimu sana mwaka 2015.
 
CUF haijawahi kuwa chama cha upinzani huku Tanganyika hata siku moja, upinzani wao ni Zanzibar. Hili ni fundisho kwa Tanganyika, linapokuja suala la Uzanzibari hawa jamaa huungana, upinzani ni kule kwao.

Kwa mantiki hii, chadema ndio chama cha upinzani kwa Tanganyika, hao NCCR, UDP, TLP wanajidanganya sana kuungana na CUF kuikandamiza Tanganyika.

Huu ndio wakati muafaka kwa Watanganyika wenye uchungu na nchi hii kuungana na kukipa nguvu CHADEMA kwani hiki ndicho chama cha kweli cha upinzani kwetu.

Maalim Seif hajawahi hata siku moja kuwa na nia ya kweli ya mageuzi ya nchi hii, siku zote ameweka mbele maslahi yake. Muangalieni tangu pale muafaka uliomrudishia maslahi yake ya waziri kiongozi, hajawa na nguvu tena. Prof Lipumba ni boya tu pale CUF hana nguvu yoyote, anatekeleza anachokitaka Seif na sio vinginevyo na siku zote lazima kiwe kwa maslahi yake na Zanzibar na sio Tanganyika.

Naelewa nitaambiwa adui wa Muungano, au mbaguzi, lakini huo ndio ukweli, CUF ilipoteza muelekeo siku walipomkaribisha Maalim Seif, ukitaka ukweli muulize Msabaha, huyu ni miongoni mwa waanzilishi na ndio waliomkaribisha Seif pale CUF mara baada ya kukorofishana na jamaa zake wa CCM..

Ninakubali kitu kimoja kuwa kuna matatizo juu ya CUF na hasa Maalim Seif. Maslahi yake ndiyo maslahi ya CUF. Mtu huwezi kupiganiwa urudishiwe mafao yako katika kazi ambayo ulifukuzwa. Katika muafaka wa kwanza alipigania hilo. Vilevile licha ya kuokolewa na Mahakama ya Rufaa, katika kesi aliyotetewa na Lamwaim bado alikwenda mbele kudai kuwa Mahakama hiyo isiwe na nguvu za kutafsiri katiba ya Zanzibar. Na sasa katika muafaka huu manufaa makubwa yalilenga yeye apate nafasi ya kurudi serikalini.

Ninaunga mkono kuwa CUF wana haki ya kudai haki zao bara na visiwani lakini inaonekana wazi kabisa kwamba wanadai tonge kwa viongozi wao na si Wananchi. Ni vema WanaCUF wakaanza kulichunguza hilo na kujiepusha na watu wa namna hii.
 
kweli kabisa hasa cuf wameonesha upinzani wao kwa chadema. kama leo mnyaaa amejitoa kwenye ugombea wa naibu spika na ccm wamempa asante kwa kumchagua kuwa m'bunge wa sadc. cufffffff ni wanafikiiiiiiiiiiii,wameshaolewa na ccm,shame on them
 
Back
Top Bottom